TFF Yatoa Rukhsa Klabu Za Ligi Kuu Kusajili Wachezaji 12 Wa Kigeni

TFF Yatoa Rukhsa Klabu Za Ligi Kuu Kusajili Wachezaji 12 Wa Kigeni

Kwasasa Simba haita wasaidia wanakurupuka tu Labda Mwakani. Safarihii Yanga wamewaweza Simba kwenye Battle ya fedha sehemu zote walizo gombea wachezaji na Simba,Yanga waliwazidi. Mfano Shabani Djuma, Ambundo, Aucho. Na ule mpango wa kuwapora wachezaji Yanga kupitia Tff swala la Morrison linachemka kule CAS. Kwaujumla Simba wamebanwa vilivyo na GSM.
Simba ilimtaka Ambundo seriously?
 
Tukitoka hapa tunalalamika timu ya taifa haifanyi vizuri tunaanza kutafuta mchawi wakati wenzetu wanaweka nguvu zaidi kwa wachezaji wa ndani ili kuwapandisha viwango sisi tuko busy kuwafurahisha Simba na Yanga[emoji38][emoji38]
Nitajie first 11 ya Senegal nambie inawachezaji wangapi wa ndani
 
Hata wakiongezwa pia Yanga na vilabu vingine si watafaidika sasa hofu ya nn.
Sajilini huu siyo muda wakupiga kelele then mje Tff na marefa wanawahujumu!
Tatizo ni namna kanuni ilivyp pitishwa.

Iweje klabu moja itambue mapema kuwa kanuni itabadilishwa katika wiki la misho la usajili na timu nyinginezo zikose hiyo taarifa ya awali.
 
Kwasasa Simba haita wasaidia wanakurupuka tu Labda Mwakani. Safarihii Yanga wamewaweza Simba kwenye Battle ya fedha sehemu zote walizo gombea wachezaji na Simba,Yanga waliwazidi. Mfano Shabani Djuma, Ambundo, Aucho. Na ule mpango wa kuwapora wachezaji Yanga kupitia Tff swala la Morrison linachemka kule CAS. Kwaujumla Simba wamebanwa vilivyo na GSM.
mwarabu kashawalipia lodge anawasubiri ili awabofye kizenji, huku akiendelea kuwalia mihogo mibichi na maziwa ya mtindi...

yakheeee mshalipiwa..
 
badala kujikita kuimarisha viwango vya wazawa kwa kuzishauri kama sio kuvitaka vilabu kua na accademy zao wamejikita kuongeza idadi ya wachezaji wa kigeni mmh kwa maana hiyo sasa simba na yanga ni kubwa kuliko TFF kiasi cha kwamba matakwa yao yanasikilizwa zaidi na kufuatwa.
 
Nitajie first 11 ya Senegal nambie inawachezaji wangapi wa ndani
Ukitumia akili yako sawia utagundua kuwa Senegal haihitaji kusumbuka na idadi ya wachezaji wa nda & nje kwenye ligi yao ikiwa tayari wana stock ya achezaji wazawa wanao cheza nje kama 50 hivi.

Bongo mna wangapi mkimtoa Samatta & Msuva?
 
Kwa mujibu wa mtendaji wa bodi ya ligi waliviandikia vilabu na wadau ili kupata maoni juu ya kanuni za ligi mwaka huu, klabu pekee iliyopeleka maoni ni yanga ila kwa sababu ukilala ukiamuka unaiwaza Simba ndio maana fikra zako zinahisi ni Simba ndio waliopeleka hayo maombi.
 
Brazil, Italy, Portugal, Germany na nchi nyingi duniani zinaruhusu wachezaji kati ya watano na saba na kila mechi wageni wanaoruhusiwa kucheza ni kati ya watatu hadi watano ili kuwapa nafasi wazawa waongeze viwango. Nchi hizi soka ni biashara kubwa sana na zina mafanikio makubwa katika soka duniani. Tanzania kichwa cha MWENDAWAZIMU TUNAKURUPUKA TU!!!
Kunywa maji kidogo upoze koo ndugu ikiwezekana pata masafi ya MeTL maana haya mambo si mepesi hivo

Twende taratibu hivi local players wa hayo mataifa tajwa hapo juu unaweza linganisha na wa taifa letu pendwa?

Najua jibu litakuwa hapana basi kama ni hivyo basi hatuna sababu ya kufananisha taratibu zetu na wengine coz we differ in every aspect.so,there is no need to reference them when football business is on table

Mind you, this is our own style of handling football .so never mind just breath and don't forget to consume enough water this night. Trust me! you will be fine🙄
 
Hivi unadhani hizo nchi nilizozitaja hapo juu kwanini HAZIJAKURUPUKA na kuruhusu utitiri wa foreign players katika vilabu vyao? Unadhani kwanini timu zao za Taifa zina mafanikio makubwa duniani? Nani kakudanganya kwamba nahitaji kunywa maji!? 😳😳😳Acha ujinga. Kwa upuuzi huu wa Karia timu ya Taifa itaendelea kuwa midebwedo mwa kipindi kirefu kijacho.
Badala ya kuangalia nchi nyingine duniani ambazo zina mafanikio makubwa ya soka katika timu zao za Taifa zina sera ipi kuhusu foreign players kaamua KUKURUPUKA TU!!
Kunywa maji kidogo upoze koo ndugu ikiwezekana pata masafi ya MeTL maana haya mambo si mepesi hivo

Twende taratibu hivi local players wa hayo mataifa tajwa hapo juu unaweza linganisha na wa taifa letu pendwa?

Najua jibu litakuwa hapana basi kama ni hivyo basi hatuna sababu ya kufananisha taratibu zetu na wengine coz we differ in every aspect.so,there is no need to reference them when football bussiness is on table

Mind you, this is our own style of handling football .so never mind just breath and don't forget to consume enough water this night. Trust me! you will be fine🙄
 
Msomali hana uchungu na soccer letu la ndani.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK

Corinthians have exceeded their limit of foreign players​

Logo: OneFootball

OneFootball
Dan Burke 13 February 2019
Article image: https://image-service.onefootball.com/crop/face?h=810&image=https%3A%2F%2Fwp-images.onefootball.com%2Fwp-content%2Fuploads%2Fsites%2F10%2F2019%2F02%2Fhttps___wp-images.onefootball.com_wp-content_uploads_sites_13_2019_02_brunomendez-e1550052907410-1024x769-1024x768.jpg&q=25&w=1080

With the arrival of Uruguayan defender Bruno Méndez, Corinthians have now exceeded the limit of foreign players allowed in their squad.
For national competitions, Brazilian clubs are allowed to name up to five players born outside Brazil in their roster.
Corinthians now have six: Méndez (Uruguay), Ángelo Araos (Chile), Mauro Boselli (Argentina), Sergio Díaz and Ángel Romero (Paraguay) and Junior Sornoza (Ecuador).


Romero’s situation, however, remains undefined. The winger had been heavily linked with a move away from Timão but recent reports suggested he has actually resumed negotiations with the club over a new contract.
The 26-year-old’s current deal is due to expire in July this year.
If not Romero then Corinthians made need to let one of their other foreign players go.
 
Hivi unadhani hizo nchi nilizozitaja hapo juu kwanini HAZIJAKURUPUKA na kuruhusu utitiri wa foreign players katika vilabu vyao? Unadhani kwanini timu zao za Taifa zina mafanikio makubwa duniani? Nani kakudanganya kwamba nahitaji kunywa maji!? 😳😳😳Acha ujinga. Kwa upuuzi huu wa Karia timu ya Taifa itaendelea kuwa midebwedo mwa kipindi kirefu kijacho.
Badala ya kuangalia nchi nyingine duniani ambazo zina mafanikio makubwa ya soka katika timu zao za Taifa zina sera ipi kuhusu foreign players kaamua KUKURUPUKA TU!!
Ndio! ndio! Binafsi sijakupinga ila ukweli utabaki kuwa bado tuna safari ndefu.

And the issue is sio tu kulimit number of international or foreign players kwenye ligi ili tuweke timu yetu ya taifa vizuri ila kuna mambo kibao bado tuko nyuma.

Just imagine ligi yetu pendwa isipochezwa daslamu au kaitaba viwanja vilivyo baki we mwenyewe shuhuda

Nadhani mpaka hapa tunaweza develop debate yetu kwa uzuri sasa
 
Mkubwa wachezaji 12 wa kigeni ni wengi sana hasa kwa hizi timu zetu za Kiafrika na pia imewekwa ni lazima wachezaji 4 waanze kwenye game

Sure am telling you, huu ndo mwanzo wa kuwa na flop players wengi wa kigeni kwenye benchi na wanakula mishahara mikubwa

Mark my words
 
Pia kwa mawazo yangu mengine, just imagine Shirikisho lingekuwa limeruhusu wachezaji let's say watano tu wakigeni.

Na hii timu ya simba ndo ingekuwa inafika hadi robo fainali, maana yake mchango wa wachezaji wa ndani ungekuwa mkubwa sana

Na hata potential market ya wachezaji pale simba wanaotakiwa na Northern giants wengi wao wangekuwa ni wachezaji wazawa.

Na hii moja kwa moja faida Ilikuwa inaenda kwenye timu ya taifa, na tungeifurahia timu yetu kuwa na top players kwa Afrika wachezaji wa ndani

Leo hii kwa sheria hii ya mabadiliko ya wachezaji wa kigeni, ni wachezaji 4 ndo wanatakiwa kuanza

Simba
1.Manula
2.kapombe
3.mohamed hussein
4.Jonh bocco

Yanga
1.Mwamnyeto
2.David bryson
3.Feisal
4.Hapa ni Kaseke au Ambundo

Azam
1.Aggrey moris
2.Iddy Nado
3.ayoub lyanga
4.mudathir au sure boy

Angalia namna tulivyo na weak squad kama taifa na hao wanaoanza sio kwamba ni wazuri sana, hapana ila ndo sheria inalazimisha hivyo

Kama taifa inabidi tukae na tujitafakari katika swala hili

I stand to be corrected
 
Tukitoka hapa tunalalamika timu ya taifa haifanyi vizuri tunaanza kutafuta mchawi wakati wenzetu wanaweka nguvu zaidi kwa wachezaji wa ndani ili kuwapandisha viwango sisi tuko busy kuwafurahisha Simba na Yanga😆😆
Wachezaji wa ndani ndiyo sample za kina Ajibu, hata hawajielewi.....Acha wajae wageni tu
 
Mkubwa wachezaji 12 wa kigeni ni wengi sana hasa kwa hizi timu zetu za Kiafrika na pia imewekwa ni lazima wachezaji 4 waanze kwenye game

Sure am telling you, huu ndo mwanzo wa kuwa na flop players wengi wa kigeni kwenye benchi na wanakula mishahara mikubwa

Mark my words
Siyo lazima usajili 12 wote....unaweza sailing hata wale bora 7 wakafanya kazi nzuri
 
Pia kwa mawazo yangu mengine, just imagine Shirikisho lingekuwa limeruhusu wachezaji let's say watano tu wakigeni.

Na hii timu ya simba ndo ingekuwa inafika hadi robo fainali, maana yake mchango wa wachezaji wa ndani ungekuwa mkubwa sana

Na hata potential market ya wachezaji pale simba wanaotakiwa na Northern giants wengi wao wangekuwa ni wachezaji wazawa.

Na hii moja kwa moja faida Ilikuwa inaenda kwenye timu ya taifa, na tungeifurahia timu yetu kuwa na top players kwa Afrika wachezaji wa ndani

Leo hii kwa sheria hii ya mabadiliko ya wachezaji wa kigeni, ni wachezaji 4 ndo wanatakiwa kuanza

Simba
1.Manula
2.kapombe
3.mohamed hussein
4.Jonh bocco

Yanga
1.Mwamnyeto
2.David bryson
3.Feisal
4.Hapa ni Kaseke au Ambundo

Azam
1.Aggrey moris
2.Iddy Nado
3.ayoub lyanga
4.mudathir au sure boy

Angalia namna tulivyo na weak squad kama taifa na hao wanaoanza sio kwamba ni wazuri sana, hapana ila ndo sheria inalazimisha hivyo

Kama taifa inabidi tukae na tujitafakari katika swala hili

I stand to be corrected
Tz tuna timu saizi 16,usiangalie timu 3 tu
 
Back
Top Bottom