NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #61
andika nilipokurupuka wapi syo unatamka tuNakumbuka vizuri kila nilichoandika,sasa wewe leta ushahidi wapi nimeandika au kulazimisha nchi hii itumie mfumo wa relegation na promotion kama wa Belgium,Germany na France?
Najua unaona aibu kukiri kwamba umekurupuka.
nini hoja yako au una makasiriko umekuta mkeo wahuni wanasimamia ukuchaKazi kuiga tu. Malimbukeni wakubwa nyie. Championship ndiyo nini? Kiingereza chenyewe hamjui, mnajifanya kukariri maneno machache mnayochagua.
Post number #55 umesema nalazimisha nchi kutumia mfumo kama wa France na Belgium, sasa kama wewe sio mkurupukaji weka ushahidi unaosapoti madai yako.andika nilipokurupuka wapi syo unatamka tu
Kwa vile yalikupata basi unadhani kila mtu yatampata.nini hoja yako au una makasiriko umekuta mkeo wahuni wanasimamia ukucha
hongera sana mkuu na pole sana kwa kuwa na msongo wa mawzoKwa vile yalikupata basi unadhani kila mtu yatampata.
Kwa vile una msongo wa mawazo basi unafikiri kila mtu anao.hongera sana mkuu na pole sana kwa kuwa na msongo wa mawzo
huna hojaKwa vile una msongo wa mawazo basi unafikiri kila mtu anao.
Kwani nimesema nina hoja?huna hoja
Nadhani mashujaa kwa mbeya city kama sikosei.Hakuna wa championship aliyetoboa kwenye playoff dhidi ya waligi kuu....tangu hii Kanuni ianze....
Tatizo ni timu kubebwa, , hili ndio linapaswa litatuliwe ili apite anaestahilimisimu karibu miwili au mitatu timu inacheza play off ni Dhahiri hii timu inabebwa kwa kua ni wakongwe na ndiyo maana slogani yao kubwa watanzania wawaombee eti wana hali mbaya
weka data zako ili kusapoti hiyo hoj yakoTatizo ni timu kubebwa, , hili ndio linapaswa litatuliwe ili apite anaestahili
sio unataka sheria ibadilishwe kwa kuhofia za championship haztapita,
Kama unapgwa na kibonde sasa upande ligi kuu kufanya nn
Mbona kuna timu znacheza hzo play off na zna pita,
Halafu unaweka maelezo marefu bila data wakat wewe ndio mtoa mada
Unaleta Mada halafu unataka msomaji ndio akuletee data, kama huna data za kusupport mapendekezo yako acha tuendelee na utaratibu tulio nao, Kajipange upyaweka data zako ili kusapoti hiyo hoj yako
Kama unataka kupanda daraja na huwezi kupambana na timu inayoshuka daraja na kushinda, huko ligi kuu unakwenda kufanya
wewe kwani unataka data gani mbona aueleki unachokitaka weweUnaleta Mada halafu unataka msomaji ndio akuletee data, kama huna data za kusupport mapendekezo yako acha tuendelee na utaratibu tulio nao, Kajipange upya
Siletiwew ambye siyo mvivu kwa nini usilete hapa ili utete hoja yako
kunywa maji ukalaleSileti
Mbeya city vs mashujaa kwani walicheza nmHakuna wa championship aliyetoboa kwenye playoff dhidi ya waligi kuu....tangu hii Kanuni ianze....
Mkuu hoja yako imejionyesha. TABORA UNITED 2 BIASHARA MARA 1. Wakati ujao hizi mechi kama zipo watafute Neutral Ground vinginevyo tutakuja kupata msibaKwanza nichukue fusa hii nikiwa mdau wa ball kupitia jukwaa hili la michezo la Jamiiforums kuzipongeza timu kutoka championship na kupanda ligi kuu.
KENGOLD FC NA PAMBA FC, Hakika timu hizi zinastahili pongezi maana siyo kazi nyepesi kutoka championship mpaka kupanda ligi kuu.
Na pia nichukue fursa hii kuwashauri (kuwasihi) ndugu KENGOLD FC NA PAMBA FC kuwa ligi kuu ya NBCPL haitaki mbwenbwe za huko mlikotoka bali ligi kuu inahitaji NIDHAMU, UONGOZI BORA, USAJILI MZURI NA BENCHI MAKINI, ligi kuu haitaki mambo ya kuchinja paka, kuchimba chimba uwanja bali ni usajili mzuri na kuwapa morali wachezaji.
Turudi kwenye kichwa cha habari kama kinavyojieleza hapo juu ligi yetu imekuwa ina kipengele cha play off, timu nne za mwanzo katika ligi ya championship timu mbili hupita moja kwa moja lakini mbili zilizobaki hucheza play off bingwa anakwenda kucheza na timu moja wapo ya ligi kuu iliyocheza play off na mwenzie nje ndani na kushinda
HOJA YANGU; timu za ligi kuu zinakuwa tayali zina uzoefu, msuli wa usajili pamoja msuli wa fedha tofauti na championship wanakuwa ni wa kuunga unga sasa ukiwakutanisha kwenye playoff kwa asilimia kubwa timu inayotoka championship lazima itapigwa tu na timu kutoka ligi kuu itarudi tena wa championship atarudi alikotoka.
MAONI YANGU; TFF na Bodi ya ligi inapaswa waliangalie hii sheria hii wa championship wamalizane wao kwa wao na wa ligi kuu pia wamalizane wao kwa wao kuliko wa championship kukutana na wa ligi kuu, hiyo ni ngumu na kwa upande mwingine ni uonevu tu.