TFF na Wizara ya Michezo mdhibitini Hajji Manara ndiye kichocheo cha chuki uhasama wa Simba na Yanga

TFF na Wizara ya Michezo mdhibitini Hajji Manara ndiye kichocheo cha chuki uhasama wa Simba na Yanga

Utopolo tatizo lenu linatibiwa na daktari wa magonjwa ya akili.

Ukiwa na tatizo la magonjwa ya akili huwezi kujua,sana sana utatafuta mtu wa kusingizia.

Tatizo lenu ni la kutopata kile mlichodhani mtapata.Mlikuwa mkitaja Tusila Kisinda,Tonombe,Sarpong..Calinho..mlichanganyikiwa na mlidanganywa timu zitakuwa zinakula goli tano tano tu.
Sasa mmeona kiwango cha mreno wenu sio kile mlidanganywa.Magoli mengi mmefunga mechi moja ni mawili nayo mlihonga.Sasa hasira zote mnasingizia eti mnarogwa na mashabiki wa Simba. Hii ni typical dalili ya ugonjwa wa akili.

Tengenezeni timu nzuri mshinde uwanjani.Bado pia mna wenge la kupigwa vinne.Nami nawaambia safari hii mtapigwa hadi mkaushwe kizazi
Upo siku zitapigwa ngumi za kufa mtu muanze kusaka mchawi
 
Manara ndio chimbuko la uhasama na chuki miongoni mwa washabiki wa simba na yanga. Anaongea maneno ya kukera yanayopandikiza chuki badala ya utani
 
Wadau wa michezo toka enzi na enzi tunataniana na si kuvuka mipaka ya kuanza kutafutana matawi na kuanza kubomoleana vizimba vya matawi. Toka muda mrefu nimemfuatilia msemaji wa Simba kwa kauli zake yeye anaita za kukera ndizo chokochoko ambazo washabiki wa Simba nao wanazibeba kisha wanazungumza mbele ya mashabiki wa Yanga huku wakijua wanae zungumza nae ana hasira kiasi gani na wapembeni nae ana hasira kiasi gani ipo siku moto utawaka chukueni tahadhari hiyo ingawa yeye kwa kufanya hivyo anaingiza pesa ila anajenga chuki na si utani ule wa Simba na Yanga wa enzi na enzi werevu tumeliona hilo.
Huyo mbwiga apigwe pin.
 
wewe unaustarabu gan
Nyie endeleeni kupuuzia siku likitokea mtaelewa Manara anapandikiza chuki sio utani ni chuki taratibu imeanza kuwaingia watu
 
Wadau wa michezo toka enzi na enzi tunataniana na si kuvuka mipaka ya kuanza kutafutana matawi na kuanza kubomoleana vizimba vya matawi. Toka muda mrefu nimemfuatilia msemaji wa Simba kwa kauli zake yeye anaita za kukera ndizo chokochoko ambazo washabiki wa Simba nao wanazibeba kisha wanazungumza mbele ya mashabiki wa Yanga huku wakijua wanae zungumza nae ana hasira kiasi gani na wapembeni nae ana hasira kiasi gani ipo siku moto utawaka chukueni tahadhari hiyo ingawa yeye kwa kufanya hivyo anaingiza pesa ila anajenga chuki na si utani ule wa Simba na Yanga wa enzi na enzi werevu tumeliona hilo.
Bado siku 15 tu tuwazabue tena.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Utawani wa jadi wa enzi hizo ulikuwa si wakusaka followers kwenye instra ili upige dili la matangazo huku ukiliingiza Taifa kwenye mgogoro wa Uhasama, wizara chukueni hilo mlifanyie kazi ipo siku yatatokea maafa kutokana na chuki huyu jamaa anayoipandikizi kwa kupiga dili, mpira Ni burudani na sio kupandikiza chuki.
Sahihi kabisa, yule jamaa ni mshamba anaehamasisha uadui kweny mpira, halafu yy ndo anaropoka eti ni utani, mimi sio shabiki wa simba wala yanga ila anachofanya yule jamaa kimepitiliza, hakuna utani wa vile
 
Hua nacheka sana haswa nikiona video aliyopost ya shabiki wa utopolo mwanaume akikata mauno kama si kuyatingisha
 
Utawani wa jadi wa enzi hizo ulikuwa si wakusaka followers kwenye instra ili upige dili la matangazo huku ukiliingiza Taifa kwenye mgogoro wa Uhasama, wizara chukueni hilo mlifanyie kazi ipo siku yatatokea maafa kutokana na chuki huyu jamaa anayoipandikizi kwa kupiga dili, mpira Ni burudani na sio kupandikiza chuki.
pole sana.
 
Sahihi kabisa, yule jamaa ni mshamba anaehamasisha uadui kweny mpira, halafu yy ndo anaropoka eti ni utani, mimi sio shabiki wa simba wala yanga ila anachofanya yule jamaa kimepitiliza, hakuna utani wa vile
Acha unafiki ww ni vutoporofc,nyani fc,chura fc.
 
Back
Top Bottom