TFF wanazidi kujipambanua kwamba Simba ni Kijana wao mpendwa

TFF wanazidi kujipambanua kwamba Simba ni Kijana wao mpendwa

Ila wewe ni Fala kabisa sasa Kwan dirisha liligunguliwa kwaajili ya Simba peke yake.

Umesahau kuwa Simba anavipolo sababu ya mechi za Super Cup? Mbona huwazi kama mtu mzima.

Yanga game zake nyingi anacheza hapa chamazi kitu ambacho simba ameamua kuupisha uwanja huo na kupeleka game zake CCM kirumba.

Uwanja wa ndege wa Songwe na Mbeya ni sawa na pua na mdomo,hilo nikupe elimu

Mshamba mkubwa wewe.
 
Hajui maskini mfundisheni.Inawezekana mkimbizi kutoka Congo.
Yani mmekutana pipa na mfuniko mbona jiografia ndogo tu Songwe ni Mkoa unaojitegemea ukiniambia uwanja Wa Songwe upo Mbeya huoni kuna haja ya kumtilia shaka Mwl wako Wa Jiografia.
 
Ila wewe ni Fala kabisa sasa Kwan dirisha liligunguliwa kwaajili ya Simba peke yake.

Umesahau kuwa Simba anavipolo sababu ya mechi za Super Cup? Mbona huwazi kama mtu mzima.

Yanga game zake nyingi anacheza hapa chamazi kitu ambacho simba ameamua kuupisha uwanja huo na kupeleka game zake CCM kirumba.

Uwanja wa ndege wa Songwe na Mbeya ni sawa na pua na mdomo,hilo nikupe elimu

Mshamba mkubwa wewe.
Hahaha mashabiki wa Simba bana hasira za nini au zile tano bado zinawaumeni nini yani mmejaa hasira plus matusi mara fala Mara pumbavu hiki ni kipimo tosha cha uelewa wenu hakika Kauli ya Rage idumu
 
Kama wewe ndio Mwl unafundisha watoto wote uwanja wa Ndege wa Songwe upo mbeya basi nchi kama nchi bado kuna tatizo kubwa hufahamu kwamba hiyo ni mikoa miwili tofauti Songwe ni mkoa na Mbeya ni mkoa sasa inakuaje hapo bwana shabiki wa Simba Ila kuwaelewesha mashabiki wa Simba kazi kweli kweli.
Ubishi wa kijinga.Songwe Airport ipo Mkoa wa Mbeya wewe mvimba macho.Jaribu ku google uache ujinga na uzushi.Uwanja huo zamani ulikuwa unaitwa Old Mbeya Airport na ulipozinduliwa ndio ukaitwa Songwe.
 
Yani mmekutana pipa na mfuniko mbona jiografia ndogo tu Songwe ni Mkoa unaojitegemea ukiniambia uwanja Wa Songwe upo Mbeya huoni kuna haja ya kumtilia shaka Mwl wako Wa Jiografia.
Hawazungumzii Mkoa wa Songwe.Kinachozungumziwa hapa ni Songwe Airport iliyopo Mkoa wa Mbeya.
 
Malalamiko fc hamjawahi kuniangusha.
Kila mnapoona mafanikio ya Mnyama wa mwitu lazima muelekeze lawama TFF, waamuzi mpaka serikalini.
Tumewachoka
 
Natoa kama Rai mashabiki wa Yanga hamna budi kuomba sana kwa ajili ya timu yenu maadui ni wengi mnoo mje na ndani ya uwanja na wanafanya kazi kwa kushirikiana kuhakikisha malengo yenu hayatimii.

Adui kwa kwanza mkubwa wa Yanga ni TFF, TFF ipo kwa lengo la kuhakikisha yanga inaharibu lakini kwa maombi na sala za wanayanga timu yao bado inafanya vizuri, nani anakumbuka gemu ngumu za Yanga back to back lakini bado yanga ikavuna pointi zote, nani anakumbuka Aucho kupigwa ban ili akose michezo muhimu lakini bado Yanga ikatusua.

Kali zaidi ni hii ratiba ya sasa ukiangalia ratiba Simba ndio ana viporo vingi ila bado ratiba inampa upendeleo, nlitegemea Simba ndio aanze kucheza gemu zake kwanza halafu Yanga ndio wafwate ila imekua kinyume.

Nani anakumbuka gemu ya Azam na Simba ilivyopigwa danadana lengo tu Tff waliona upepo wa Simba sio mzuri wakawapa muda wa kujipanga na kufanya sajili ili tu kuwatengenezea mazingira mazuri ya ushindi, kumbuka hapo yanga alicheza na Azam, Singida utd, Simba bado akaenda tanga kucheza na vijukuu vya Simba Kostali united.

Yanga imecheza leo, Kesho inapanda ndege inakwenda Mbeya kumbuka watashukia Songwe na safari ya basi mpaka mbeya wakati huo Kesho Simba anacheza na Azam Mwanza then anacheza na Geita utd pasipo na Shaka Tff watawabana Geita utd wachezee Mwanza so Simba hatosafiri na kupata faida ya kupunguza uchovu haya yote yanamtengenezea mazingira Simba..

Ukiangalia Afcon inayoendelea Wachezaji wawili muhimu wa Yanga Nondo na Bacca walitumika sana karibia mechi zote walicheza ila ajabu bado ratiba ya Azam confederation cup walianza kucheza Yanga ilihali Tff wakifahamu wachezaji wa Yanga wametoka kwenye majukumu mazito ya kitaifa.

Kama hilo halitoshi ukiangalia mazingira ya marefa bado wanaibeba SImba kuna tukio gemu na Mashujaa kule Kigoma Kibu D alichezewa rafu refa akatenga tuta leo the same same event kachezewa Yao refa kapeta.

Hakika matukio ni mengi ntajaza server ya JF tu ila Tff watambue kwa tabia hii ya kuipendelea Simba ni ngumu sana kuja kupata timu nzuri ya taifa tutaendelea kudemadema tu
Hebu acheni hii tabia ya soka la visingizio vingi, siku zote timu bora itashinda.

Ova
 
Yani mmekutana pipa na mfuniko mbona jiografia ndogo tu Songwe ni Mkoa unaojitegemea ukiniambia uwanja Wa Songwe upo Mbeya huoni kuna haja ya kumtilia shaka Mwl wako Wa Jiografia.
Tofautisha Uwanja wa Ndege Songwe na Mkoa wa Songwe. Usilazimishe ujinga
 
Kama wewe ndio Mwl unafundisha watoto wote uwanja wa Ndege wa Songwe upo mbeya basi nchi kama nchi bado kuna tatizo kubwa hufahamu kwamba hiyo ni mikoa miwili tofauti Songwe ni mkoa na Mbeya ni mkoa sasa inakuaje hapo bwana shabiki wa Simba Ila kuwaelewesha mashabiki wa Simba kazi kweli kweli.
Punguza ubishi wa kijinga. Songwe Airport ipo Mbeya. Hili linaonesha hata unayoandika huyjui
 
Utaanzisha nyuzi mpka server zijae...pambaneni mnaogopa nini si mpo kileleni?
 
Yanga imecheza leo, Kesho inapanda ndege inakwenda Mbeya kumbuka watashukia Songwe na safari ya basi mpaka mbeya
Mkuu, uwanja wa ndege wa Songwe hadi Mbeya mjini hazizidi dakika 45 kwa costa, wala hauhitaji bus. Yaani mtu akiwa Gongo la Mboto atachukua muda mrefu zaidi kufika Ubungo kulinganisha na aliyetua Songwe na kusafiri hadi Mbeya
 
Unajua kuwa uwanja wa Songwe upo mkoani Mbeya?

Na ni umbali wa kilometa 20 tu hivi toka Songwe Airport hadi Mbeya city center, kwa Dar ni umbali unaoshahabiana na safari ya Mbezi Mwisho hadi Posta Mpya
Songwe hauko Mbeya, ila ni kweli hauko mbali na Mbeya Mjini
 
Natoa kama Rai mashabiki wa Yanga hamna budi kuomba sana kwa ajili ya timu yenu maadui ni wengi mnoo mje na ndani ya uwanja na wanafanya kazi kwa kushirikiana kuhakikisha malengo yenu hayatimii.

Adui kwa kwanza mkubwa wa Yanga ni TFF, TFF ipo kwa lengo la kuhakikisha yanga inaharibu lakini kwa maombi na sala za wanayanga timu yao bado inafanya vizuri, nani anakumbuka gemu ngumu za Yanga back to back lakini bado yanga ikavuna pointi zote, nani anakumbuka Aucho kupigwa ban ili akose michezo muhimu lakini bado Yanga ikatusua.

Kali zaidi ni hii ratiba ya sasa ukiangalia ratiba Simba ndio ana viporo vingi ila bado ratiba inampa upendeleo, nlitegemea Simba ndio aanze kucheza gemu zake kwanza halafu Yanga ndio wafwate ila imekua kinyume.

Nani anakumbuka gemu ya Azam na Simba ilivyopigwa danadana lengo tu Tff waliona upepo wa Simba sio mzuri wakawapa muda wa kujipanga na kufanya sajili ili tu kuwatengenezea mazingira mazuri ya ushindi, kumbuka hapo yanga alicheza na Azam, Singida utd, Simba bado akaenda tanga kucheza na vijukuu vya Simba Kostali united.

Yanga imecheza leo, Kesho inapanda ndege inakwenda Mbeya kumbuka watashukia Songwe na safari ya basi mpaka mbeya wakati huo Kesho Simba anacheza na Azam Mwanza then anacheza na Geita utd pasipo na Shaka Tff watawabana Geita utd wachezee Mwanza so Simba hatosafiri na kupata faida ya kupunguza uchovu haya yote yanamtengenezea mazingira Simba..

Ukiangalia Afcon inayoendelea Wachezaji wawili muhimu wa Yanga Nondo na Bacca walitumika sana karibia mechi zote walicheza ila ajabu bado ratiba ya Azam confederation cup walianza kucheza Yanga ilihali Tff wakifahamu wachezaji wa Yanga wametoka kwenye majukumu mazito ya kitaifa.

Kama hilo halitoshi ukiangalia mazingira ya marefa bado wanaibeba SImba kuna tukio gemu na Mashujaa kule Kigoma Kibu D alichezewa rafu refa akatenga tuta leo the same same event kachezewa Yao refa kapeta.

Hakika matukio ni mengi ntajaza server ya JF tu ila Tff watambue kwa tabia hii ya kuipendelea Simba ni ngumu sana kuja kupata timu nzuri ya taifa tutaendelea kudemadema tu
Mkuu,umepimwa kama una homa?
 
Back
Top Bottom