Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
Sina ushabiki na timu yoyote ya Tanganyika
Acha unafiki ww ni vutoporofc,nyani fc,chura fc.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha unafiki ww ni vutoporofc,nyani fc,chura fc.
Huu ni utetezi rahisi ,nimesema ni kazi yale inayompa ugaliyes ni mwanaume anatafuta ugali kwa familia yake, wewe je tukuulize umeshawahi kumpa hata mia yako
Mumesahau kauli za kichochezi alizokuwa anatoa Jerry Muro, alikuwa anatukera zaidi Haji anavyowakera ila tulivumilia. Tulieni mkamuliwe jipu lenu mpone freshWadau wa michezo toka enzi na enzi tunataniana na si kuvuka mipaka ya kuanza kutafutana matawi na kuanza kubomoleana vizimba vya matawi. Toka muda mrefu nimemfuatilia msemaji wa Simba kwa kauli zake yeye anaita za kukera ndizo chokochoko ambazo washabiki wa Simba nao wanazibeba kisha wanazungumza mbele ya mashabiki wa Yanga huku wakijua wanae zungumza nae ana hasira kiasi gani na wapembeni nae ana hasira kiasi gani ipo siku moto utawaka chukueni tahadhari hiyo ingawa yeye kwa kufanya hivyo anaingiza pesa ila anajenga chuki na si utani ule wa Simba na Yanga wa enzi na enzi werevu tumeliona hilo.
SwadaktaaManara ndiye huita Simba mbumbumbu?
Mikia?
Kituo cha wazee?
Yanga mnateswa na kiwango Chenu hafifu, Sio kingine
Safari hii tuwapiga sita bila zileeee za 1977