Comment from son of a bitch.Mechi za Simba zilipokuwa zinasogezwa mbele kuwapa nafasi kujiandaa na mechi ya kimataifa misimu kadhaa nyuma, Nyani FC walikuwa wanapiga kelele kama vyura bwawani. Leo kunani?
Tulisema na nyinyi Iko siku mtashiriki michuano ya kimataifa na mtaomba jambo kama hilo mtendewe. Akili zimewarudia sasa?
Siyo kila kitu ni kupinga tu ili uonekane kolo kweli ninyi si mlikwenda hadi Dubai mmeshasahau kweli wazee wa takwimuUkitaka kujua huu ni upuuzi, Simba wangekuwepo bado kwenye mashindano ya CAF, haya mabadiliko yasingefanyika.
Siyo kila kitu ni kupinga tu ili uonekane kolo kweli ninyi si mlikwenda hadi Dubai mmeshasahau kweli wazee wa takwimu
Nimecheka sana [emoji1787][emoji1787]Comment from son of a bitch.
Hii michuano ya ndani Lengo lake ni kupata timu itakayoenda kuwakilisha nchi, Yanga tayari anawakilisha nchi hivyo ikiwezekana mechi zote za ndani zinazoihusisha Yanga ziwe suspended paka pale Yanga atakapojua hatma yake huko caf.Mechi ilisogezwa mbele siku moja tu wakati hii imeahirishwa hadi hawajui itachezwa lini eti wanasubiri matokeo ya Yanga. Upuuzi mtupu.
Kama ni hivyo, ingekuwa vyema ingejitoa kabisa. Ila usidanganye watu, kuwakilisha ni zawadi za ziada, zawadi kuu zinazopambaniwa ni ubingwa wenyewe na zawadi za pesa. Kama ni kuwakilisha, timu zote nne zilizo kwenye nusu fainali zimeshapata nafasi ya kuwakilisha.Hii michuano ya ndani Lengo lake ni kupata timu itakayoenda kuwakilisha nchi, Yanga tayari anawakilisha nchi hivyo ikiwezekana mechi zote za ndani zinazoihusisha Yanga ziwe suspended paka pale Yanga atakapojua hatma yake huko caf.
Mkuu hoja Yako ni nini hasa? Usifanye nikuweke kwenye lile kundi aliosema Aden rageKama ni hivyo, ingekuwa vyema ingejitoa kabisa.
Rage ndiye mungu wako?Mkuu hoja Yako ni nini hasa? Usifanye nikuweke kwenye lile kundi aliosema Aden rage
Baki kwenye hojaRage ndiye mungu wako?
Unataka yanga ajitoe ili mpate kitonga ya kuambulia hata kombe la mbuzi ASFA, kwa taarifa Yanga inachikua makombe yote msimu huu na nyie hamuambulii hata kombe mojaKama ni hivyo, ingekuwa vyema ingejitoa kabisa. Ila usidanganye watu, kuwakilisha ni zawadi za ziada, zawadi kuu zinazopambaniwa ni ubingwa wenyewe na zawadi za pesa. Kama ni kuwakilisha, timu zote nne zilizo kwenye nusu fainali zimeshapata nafasi ya kuwakilisha.
Tunawatamani sana, njooni tunawasubiri MkwakwaniUnataka yanga ajitoe ili mpate kitonga ya kuambulia hata kombe la mbuzi ASFA, kwa taarifa Yanga inachikua makombe yote msimu huu na nyie hamuambulii hata kombe moja
Akilifunga tawi lake atamkuta Robertinho anamsubiri finali.Soma barua ya TFF
View attachment 2607277
======
Bodi ya Ligi Kuu itaupangia tarehe nyingine mchezo wa ligi kuu kati ya Singida BS dhidi ya Yanga ambao ulipaswa kupigwa mwishoni mwa wiki.
Yanga inatarajiwa kusafiri nchini Nigeria kwa ajili ya mchezo wa mkondo wa kwanza Robo Fainali Kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Rivers United utakaopigwa Jumapili April 23.
Mchezo wa marudiano utapigwa April 30 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Baada ya Singida BS, mchezo utakaofuata ni dhidi ya Dodoma Jiji ambao utapigwa uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
Ratiba ya mchezo huo nayo huenda ikaathiriwa kutokana na ratiba ta mechi za CAF. Yanga itakwenda kuhitimisha msimu mkoani Mbeya kwa mechi mbili dhidi ya Mbeya City na Tanzania Prisons.
Katika mechi nne zilizosalia, Yanga inahitaji alama nane ili kitetea ubingwa kwa msimu wa pili mfululizo
Wananchi pia wanakabiliwa na mchezo wa nusu fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) dhidi ya Singida BS ambao utapigwa uwanja wa Liti, Singida.
Tanzania Web
Yanga hatowaza sana maana atakuwa amenyakuwa kombe la CAF.Akilifunga tawi lake atamkuta Robertinho anamsubiri finali.
Msimu huu utopolo anatoka kapa. NBC hapati na Azam anakosa.
Habari za Mtwara?[emoji23][emoji23] mkakomae kimataifa wamebaki wanaume sio waliokufa kiumeTunawatamani sana, njooni tunawasubiri Mkwakwani
Kutoka Casablanca mpka mkwakwani [emoji3061][emoji3061] maisha haya konyo..!Akilifunga tawi lake atamkuta Robertinho anamsubiri finali.
Msimu huu utopolo anatoka kapa. NBC hapati na Azam anakosa.
Mtwara na Singida kuna tofauti gani?Habari za Mtwara?[emoji23][emoji23] mkakomae kimataifa wamebaki wanaume sio waliokufa kiume
Pambaneni na Azam kwanzaTunawatamani sana, njooni tunawasubiri Mkwakwani
Wanaogopa sana mechi hawa kenge utadhani siyo timu ya mpira. Imagine wanaogopa kucheza na timu ambayo hata wakiingiza wachezaji 8 uwanjani wana uhakika wa kushinda.hawa kenge si ndio walikuwa wakilalamika kuhusu Simba kusogezwa mechi zao wakati wanashiriki kimataifa ila sasa hivi wao ndio wanaomba mechi zao zisimame ili wajiandae