TFF yajitenga na kauli ya Ndumbaro, yatoa hakikisho la usalama kwa timu zitakazokuja kwa ajili ya CAFCL na hakutakuwa na Ubaguzi kama ilivyodaiwa

TFF yajitenga na kauli ya Ndumbaro, yatoa hakikisho la usalama kwa timu zitakazokuja kwa ajili ya CAFCL na hakutakuwa na Ubaguzi kama ilivyodaiwa

Solution ya kukomesha ushabiki wa kishamba inatakiwa kinuke siku moja Kwa Mkapa wafe kama mashabiki uchwara 100 ndio heshima itakuwepo, na hakuna tena atakayekwenda uwanjani kwa mechi isiyomuhusu.
Unanikumbusha Bunge la Manyani pale Dodoma.
 
Solution ya kukomesha ushabiki wa kishamba inatakiwa kinuke siku moja Kwa Mkapa wafe kama mashabiki uchwara 100 ndio heshima itakuwepo, na hakuna tena atakayekwenda uwanjani kwa mechi isiyomuhusu.
Mapovu ya Nini, Simba imecheza hatua hii Mara nyingi hatujawahi kusikia malalamiko, rais wenu alivaa jezi ya Kaizer Chief hakukuwa na malalamiko, mlipokea wageni bado hakukuwa na malalamiko kwanini mmeanza kuingia uoga.
 
Kwa nini inaongelea zaidi mechi ya yanga kuliko ya Simba...kwani hili la kuvaa jezi si limeongelewa Kwa timu zote...
 
Kwa nini inaongelea zaidi mechi ya yanga kuliko ya Simba...kwani hili la kuvaa jezi si limeongelewa Kwa timu zote...
Simba wameingia hatua hii Mara nyingi na hatujawahi kuwa na hii marufuku. Rais wa yanga alivaa jezi ya Kaizer Chief wakati Simba inacheza na Kaizer Chief kulikuwa hakuna katazo lolote, yanga wamepikea timu ngeni na kuvaa jezi zao hakuna kauli yoyote iliyotolewa.
Aliyeanza kulalamika ni kiongozi wa yanga ambaye ni makamu wa rais wa yanga kuwa.inabidi Simba na yanga washabiki wawe kitu.kimoja. hivyo inachukuliwa Kama serikali inawalinda yanga.
 
"Thus, not that passports will not be used as access to the stadium for supporters of Mamelody Sundowns FC..."

This double negation conveys a message that passports will be an entrance requirement.

Hawa TFF walisomea wapi Kingereza?
Thus note that pass will not ...
 
Kwahiyo baada ya barua ya TFF, je, kuna Watanzania watavaa jezi za Mamelod na Al Alhly?

Unajua sisi Watanzania ni waoga sana, unaweza kukuta ule mkwara wa waziri ukaendelea kuzunguka ndani ya vichwa vya Watanzania japokuwa kuna hakikisho la kutosumbuliwa kutoka TFF. Ngoja tusubiri!


Lakini itakuwa ni uzalendo kuvaa jezi za Simba na Yanga kwa Watanzania na kutovaa jezi za wageni!
 
Toka mwanzo nilisema hii issue inahusiana na mechi ya Yanga kuliko hata ya Simba, mmeona sasa wenyewe kwenye barua ya TFF.

Inawezekana Serikali ilikuwa na nia njema kukataza jezi za Mamelodi ili kuepusha vurugu maana mechi ya Yanga itakuwa sensitive sana (wataumia sana wakifungwa halafu Simba ishinde) ila mtindo wa muda mrefu wa serikali kukimbia majukumu yake ya kutoa ulinzi na usalama badala yake kutafuta njia za mkato za makatazo huku wakibinya uhuru na haki za raia ndiyo matokeo yake haya. Naamini kuna kitu watakuwa wamejifunza.

Raia tuna sauti na nguvu tukiamua kuzitumia. Ni suala la kujitambua tu.
Simba haiwezi ifunga ali ali
 
"Thus, not that passports will not be used as access to the stadium for supporters of Mamelody Sundowns FC..."

This double negation conveys a message that passports will be an entrance requirement.

Hawa TFF walisomea wapi Kingereza?
Kiinglish cha kwenye hiyo barua na mimi kimentia shaka hata kwa sisi tuliojikita zaidi kwenye lugha za jadi
 
Toka mwanzo nilisema hii issue inahusiana na mechi ya Yanga kuliko hata ya Simba, mmeona sasa wenyewe kwenye barua ya TFF.

Inawezekana Serikali ilikuwa na nia njema kukataza jezi za Mamelodi ili kuepusha vurugu maana mechi ya Yanga itakuwa sensitive sana (wataumia sana wakifungwa halafu Simba ishinde) ila mtindo wa muda mrefu wa serikali kukimbia majukumu yake ya kutoa ulinzi na usalama badala yake kutafuta njia za mkato za makatazo huku wakibinya uhuru na haki za raia ndiyo matokeo yake haya. Naamini kuna kitu watakuwa wamejifunza.

Raia tuna sauti na nguvu tukiamua kuzitumia. Ni suala la kujitambua tu.
Wewe ni msengeeelemaaa... Yanga anahisikaje na kauli ya waziri. Utakuwa unatiwa madolee
 
Solution ya kukomesha ushabiki wa kishamba inatakiwa kinuke siku moja Kwa Mkapa wafe kama mashabiki uchwara 100 ndio heshima itakuwepo, na hakuna tena atakayekwenda uwanjani kwa mechi isiyomuhusu.
Mtu kavaa jezi ya Mamelodi katika mechi ya Mamelodi halafu unasema mechi haimuhusu.
 
Mchelea Mwana Kulia Hulia Yeye



Ndumbaro Afutwe Kazi Ama Azuiwee Kuingia Uwanjani Ametutia Aibu Sana Duniani
 
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema hakuna shabiki atakayedaiwa pasipoti wakati anaingia uwanjani katika mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Mamelodi Sundowns.

TFF imesisitiza kuwa michezo haisimamiwi na idara ya uhamiaji, hivyo imewatoa hofu wachezaji, mashabiki na uongozi wa Mamelodi na kuwahakikisha usalama muda wote watakaokuwepo nchini.

View attachment 2942703

Maoni Yangu: TFF wamechelewa sana kutoa tamko na waziri Ndubalo ajitokeze kutengua kauli yake na kutuomba Radhi mashabiki wa mpira wa miguu.
sio kuomba radhi ajiuzuru
 
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema hakuna shabiki atakayedaiwa pasipoti wakati anaingia uwanjani katika mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Mamelodi Sundowns.

TFF imesisitiza kuwa michezo haisimamiwi na idara ya uhamiaji, hivyo imewatoa hofu wachezaji, mashabiki na uongozi wa Mamelodi na kuwahakikisha usalama muda wote watakaokuwepo nchini.

View attachment 2942703

Maoni Yangu: TFF wamechelewa sana kutoa tamko na waziri Ndubalo ajitokeze kutengua kauli yake na kutuomba Radhi mashabiki wa mpira wa miguu.
Huyu Ndumbaro ndiye anafanya watu wafupi wadharauliwe
 
Najiuliza hii nguvu kubwa inayotumika kudhibiti mashabiki wa Sundown mbona haikutumika kipindi UTOPOLO anakesha airport kuwapokea AC Vita na Kaizer Chief na wengine.

Hofu ni ya nini?

Mbona Simba hawalalamiki?
AC Vita ni club ya wapi?
 
Hata Hivyo Rungu Laja Subirini Muone Sababu Serikali Imeingilia Michezo Wazi Wazi
Jengeni viwanja vyenu kama mnataka serikali isiwaingilie.

Serikali inaingia popote muulize Michael Wambura atakupa somo.

Sakata la Fei toto na Yanga limemalizwa na serikali, mnajizima data tu, mnapotaka kuandaa Afcon hao TFF Wana mavi ya kujenga viwanja?
 
Mchelea Mwana Kulia Hulia Yeye



Ndumbaro Afutwe Kazi Ama Azuiwee Kuingia Uwanjani Ametutia Aibu Sana Duniani
Labda kule Bunju kama mnaweza kucheza na Al Ahaly ndio mna haki ya kumzuia, lakini huwezi kumzuia mtu nyumbani kwake, Benjamin Mkapa stadium ni Mali ya serikali, watu wa Simba na Yanga mmejaa porojo tu hamna kitu.
 
Back
Top Bottom