TFF na Bodi ya ligi inapaswa kubadili sheria ya timu ya ligi kuu kucheza play off na timu ya championship

TFF na Bodi ya ligi inapaswa kubadili sheria ya timu ya ligi kuu kucheza play off na timu ya championship

Nakumbuka vizuri kila nilichoandika,sasa wewe leta ushahidi wapi nimeandika au kulazimisha nchi hii itumie mfumo wa relegation na promotion kama wa Belgium,Germany na France?
Najua unaona aibu kukiri kwamba umekurupuka.
andika nilipokurupuka wapi syo unatamka tu
 
Kazi kuiga tu. Malimbukeni wakubwa nyie. Championship ndiyo nini? Kiingereza chenyewe hamjui, mnajifanya kukariri maneno machache mnayochagua.
nini hoja yako au una makasiriko umekuta mkeo wahuni wanasimamia ukucha
 
Kama unataka kupanda daraja na huwezi kupambana na timu inayoshuka daraja na kushinda, huko ligi kuu unakwenda kufanya nini?
 
misimu karibu miwili au mitatu timu inacheza play off ni Dhahiri hii timu inabebwa kwa kua ni wakongwe na ndiyo maana slogani yao kubwa watanzania wawaombee eti wana hali mbaya
Tatizo ni timu kubebwa, , hili ndio linapaswa litatuliwe ili apite anaestahili
sio unataka sheria ibadilishwe kwa kuhofia za championship haztapita,
Kama unapgwa na kibonde sasa upande ligi kuu kufanya nn
Mbona kuna timu znacheza hzo play off na zna pita,
Halafu unaweka maelezo marefu bila data wakat wewe ndio mtoa mada
 
Tatizo ni timu kubebwa, , hili ndio linapaswa litatuliwe ili apite anaestahili
sio unataka sheria ibadilishwe kwa kuhofia za championship haztapita,
Kama unapgwa na kibonde sasa upande ligi kuu kufanya nn
Mbona kuna timu znacheza hzo play off na zna pita,
Halafu unaweka maelezo marefu bila data wakat wewe ndio mtoa mada
weka data zako ili kusapoti hiyo hoj yako
 
Kama unataka kupanda daraja na huwezi kupambana na timu inayoshuka daraja na kushinda, huko ligi kuu unakwenda kufanya
Unaleta Mada halafu unataka msomaji ndio akuletee data, kama huna data za kusupport mapendekezo yako acha tuendelee na utaratibu tulio nao, Kajipange upya
wewe kwani unataka data gani mbona aueleki unachokitaka wewe
 
Kwanza nichukue fusa hii nikiwa mdau wa ball kupitia jukwaa hili la michezo la Jamiiforums kuzipongeza timu kutoka championship na kupanda ligi kuu.

KENGOLD FC NA PAMBA FC, Hakika timu hizi zinastahili pongezi maana siyo kazi nyepesi kutoka championship mpaka kupanda ligi kuu.

Na pia nichukue fursa hii kuwashauri (kuwasihi) ndugu KENGOLD FC NA PAMBA FC kuwa ligi kuu ya NBCPL haitaki mbwenbwe za huko mlikotoka bali ligi kuu inahitaji NIDHAMU, UONGOZI BORA, USAJILI MZURI NA BENCHI MAKINI, ligi kuu haitaki mambo ya kuchinja paka, kuchimba chimba uwanja bali ni usajili mzuri na kuwapa morali wachezaji.

Turudi kwenye kichwa cha habari kama kinavyojieleza hapo juu ligi yetu imekuwa ina kipengele cha play off, timu nne za mwanzo katika ligi ya championship timu mbili hupita moja kwa moja lakini mbili zilizobaki hucheza play off bingwa anakwenda kucheza na timu moja wapo ya ligi kuu iliyocheza play off na mwenzie nje ndani na kushinda

HOJA YANGU; timu za ligi kuu zinakuwa tayali zina uzoefu, msuli wa usajili pamoja msuli wa fedha tofauti na championship wanakuwa ni wa kuunga unga sasa ukiwakutanisha kwenye playoff kwa asilimia kubwa timu inayotoka championship lazima itapigwa tu na timu kutoka ligi kuu itarudi tena wa championship atarudi alikotoka.

MAONI YANGU; TFF na Bodi ya ligi inapaswa waliangalie hii sheria hii wa championship wamalizane wao kwa wao na wa ligi kuu pia wamalizane wao kwa wao kuliko wa championship kukutana na wa ligi kuu, hiyo ni ngumu na kwa upande mwingine ni uonevu tu.
Mkuu hoja yako imejionyesha. TABORA UNITED 2 BIASHARA MARA 1. Wakati ujao hizi mechi kama zipo watafute Neutral Ground vinginevyo tutakuja kupata msiba
 
Back
Top Bottom