Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AahaaaaTusubilie malalamiko kutoka kwa hawa ndugu zetu waliofeli kiume[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaTusubilie malalamiko kutoka kwa hawa ndugu zetu waliofeli kiume[emoji23][emoji23]
Hapana watacheza mechi moja badala ya mbiliHapo yanga walienda wakashindwa kutua wakarudi, wakaenda tena Dodoma wakatua na kuanza taratibu za kwenda singida now mchezo umeahirishwa inabidi waanze utaratibu wa kurudi dar, hii nchi hii
Ujanja kuwahi na kufikaKuna tetesi zilienea kuwa Simba alitaka mechi yao dhidi ya yanga isogezwe mbele yanga wakawawahi bodi ya ligi wakasema mechi haisogezwi lakini wao Leo wamekiomba kile kile walichomgomea simba
Ndiye yule Mbumbumbu niliyekwambia anateseka sana [emoji1787]Kwani utopolo wanahitaji muda gani kujiandaa kwa game ya lile kombe lao pendwa la watoto?
Wameanza kupanda ndege humu ndani si walikua wanaendaga na mabasiHapo yanga walienda wakashindwa kutua wakarudi, wakaenda tena Dodoma wakatua na kuanza taratibu za kwenda singida now mchezo umeahirishwa inabidi waanze utaratibu wa kurudi dar, hii nchi hii
Mchokozi sana wewe mwanathiimba [emoji2960]Wameanza kupanda ndege humu ndani si walikua wanaendaga na mabasi
Ulisema Marumo ni timu ya ngapi kwenye msimamo wa ligi yao?Kwani utopolo wanahitaji muda gani kujiandaa kwa game ya lile kombe lao pendwa la watoto?
Mechi iliyohairishwa ni ya tarh 7 hii ya tareh 4 mbungi itapigwa kama kawa.Hapo yanga walienda wakashindwa kutua wakarudi, wakaenda tena Dodoma wakatua na kuanza taratibu za kwenda singida now mchezo umeahirishwa inabidi waanze utaratibu wa kurudi dar, hii nchi hii
Kwanini unateseka hivi?Usishangae hiyo mechi ya FA iliyoahirishwa ikija pangwa tena watakuja kuchezea Dar. Sioni hawa Uto wakirudi tena Singida.
Tulishayafanya hayo mpk fainaliDah! Ila dunia haiko fair hata kidogo. Yaani wakati Yanga inajiandaa kwa ajili ya nusu fainali mashindano ya CAF, eti simba inajiandaa kwa nusu fainali mashindano ya ASFC!!
Weka lile jedwali haraka. 😁Tulishayafanya hayo mpk fainali
KUmbe unalijua eeeWeka lile jedwali haraka. 😁
Kwa nini nisilijue, na wakati linawapa faraja?KUmbe unalijua eee
Linawaumiza eee?Kwa nini nisilijue, na wakati linawapa faraja?