TFF na Wizara ya Michezo mdhibitini Hajji Manara ndiye kichocheo cha chuki uhasama wa Simba na Yanga

yes ni mwanaume anatafuta ugali kwa familia yake, wewe je tukuulize umeshawahi kumpa hata mia yako
Huu ni utetezi rahisi ,nimesema ni kazi yale inayompa ugali
Na sisi wenyewe pia tuna kazi zinazotupa ugali vile vile
 
Enzi ya Jerry Muro mlikua mnaona kutania wenzenu burudaani kabisa!
Acheni kujiliza kama watoto wa kike, pambaneni uwanjani heshima yenu irudi!
 
Wakati mnaitwa wenzenu wamatopeni hakukuwa na shida ?
 
Mumesahau kauli za kichochezi alizokuwa anatoa Jerry Muro, alikuwa anatukera zaidi Haji anavyowakera ila tulivumilia. Tulieni mkamuliwe jipu lenu mpone fresh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…