machar
Member
- Jun 19, 2020
- 45
- 35
Kosa la tanga, walitakiwa kuchangamka kumkimbilia Aziz ki kwenye kibendera, na kushangilia naye mda ule ule, Ile duwaa Yao ndo imewagarimu, afu pili motsepe aliingia madarakani kwa wapinzani wake wote kujitoa na yy kubaki mgombea pekee uenyekiti CAF kwaio mshamjua ni MTU wa aina gani so GSM watulie, atakaeieza ligi ya motsepe ni PDG papaa moise katumbi wa pale mboka ya Lubumbashi tu.