TFF wanazidi kujipambanua kwamba Simba ni Kijana wao mpendwa

TFF wanazidi kujipambanua kwamba Simba ni Kijana wao mpendwa

Songwe hauko Mbeya, ila ni kweli hauko mbali na Mbeya Mjini

Tazama ramani mzee...nikipata muda nitakuwekea ramani inayoonesha mpaka wa Mbeya na Songwe upande huo wa Mbalizi
 
Tazama ramani mzee...
Ukieleweshwa elewesheka basi Mkuu, ni mkoa unaojitegemea huo. Utakuaje tena mkoa wa Songwe uko ndani ya Mkoa wa Mbeya?
Screenshot_20240209-082347.jpg
 
Ukieleweshwa elewesheka basi Mkuu, ni mkoa unaojitegemea huo. Utakuaje tena mkoa wa Songwe uko ndani ya Mkoa wa Mbeya?
View attachment 2898376

Kumbe unamquote mtu hata pasipo kufuatilia mtiririko wa mjadala wa awali...

Soma vizuri utaelewa kinachotajwa kuwa Mbeya na si Songwe ni uwanja wa ndege wa Songwe...
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Yanga imecheza leo, Kesho inapanda ndege inakwenda Mbeya kumbuka watashukia Songwe na safari ya basi mpaka mbeya wakati huo Kesho
Acha malalamiko ya kitoto, kwani umeambiwa Songwe Airport ipo Tunduma? Yaan kilometa 20 tu unataka kuigeuza nongwa utadhani wanatokea Tunduma au Nakonde, au ulitaka watue hotelini moja kwa moja?
Simba anacheza na Azam Mwanza then anacheza na Geita utd pasipo na Shaka Tff watawabana Geita utd wachezee Mwanza so Simba hatosafiri na kupata faida ya kupunguza uchovu haya yote yanamtengenezea mazingira Simba..
Umeangalia
Ukiangalia Afcon inayoendelea Wachezaji wawili muhimu wa Yanga Nondo na Bacca walitumika sana karibia mechi zote walicheza ila ajabu bado ratiba ya Azam confederation cup walianza kucheza Yanga ilihali Tff wakifahamu wachezaji wa Yanga wametoka kwenye majukumu mazito ya kitaifa.
Kama walitumika sana, hilo si ni jukumu la Yanga kuwapumzisha?
Kama hilo halitoshi ukiangalia mazingira ya marefa bado wanaibeba SImba kuna tukio gemu na Mashujaa kule Kigoma Kibu D alichezewa rafu refa akatenga tuta leo the same same event kachezewa Yao refa kapeta.
ukiona refa hakubebi unatakiwa kuhesabu kuwa wapinzani wenu wapo 13 uwanjani. Sasa hilo nalo ni la kuwalaumu TFF?
Hakika matukio ni mengi ntajaza server ya JF tu ila Tff watambue kwa tabia hii ya kuipendelea Simba ni ngumu sana kuja kupata timu nzuri ya taifa tutaendelea kudemadema tu
Kama ni ngumu yanini sasa kulalamika?
 
Natoa kama Rai mashabiki wa Yanga hamna budi kuomba sana kwa ajili ya timu yenu maadui ni wengi mnoo mje na ndani ya uwanja na wanafanya kazi kwa kushirikiana kuhakikisha malengo yenu hayatimii.

Adui kwa kwanza mkubwa wa Yanga ni TFF, TFF ipo kwa lengo la kuhakikisha yanga inaharibu lakini kwa maombi na sala za wanayanga timu yao bado inafanya vizuri, nani anakumbuka gemu ngumu za Yanga back to back lakini bado yanga ikavuna pointi zote, nani anakumbuka Aucho kupigwa ban ili akose michezo muhimu lakini bado Yanga ikatusua.

Kali zaidi ni hii ratiba ya sasa ukiangalia ratiba Simba ndio ana viporo vingi ila bado ratiba inampa upendeleo, nlitegemea Simba ndio aanze kucheza gemu zake kwanza halafu Yanga ndio wafwate ila imekua kinyume.

Nani anakumbuka gemu ya Azam na Simba ilivyopigwa danadana lengo tu Tff waliona upepo wa Simba sio mzuri wakawapa muda wa kujipanga na kufanya sajili ili tu kuwatengenezea mazingira mazuri ya ushindi, kumbuka hapo yanga alicheza na Azam, Singida utd, Simba bado akaenda tanga kucheza na vijukuu vya Simba Kostali united.

Yanga imecheza leo, Kesho inapanda ndege inakwenda Mbeya kumbuka watashukia Songwe na safari ya basi mpaka mbeya wakati huo Kesho Simba anacheza na Azam Mwanza then anacheza na Geita utd pasipo na Shaka Tff watawabana Geita utd wachezee Mwanza so Simba hatosafiri na kupata faida ya kupunguza uchovu haya yote yanamtengenezea mazingira Simba..

Ukiangalia Afcon inayoendelea Wachezaji wawili muhimu wa Yanga Nondo na Bacca walitumika sana karibia mechi zote walicheza ila ajabu bado ratiba ya Azam confederation cup walianza kucheza Yanga ilihali Tff wakifahamu wachezaji wa Yanga wametoka kwenye majukumu mazito ya kitaifa.

Kama hilo halitoshi ukiangalia mazingira ya marefa bado wanaibeba SImba kuna tukio gemu na Mashujaa kule Kigoma Kibu D alichezewa rafu refa akatenga tuta leo the same same event kachezewa Yao refa kapeta.

Hakika matukio ni mengi ntajaza server ya JF tu ila Tff watambue kwa tabia hii ya kuipendelea Simba ni ngumu sana kuja kupata timu nzuri ya taifa tutaendelea kudemadema tu
Mayowe yameshaanza
FB_IMG_1705064420337.jpg
 
MPIRA WA BONGO NDIVYO ULIVYO.

SISI HATUTAKUJA KUENDELEA HATA SEKTA MOJA.

N:B UKIZIDISHA SANA USHABIKI WA SIMBA NA YANGA AKILI ZINAANZA KUPUNGUA.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kama wewe ndio Mwl unafundisha watoto wote uwanja wa Ndege wa Songwe upo mbeya basi nchi kama nchi bado kuna tatizo kubwa hufahamu kwamba hiyo ni mikoa miwili tofauti Songwe ni mkoa na Mbeya ni mkoa sasa inakuaje hapo bwana shabiki wa Simba Ila kuwaelewesha mashabiki wa Simba kazi kweli kweli.
Unapotaka kukosoa ufanye utafiti kwanza..acha kuchanganywa na majina ya mikoa..uwanja unaitwa Songwe ila uko mkoa wa Mbeya.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Songwe Airport ipo mkoa wa Mbeya, siyo Songwe.
Unapotaka kukosoa ufanye utafiti kwanza..acha kuchanganywa na majina ya mikoa..uwanja unaitwa Songwe ila uko mkoa wa Mbeya.
Aisee nilikua sijui hili, ndio nimejua leo. Mko sahihi kabisa.

Imetumwa : May 12th, 2018

Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Mbeya imependekeza kwa pamoja kubadilishwa kwa jina la Uwanja wa Ndege wa Songwe kuitwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mbeya (MIA)

Mapendekezo hayo yalitolewa na wajumbe wa Kamati hiyo katika kikao kilichofanyika jana Ukumbi wa Mkapa na kusema kuwa kumekuwa na mkanganyiko wa mahali ambapo uwanja huo upo.

Akiongea katika Kikao hicho Mwenyekiti wa kamati Mhe. Amos Makalla alisema kuwa kuwepo kwa Mkoa na Wilaya mpya iliyobeba jina la Songwe kumeleta changamoto ya utambuzi sahihi wa maeneo na miundombinu inayotumia jina hilo.

Mhe. Makalla alisema changamoto hiyo imeleta mkanganyiko mkubwa hususani kwa wageni mbalimbali wakiwemo watalii, wasafiri, wawekezaji na hata Watendaji wa Serikali kujua eneo halisi la uwanja huo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mbeya Bw Mwalingo Kisemba alisema kuwa lengo la kubadili jina ni kufanikisha kwa urahisi mikakati ya mkoa ya uwekezaji, biashara na utalii ili kuwarahisishia wawekezaji namna ya kuutambua mkoa na miundombinu yake.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chunya Bw. Bosco Mwanginde alisema kuwa mkanganyiko huo wa jina la uwanja umepelekea wawekezaji kudhani kuwa miundombinu hiyo ipo Mkoa wa Songwe badala ya Mkoa wa Mbeya na kuupunguzia mkoa sifa ya kuwepo kwa miundombinu rafiki kwa ajili ya uwekezaji.

Ujenzi wa uwanja wa Songwe ulizinduliwa rasmi mwaka 2001 na kuanza kutumika mwaka 2012. Jina la Uwanja wa Songwe lilitokana eneo ambalo uwanja huo upo na uwepo wa mto Songwe eneo hilo.
 
Aisee nilikua sijui hili, ndio nimejua leo. Mko sahihi kabisa.

Imetumwa : May 12th, 2018

Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Mbeya imependekeza kwa pamoja kubadilishwa kwa jina la Uwanja wa Ndege wa Songwe kuitwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mbeya (MIA)

Mapendekezo hayo yalitolewa na wajumbe wa Kamati hiyo katika kikao kilichofanyika jana Ukumbi wa Mkapa na kusema kuwa kumekuwa na mkanganyiko wa mahali ambapo uwanja huo upo.

Akiongea katika Kikao hicho Mwenyekiti wa kamati Mhe. Amos Makalla alisema kuwa kuwepo kwa Mkoa na Wilaya mpya iliyobeba jina la Songwe kumeleta changamoto ya utambuzi sahihi wa maeneo na miundombinu inayotumia jina hilo.

Mhe. Makalla alisema changamoto hiyo imeleta mkanganyiko mkubwa hususani kwa wageni mbalimbali wakiwemo watalii, wasafiri, wawekezaji na hata Watendaji wa Serikali kujua eneo halisi la uwanja huo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mbeya Bw Mwalingo Kisemba alisema kuwa lengo la kubadili jina ni kufanikisha kwa urahisi mikakati ya mkoa ya uwekezaji, biashara na utalii ili kuwarahisishia wawekezaji namna ya kuutambua mkoa na miundombinu yake.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chunya Bw. Bosco Mwanginde alisema kuwa mkanganyiko huo wa jina la uwanja umepelekea wawekezaji kudhani kuwa miundombinu hiyo ipo Mkoa wa Songwe badala ya Mkoa wa Mbeya na kuupunguzia mkoa sifa ya kuwepo kwa miundombinu rafiki kwa ajili ya uwekezaji.

Ujenzi wa uwanja wa Songwe ulizinduliwa rasmi mwaka 2001 na kuanza kutumika mwaka 2012. Jina la Uwanja wa Songwe lilitokana eneo ambalo uwanja huo upo na uwepo wa mto Songwe eneo hilo.
Yes, hauko peke yako. Wengi ilikuwa ikiwachanganya hii na wengi bado inawachanganya.
 
Mkuu songwe airport Ipo mkoani mbeya,ni dk10 tu kwa daladala kutoka airport mpaka city centre
 
Yanga ikiwa inafanya vizuri TFF inapumua ila mambo yakianza kuonekana tofauti............
 
Natoa kama Rai mashabiki wa Yanga hamna budi kuomba sana kwa ajili ya timu yenu maadui ni wengi mnoo mje na ndani ya uwanja na wanafanya kazi kwa kushirikiana kuhakikisha malengo yenu hayatimii.

Adui kwa kwanza mkubwa wa Yanga ni TFF, TFF ipo kwa lengo la kuhakikisha yanga inaharibu lakini kwa maombi na sala za wanayanga timu yao bado inafanya vizuri, nani anakumbuka gemu ngumu za Yanga back to back lakini bado yanga ikavuna pointi zote, nani anakumbuka Aucho kupigwa ban ili akose michezo muhimu lakini bado Yanga ikatusua.

Kali zaidi ni hii ratiba ya sasa ukiangalia ratiba Simba ndio ana viporo vingi ila bado ratiba inampa upendeleo, nlitegemea Simba ndio aanze kucheza gemu zake kwanza halafu Yanga ndio wafwate ila imekua kinyume.

Nani anakumbuka gemu ya Azam na Simba ilivyopigwa danadana lengo tu Tff waliona upepo wa Simba sio mzuri wakawapa muda wa kujipanga na kufanya sajili ili tu kuwatengenezea mazingira mazuri ya ushindi, kumbuka hapo yanga alicheza na Azam, Singida utd, Simba bado akaenda tanga kucheza na vijukuu vya Simba Kostali united.

Yanga imecheza leo, Kesho inapanda ndege inakwenda Mbeya kumbuka watashukia Songwe na safari ya basi mpaka mbeya wakati huo Kesho Simba anacheza na Azam Mwanza then anacheza na Geita utd pasipo na Shaka Tff watawabana Geita utd wachezee Mwanza so Simba hatosafiri na kupata faida ya kupunguza uchovu haya yote yanamtengenezea mazingira Simba..

Ukiangalia Afcon inayoendelea Wachezaji wawili muhimu wa Yanga Nondo na Bacca walitumika sana karibia mechi zote walicheza ila ajabu bado ratiba ya Azam confederation cup walianza kucheza Yanga ilihali Tff wakifahamu wachezaji wa Yanga wametoka kwenye majukumu mazito ya kitaifa.

Kama hilo halitoshi ukiangalia mazingira ya marefa bado wanaibeba SImba kuna tukio gemu na Mashujaa kule Kigoma Kibu D alichezewa rafu refa akatenga tuta leo the same same event kachezewa Yao refa kapeta.

Hakika matukio ni mengi ntajaza server ya JF tu ila Tff watambue kwa tabia hii ya kuipendelea Simba ni ngumu sana kuja kupata timu nzuri ya taifa tutaendelea kudemadema tu
Jana kulikuwa na clear penalties 4
1 Yao yao
2Beki wa biashara alinawa
3Max
4Kibabange
Zote refa alimeza filimbi!
 
Kusema Simba ina viporo vingi hiyo sio kauli ya kweli.

Simba ina kiporo kimoja tu

Lakini kama kiporo ndio sehemu ya kuonesha kuwa Simba inapendelewa mbona huongelei Azam ambayo ilikuwa imecheza mechi nyingi kuliko wewe?

Azam mpaka inaongoza ligi ilikuwa ni sababu ya Yanga na Simba kutocheza baadhi ya mechi.

Kwa maana hiyo Azam wakisema watumie kauli yako basi utaonekana hata wewe ni sehemu ya wanufaika wa mfumo wa TFF.

Unataka kujua kwanini Simba ina kiporo kimoja kuliko nyie?

Angalia katika nchi hii ni timu gani iliyokuwa ipo kwenye mashindano mengi kuliko timu nyingine
Kuwa Yanga ni mmoja wa mnufaika hilo halina ubishi na hiyo imetengenezwa namna ili ionekane Yanga nae yumo ila mlengwa mkuu yaani mnufaika namba moja ni Simba.
Swala la mashindano mengi ni shindano moja tu ndio iliyoongezeka ambayo ilikuwa ni AFL ambapo mlicheza mechi mbili tu mkaaga mashindano. Au mlicheza hadi fainali?
Ukitaka kuona TFF wapo kimkakati zaidi na wapo kwaajili ya kuitengenezea mazingira simba kwa kutengeza matokeo; angalia ratiba walivyopanga, yaani Simba ndiye mwenye kiporo zaidi ya wote lakini kwenye fixture wameifanya Yanga ndio itangulie kucheza kabla ya Simba. Kichekesho zaidi ni kwamba Yanga ndiye atakayeaanza kucheza mechi ya raundi ya 15 na mechi ya raundi ya pili kabla ya hata ya Simba. Wameweka ratiba ya kiporo cha Simba tarehe ya mbele ambapo Yanga atakuwa bado katangulia mechi.
 
Back
Top Bottom