KidhunguHiyo barua wameandika kwa KIZUNGU AU KIINGEREZA??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unanikumbusha Bunge la Manyani pale Dodoma.Solution ya kukomesha ushabiki wa kishamba inatakiwa kinuke siku moja Kwa Mkapa wafe kama mashabiki uchwara 100 ndio heshima itakuwepo, na hakuna tena atakayekwenda uwanjani kwa mechi isiyomuhusu.
Mapovu ya Nini, Simba imecheza hatua hii Mara nyingi hatujawahi kusikia malalamiko, rais wenu alivaa jezi ya Kaizer Chief hakukuwa na malalamiko, mlipokea wageni bado hakukuwa na malalamiko kwanini mmeanza kuingia uoga.Solution ya kukomesha ushabiki wa kishamba inatakiwa kinuke siku moja Kwa Mkapa wafe kama mashabiki uchwara 100 ndio heshima itakuwepo, na hakuna tena atakayekwenda uwanjani kwa mechi isiyomuhusu.
Simba wameingia hatua hii Mara nyingi na hatujawahi kuwa na hii marufuku. Rais wa yanga alivaa jezi ya Kaizer Chief wakati Simba inacheza na Kaizer Chief kulikuwa hakuna katazo lolote, yanga wamepikea timu ngeni na kuvaa jezi zao hakuna kauli yoyote iliyotolewa.Kwa nini inaongelea zaidi mechi ya yanga kuliko ya Simba...kwani hili la kuvaa jezi si limeongelewa Kwa timu zote...
Thus note that pass will not ..."Thus, not that passports will not be used as access to the stadium for supporters of Mamelody Sundowns FC..."
This double negation conveys a message that passports will be an entrance requirement.
Hawa TFF walisomea wapi Kingereza?
Simba haiwezi ifunga ali aliToka mwanzo nilisema hii issue inahusiana na mechi ya Yanga kuliko hata ya Simba, mmeona sasa wenyewe kwenye barua ya TFF.
Inawezekana Serikali ilikuwa na nia njema kukataza jezi za Mamelodi ili kuepusha vurugu maana mechi ya Yanga itakuwa sensitive sana (wataumia sana wakifungwa halafu Simba ishinde) ila mtindo wa muda mrefu wa serikali kukimbia majukumu yake ya kutoa ulinzi na usalama badala yake kutafuta njia za mkato za makatazo huku wakibinya uhuru na haki za raia ndiyo matokeo yake haya. Naamini kuna kitu watakuwa wamejifunza.
Raia tuna sauti na nguvu tukiamua kuzitumia. Ni suala la kujitambua tu.
Kiinglish cha kwenye hiyo barua na mimi kimentia shaka hata kwa sisi tuliojikita zaidi kwenye lugha za jadi"Thus, not that passports will not be used as access to the stadium for supporters of Mamelody Sundowns FC..."
This double negation conveys a message that passports will be an entrance requirement.
Hawa TFF walisomea wapi Kingereza?
Wewe ni msengeeelemaaa... Yanga anahisikaje na kauli ya waziri. Utakuwa unatiwa madoleeToka mwanzo nilisema hii issue inahusiana na mechi ya Yanga kuliko hata ya Simba, mmeona sasa wenyewe kwenye barua ya TFF.
Inawezekana Serikali ilikuwa na nia njema kukataza jezi za Mamelodi ili kuepusha vurugu maana mechi ya Yanga itakuwa sensitive sana (wataumia sana wakifungwa halafu Simba ishinde) ila mtindo wa muda mrefu wa serikali kukimbia majukumu yake ya kutoa ulinzi na usalama badala yake kutafuta njia za mkato za makatazo huku wakibinya uhuru na haki za raia ndiyo matokeo yake haya. Naamini kuna kitu watakuwa wamejifunza.
Raia tuna sauti na nguvu tukiamua kuzitumia. Ni suala la kujitambua tu.
Mtu kavaa jezi ya Mamelodi katika mechi ya Mamelodi halafu unasema mechi haimuhusu.Solution ya kukomesha ushabiki wa kishamba inatakiwa kinuke siku moja Kwa Mkapa wafe kama mashabiki uchwara 100 ndio heshima itakuwepo, na hakuna tena atakayekwenda uwanjani kwa mechi isiyomuhusu.
Hata Hivyo Rungu Laja Subirini Muone Sababu Serikali Imeingilia Michezo Wazi WaziKaria kajiongeza bila kufata utaratibu wa CAF tungekutana na ban ya FIFA
sio kuomba radhi ajiuzuruShirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema hakuna shabiki atakayedaiwa pasipoti wakati anaingia uwanjani katika mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Mamelodi Sundowns.
TFF imesisitiza kuwa michezo haisimamiwi na idara ya uhamiaji, hivyo imewatoa hofu wachezaji, mashabiki na uongozi wa Mamelodi na kuwahakikisha usalama muda wote watakaokuwepo nchini.
View attachment 2942703
Maoni Yangu: TFF wamechelewa sana kutoa tamko na waziri Ndubalo ajitokeze kutengua kauli yake na kutuomba Radhi mashabiki wa mpira wa miguu.
Huyu Ndumbaro ndiye anafanya watu wafupi wadharauliweShirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema hakuna shabiki atakayedaiwa pasipoti wakati anaingia uwanjani katika mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Mamelodi Sundowns.
TFF imesisitiza kuwa michezo haisimamiwi na idara ya uhamiaji, hivyo imewatoa hofu wachezaji, mashabiki na uongozi wa Mamelodi na kuwahakikisha usalama muda wote watakaokuwepo nchini.
View attachment 2942703
Maoni Yangu: TFF wamechelewa sana kutoa tamko na waziri Ndubalo ajitokeze kutengua kauli yake na kutuomba Radhi mashabiki wa mpira wa miguu.
Kwani hiyo ndiyo mada inayozungumzwa?Simba haiwezi ifunga ali ali
AC Vita ni club ya wapi?Najiuliza hii nguvu kubwa inayotumika kudhibiti mashabiki wa Sundown mbona haikutumika kipindi UTOPOLO anakesha airport kuwapokea AC Vita na Kaizer Chief na wengine.
Hofu ni ya nini?
Mbona Simba hawalalamiki?
Jengeni viwanja vyenu kama mnataka serikali isiwaingilie.Hata Hivyo Rungu Laja Subirini Muone Sababu Serikali Imeingilia Michezo Wazi Wazi
Labda kule Bunju kama mnaweza kucheza na Al Ahaly ndio mna haki ya kumzuia, lakini huwezi kumzuia mtu nyumbani kwake, Benjamin Mkapa stadium ni Mali ya serikali, watu wa Simba na Yanga mmejaa porojo tu hamna kitu.Mchelea Mwana Kulia Hulia Yeye
Ndumbaro Afutwe Kazi Ama Azuiwee Kuingia Uwanjani Ametutia Aibu Sana Duniani