NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Sasa kama unapigwa na kibonde wa ligi kuu unapanda kwenda kufanya nini? ibaki hivyo hivyo
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mob
misimu karibu miwili au mitatu timu inacheza play off ni Dhahiri hii timu inabebwa kwa kua ni wakongwe na ndiyo maana slogani yao kubwa watanzania wawaombee eti wana hali mbayaHii ni style ya kuzibeba timu zilizofeli ligi kuu, kwa mfano mtibwa haina jipya na hadhi ya kucheza ligi kuu ni huu uozo wa TFF na bodi yake ya ligi kuweka kanuni mbovu, play off za kucheza ligi kuu na championship duniani kote hamna hii kitu....only Tz!
Mashujaaa dhid ya mbeya ct na ihef dhid ya mbaoHakuna wa championship aliyetoboa kwenye playoff dhidi ya waligi kuu....tangu hii Kanuni ianze....
hivi umenielewa nilichokiandika hapo juu
Nimekuelewa mkuu, niliomba data lakini ukanirudishia jukumu hilo na mimi nimetekeleza. Katika timu 8 za ligi kuu zilizocheza playoffs katika misimu 4, ni timu 3 tu zilizoweza kubaki na 5 zilishindwa na timu za championship.Mbeya ciyty alitolewa na mashjaatena kwa ujanja ujanja hadi kocha anapigwa na kuna baadhi ya wachezaji wa Mbeya city walirubuniwa na kuiacha timu kipindi cha playoff
mtibwa alikua ligi kuu alipambania nafasi akabaki katika mfumo huo huo wa play off kwa kua wao ni wakongwe walifanikiwa kubaki
Acha uongo mashujaa alimtoa mbeya city mwaka janaHakuna wa championship aliyetoboa kwenye playoff dhidi ya waligi kuu....tangu hii Kanuni ianze....
Mbona mashushajaa walitoboa mbele ya mbeya cityHakuna wa championship aliyetoboa kwenye playoff dhidi ya waligi kuu....tangu hii Kanuni ianze....
mashujaa......vs mbeya city,,,,, mwaka jana tuHakuna wa championship aliyetoboa kwenye playoff dhidi ya waligi kuu....tangu hii Kanuni ianze....
Wangefanya kama waingereza wanavyofanya, kinaumana nyie kwa nyie na wa kushuka anakuwa kishashuka. Huku kwetu sasa mtu alitakiwa kushuka anachezeshwa play off na mwenzie akishinda anabaki Ligi Kuu na aliyefungwa anacheza tena play off na mshindi toka play off ya championship-ujinga mtupu.kwanza nichukue fusa hii nikiwa mdau wa ball kupitia jukwaa hili la michezo la jamii forum kuzipongeza timu kutoka championship na kupanda ligi kuu.
KENGOLD FC NA PAMBA FC, Hakika timu hizi zinastahili pongezi maana siyo kazi nyepesi kutoka championship mpaka kupanda ligi kuu
Na pia nichukue fursa hii kuwashauri (kuwasihi) ndugu KENGOLD FC NA PAMBA FC kuwa ligi kuu ya NBCPL haitaki mbwenbwe za huko mlikotoka bali ligi kuu inahitaji NIDHAMU, UONGOZI BORA, USAJILI MZURI NA BENCHI MAKINI, ligi kuu haitaki mambo ya kuchinja paka, kuchimba chimba uwanja bali ni usajili mzuri na kuwapa morali wachezaji.
Turudi kwenye kichwa cha habari kama kinavyojieleza hapo juu ligi yetu imekua inakipengele cha play off, timu nne za mwanzo katika ligi ya championship timu mbili hupita moja kwa moja lakini mbili zilizobaki hucheza play off bingwa anakwenda kucheza na timu moja wapo ya ligi kuu iliyocheza play off na mwenzie nje ndani na kushinda
HOJA YANGU; timu za ligi kuu zinakua tayali zinauzoefu msuli wa usajili pamoja msuli wa fedha tofauti na championship wanakua ni wa kuunga unga sasa ukiwakutanisha kwenye playoff kwa asilimia kubwa timu inayotoka championship lazima itapigwa tu na timu kutoka ligi kuu itarudi tena wa championship atarudi alikotoka
MAONI YANGU; TFF na Bodi ya ligi inapaswa waliangalie hii sheria hii wa championship wamalizane wao kwa wao a wa ligi kuu pia wamalizane wao kwa wao kuliko wa championship kukutana na wa ligi kuu hhiyo ni ngumu na kwa upande mwingine ni uonevu tu
Hiyo itakuwa ligi au Mapinduzi Cup?Nilitegemea ulete hoja timu zipunguzwe kutoka timu 16 zilizopo sasa hadi tuwe na timu 12
Germany,France na Belgium wanatumia kanuni hii kwenye ligi zao.Hii ni style ya kuzibeba timu zilizofeli ligi kuu, kwa mfano mtibwa haina jipya na hadhi ya kucheza ligi kuu ni huu uozo wa TFF na bodi yake ya ligi kuweka kanuni mbovu, play off za kucheza ligi kuu na championship duniani kote hamna hii kitu....only Tz!
MashujaaHakuna wa championship aliyetoboa kwenye playoff dhidi ya waligi kuu....tangu hii Kanuni ianze....
Kweli mkuuWangefanya kama waingereza wanavyofanya, kinaumana nyie kwa nyie na wa kushuka anakuwa kishashuka. Huku kwetu sasa mtu alitakiwa kushuka anachezeshwa play off na mwenzie akishinda anabaki Ligi Kuu na aliyefungwa anacheza tena play off na mshindi toka play off ya championship-ujinga mtupu.
UINGEREZA WANATUMIA IPI LIGI YA UINGEREZA NI BORA SANA HAPA DUNIANI KWANI WAO WAJINGA?!Germany,France na Belgium wanatumia kanuni hii kwenye ligi zao.
Ni vyema kutafuta maarifa kabla ya kuandika chochote hapa jukwaani.
Una hoja nzuri sana. Sasa unachukua nafasi; unaipeleka wapi?? Kumbuka haichukuliki hiyo. Sema .......NATAKA NITUMIE NAFASI HII ......kwanza nichukue fusa hii nikiwa mdau wa ball kupitia jukwaa hili la michezo la jamii forum kuzipongeza timu kutoka championship na kupanda ligi kuu.
KENGOLD FC NA PAMBA FC, Hakika timu hizi zinastahili pongezi maana siyo kazi nyepesi kutoka championship mpaka kupanda ligi kuu
Na pia nichukue fursa hii kuwashauri (kuwasihi) ndugu KENGOLD FC NA PAMBA FC kuwa ligi kuu ya NBCPL haitaki mbwenbwe za huko mlikotoka bali ligi kuu inahitaji NIDHAMU, UONGOZI BORA, USAJILI MZURI NA BENCHI MAKINI, ligi kuu haitaki mambo ya kuchinja paka, kuchimba chimba uwanja bali ni usajili mzuri na kuwapa morali wachezaji.
Turudi kwenye kichwa cha habari kama kinavyojieleza hapo juu ligi yetu imekua inakipengele cha play off, timu nne za mwanzo katika ligi ya championship timu mbili hupita moja kwa moja lakini mbili zilizobaki hucheza play off bingwa anakwenda kucheza na timu moja wapo ya ligi kuu iliyocheza play off na mwenzie nje ndani na kushinda
HOJA YANGU; timu za ligi kuu zinakua tayali zinauzoefu msuli wa usajili pamoja msuli wa fedha tofauti na championship wanakua ni wa kuunga unga sasa ukiwakutanisha kwenye playoff kwa asilimia kubwa timu inayotoka championship lazima itapigwa tu na timu kutoka ligi kuu itarudi tena wa championship atarudi alikotoka
MAONI YANGU; TFF na Bodi ya ligi inapaswa waliangalie hii sheria hii wa championship wamalizane wao kwa wao a wa ligi kuu pia wamalizane wao kwa wao kuliko wa championship kukutana na wa ligi kuu hhiyo ni ngumu na kwa upande mwingine ni uonevu tu
😁Hiyo itakuwa ligi au Mapinduzi Cup?
JIKITE KWENYE HOJAUna hoja nzuri sana. Sasa unachukua nafasi; unaipeleka wapi?? Kumbuka haichukuliki hiyo. Sema .......NATAKA NITUMIE NAFASI HII ......
Timu zibaki HIVYO HIVYO hakuna haja ya kupunguzaNilitegemea ulete hoja timu zipunguzwe kutoka timu 16 zilizopo sasa hadi tuwe na timu 12
Hakuna timu ya Championship iliyowahi toboa kwenye play off kwa miaka hiyo 3Binafsi napingana na wewe. Hapa wameweka sheria hii ili zisije kupanda timu dhaifu kuliko zile zinazoshuka. Ndiyo maana wamezipa fursa na haki timu mbili za juu kupanda moja kwa moja wakati zile zingine zinapimwa na vibonde wenzao ili mwenye uafadhali kati yao ndiyo apande.
Tupe data za miaka 3 iliyopita, playoffs walicheza nani na nani na yupi alipita ili tupate mwanga zaidi kwenye hii mada.