Haya mambo miaka zaidi ya minne mlikuwa mnayaona tu.Dah! Ila dunia haiko fair hata kidogo. Yaani wakati Yanga inajiandaa kwa ajili ya nusu fainali mashindano ya CAF, eti simba inajiandaa kwa nusu fainali mashindano ya ASFC!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo miaka zaidi ya minne mlikuwa mnayaona tu.Dah! Ila dunia haiko fair hata kidogo. Yaani wakati Yanga inajiandaa kwa ajili ya nusu fainali mashindano ya CAF, eti simba inajiandaa kwa nusu fainali mashindano ya ASFC!!
Cheti chako ulikighushi Milembe we kilazaYanga hatowaza sana maana atakuwa amenyakuwa kombe la CAF.
Pole sana wewe makolo.Cheti chako ulikighushi Milembe we kilaza
[emoji28][emoji1787][emoji23]