pachachiza
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,863
- 2,757
Unajua walipeleka pendekezo lipi? Maana kubadilishwa hilo pendekezo hapo sio kwamba yanga ndio walipendekeza.Kwa mujibu wa mtendaji wa bodi ya ligi waliviandikia vilabu na wadau ili kupata maoni juu ya kanuni za ligi mwaka huu, klabu pekee iliyopeleka maoni ni yanga ila kwa sababu ukilala ukiamuka unaiwaza Simba ndio maana fikra zako zinahisi ni Simba ndio waliopeleka hayo maombi.
Juzi hapa niliwapenyezea za chini ya kapeti. Wengi walinijia Inbox na kuniuliza hizo habari nimezipata wapi ila sikuwajibu.
Tetesi: - Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12
Sasa yametimia! Mabadiliko hayo ya kikanuni yamefanyika ndani ya muda mfupi zaidi ili kukamilisha mataakwa ya Klabu ya Simba baada ya kuonekana kuwa wasingeweza kufanya vyema kwenye michuano ha CAF kwa idadi ndogo ya wachezajia wa kigoni ambayo ni 10. Kilicho changia zaidi ni kuondoka kwa Miqqie & Chama, viongozi wengi wa simba waliona haana uwezo wa kuziba mapengo hayo kwa ufanizi zaidi hivyo njia pekee ni kumvutia waya Rais wa TFF na kumuelekeza abadilishe kanuni mapema ya idadi ya wachezaji wa kigeni kabla ya tarehe 15 ili kuipa nafasi Simba SC ya kuwa na chaguo la wachezaji wengi.
View attachment 1892097
Ikumbukwe, klabu kama ya Yanga SC ilizipata taarifa hizi chini kwa chini ndipo nao wakaanza mchakato wa kufanya mazungumzo na wacheza wengi zaidi. Usije kushangaa pia Yanga SC wakawa na ongezeko la ziadala wachezaji wa kigeni zaidi ya wale 10, hiyo ni kutokana na kupata taarifa hizi kupitia maofisa ndani ya TFF.
Azam FC nao haakuwa na ili waa lile, taarifa walizipata ila hawakuzichukulia kwa uzito mkubwa zaidi kwa kuwa mpango huu uliwajia kipindi ambacho walikuwa wamefunda ausajili wa wachezajai wa kigeni ka kutumia kanuni ileee ya wachezaji 10.
Kibaya zaidi hii taarifa haikuzingatia kuwa kuna timu yingine ambazo nazo zinahitaji kupewa muda wa kusajiri.
1. Kutokuwa na taarifa ka wakati sahihi zimefanya klabu kama Azam FC kutokamilisha idadi ya usajili wa wachezaji wa kigeni kulingana na kanuni mpya ya Karie.
2. Hata kama nao Yanga wakiamua kusajili muda huu basi watafanya hivyo kwa kukurupuka pasi na kua na muda wakutosha.
3. Mabadilko hayo yameazzingatia matakwa ya klabu moja tu hiyo yote ni kwa ajili ya mapenzi ya dhati yanayotanguizwa mbele bila kuzingatia usawa (fair play) kwenye soka.
Kiufupi:- Nilikuwa pale ofisi za TFF ka shughuli binafsi hapo ndipo nikapata wasaa wa kujulishwa hili jambo na chanzo cha kuaminika.
View attachment 1892095
Mabibi & Mabwana Huyo ndio Kiongozi wa Mpira wa Bongo.
Kama Yanga walipendekeza maanake tulipaswa kuona usajili mpya leo maana ndio siku ya mwisho kuwasilisha majina CAF. Lakini baada ya tu ya taarifa ya TFF kutoka hapo hapo Simba wakatangaza mchezaji mpya. Leo ndio dirisha la CAF linafungwa saa sita usikuUnajua walipeleka pendekezo lipi? Maana kubadilishwa hilo pendekezo hapo sio kwamba yanga ndio walipendekeza.
Ni uamuzi wa kipuuzi saana. Tatizo TFF inaendeshwa na Simba na Yanga. Mo anataka kurudisha ela yake wakati GSM anataka kuuza jersey. R.I.P JPM. Asingekubali ujinnga huu. Hakuna uzalendo hapa. Bahati mbaya wachambuzi wetu mbuzi nao wameunga mkono...Juzi hapa niliwapenyezea za chini ya kapeti. Wengi walinijia Inbox na kuniuliza hizo habari nimezipata wapi ila sikuwajibu.
Tetesi: - Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12
Sasa yametimia! Mabadiliko hayo ya kikanuni yamefanyika ndani ya muda mfupi zaidi ili kukamilisha mataakwa ya Klabu ya Simba baada ya kuonekana kuwa wasingeweza kufanya vyema kwenye michuano ha CAF kwa idadi ndogo ya wachezajia wa kigoni ambayo ni 10. Kilicho changia zaidi ni kuondoka kwa Miqqie & Chama, viongozi wengi wa simba waliona haana uwezo wa kuziba mapengo hayo kwa ufanizi zaidi hivyo njia pekee ni kumvutia waya Rais wa TFF na kumuelekeza abadilishe kanuni mapema ya idadi ya wachezaji wa kigeni kabla ya tarehe 15 ili kuipa nafasi Simba SC ya kuwa na chaguo la wachezaji wengi.
View attachment 1892097
Ikumbukwe, klabu kama ya Yanga SC ilizipata taarifa hizi chini kwa chini ndipo nao wakaanza mchakato wa kufanya mazungumzo na wacheza wengi zaidi. Usije kushangaa pia Yanga SC wakawa na ongezeko la ziadala wachezaji wa kigeni zaidi ya wale 10, hiyo ni kutokana na kupata taarifa hizi kupitia maofisa ndani ya TFF.
Azam FC nao haakuwa na ili waa lile, taarifa walizipata ila hawakuzichukulia kwa uzito mkubwa zaidi kwa kuwa mpango huu uliwajia kipindi ambacho walikuwa wamefunda ausajili wa wachezajai wa kigeni ka kutumia kanuni ileee ya wachezaji 10.
Kibaya zaidi hii taarifa haikuzingatia kuwa kuna timu yingine ambazo nazo zinahitaji kupewa muda wa kusajiri.
1. Kutokuwa na taarifa ka wakati sahihi zimefanya klabu kama Azam FC kutokamilisha idadi ya usajili wa wachezaji wa kigeni kulingana na kanuni mpya ya Karie.
2. Hata kama nao Yanga wakiamua kusajili muda huu basi watafanya hivyo kwa kukurupuka pasi na kua na muda wakutosha.
3. Mabadilko hayo yameazzingatia matakwa ya klabu moja tu hiyo yote ni kwa ajili ya mapenzi ya dhati yanayotanguizwa mbele bila kuzingatia usawa (fair play) kwenye soka.
Kiufupi:- Nilikuwa pale ofisi za TFF ka shughuli binafsi hapo ndipo nikapata wasaa wa kujulishwa hili jambo na chanzo cha kuaminika.
View attachment 1892095
Mabibi & Mabwana Huyo ndio Kiongozi wa Mpira wa Bongo.
Umejuaje kama Yanga ndio wamepeleka hilo pendekezo?Kwa mujibu wa mtendaji wa bodi ya ligi waliviandikia vilabu na wadau ili kupata maoni juu ya kanuni za ligi mwaka huu, klabu pekee iliyopeleka maoni ni yanga ila kwa sababu ukilala ukiamuka unaiwaza Simba ndio maana fikra zako zinahisi ni Simba ndio waliopeleka hayo maombi.
Mkuu tuache kusema tofauti, timu ya taifa inahitaji experienced player katika mashindano kutokana na washindani anao kutana nao uwanjani, hivyo basi Yanga, Simba na azam ndo wachezaji wao wanacheza mashindano ya kimataifa na hilo ndo linabidi lisaidie timu ya taifaTz tuna timu saizi 16,usiangalie timu 3 tu
Mhilu areplace kwa ambundo? Serious. Unasajili striker baada ya kumkosa kiungo. Utakuwa haujui unachokiandika hapa.Usajili wa Mhilu ulikuwa ni kufidia kwa kumkosa Ambundo.
Shida ni malezi tukitaka vipaji sio hao kina ajibu tunatakiwa tutengeneze kuanzia watoto kuanzia 8/9 yearsWachezaji wa ndani ndiyo sample za kina Ajibu, hata hawajielewi.....Acha wajae wageni tu
Fanyeni usajili ili mpunguze lawama kwa TFF.Kwasasa Simba haita wasaidia wanakurupuka tu Labda Mwakani. Safarihii Yanga wamewaweza Simba kwenye Battle ya fedha sehemu zote walizo gombea wachezaji na Simba,Yanga waliwazidi. Mfano Shabani Djuma, Ambundo, Aucho. Na ule mpango wa kuwapora wachezaji Yanga kupitia Tff swala la Morrison linachemka kule CAS. Kwaujumla Simba wamebanwa vilivyo na GSM.
Kwani dirisha la usajili limefungwa ?Tatizo ni namna kanuni ilivyp pitishwa.
Iweje klabu moja itambue mapema kuwa kanuni itabadilishwa katika wiki la misho la usajili na timu nyinginezo zikose hiyo taarifa ya awali.
Acha bangi Simba haiwezi kuchukua mchezaji ambaye hata kukokota mpira haweziUsajili wa Mhilu ulikuwa ni kufidia kwa kumkosa Ambundo.
Nitajie first 11 ya Senegal nambie inawachezaji wangapi wa ndani
Juzi hapa niliwapenyezea za chini ya kapeti. Wengi walinijia Inbox na kuniuliza hizo habari nimezipata wapi ila sikuwajibu.
Tetesi: - Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12
Sasa yametimia! Mabadiliko hayo ya kikanuni yamefanyika ndani ya muda mfupi zaidi ili kukamilisha mataakwa ya Klabu ya Simba baada ya kuonekana kuwa wasingeweza kufanya vyema kwenye michuano ha CAF kwa idadi ndogo ya wachezajia wa kigoni ambayo ni 10. Kilicho changia zaidi ni kuondoka kwa Miqqie & Chama, viongozi wengi wa simba waliona haana uwezo wa kuziba mapengo hayo kwa ufanizi zaidi hivyo njia pekee ni kumvutia waya Rais wa TFF na kumuelekeza abadilishe kanuni mapema ya idadi ya wachezaji wa kigeni kabla ya tarehe 15 ili kuipa nafasi Simba SC ya kuwa na chaguo la wachezaji wengi.
View attachment 1892097
Ikumbukwe, klabu kama ya Yanga SC ilizipata taarifa hizi chini kwa chini ndipo nao wakaanza mchakato wa kufanya mazungumzo na wacheza wengi zaidi. Usije kushangaa pia Yanga SC wakawa na ongezeko la ziadala wachezaji wa kigeni zaidi ya wale 10, hiyo ni kutokana na kupata taarifa hizi kupitia maofisa ndani ya TFF.
Azam FC nao haakuwa na ili waa lile, taarifa walizipata ila hawakuzichukulia kwa uzito mkubwa zaidi kwa kuwa mpango huu uliwajia kipindi ambacho walikuwa wamefunda ausajili wa wachezajai wa kigeni ka kutumia kanuni ileee ya wachezaji 10.
Kibaya zaidi hii taarifa haikuzingatia kuwa kuna timu yingine ambazo nazo zinahitaji kupewa muda wa kusajiri.
1. Kutokuwa na taarifa ka wakati sahihi zimefanya klabu kama Azam FC kutokamilisha idadi ya usajili wa wachezaji wa kigeni kulingana na kanuni mpya ya Karie.
2. Hata kama nao Yanga wakiamua kusajili muda huu basi watafanya hivyo kwa kukurupuka pasi na kua na muda wakutosha.
3. Mabadilko hayo yameazzingatia matakwa ya klabu moja tu hiyo yote ni kwa ajili ya mapenzi ya dhati yanayotanguizwa mbele bila kuzingatia usawa (fair play) kwenye soka.
Kiufupi:- Nilikuwa pale ofisi za TFF ka shughuli binafsi hapo ndipo nikapata wasaa wa kujulishwa hili jambo na chanzo cha kuaminika.
View attachment 1892095
Mabibi & Mabwana Huyo ndio Kiongozi wa Mpira wa Bongo.
Simba haijagombea mchezaji na Yanga....hapo Yanga mnajipa moyo sana ...wachezaji wamegundua ujanja kama wanatakwa na Yanga wanasema na Simba nayo inawataka Yanga wanapandisha dau wanakuja kuta ni akina Nchimbi, Sarpong, Mwamnyeto...bure kabisa. Na wengine wanakimbia kimbia but nothing done ....ππππππππ Simba inachukua wachezaji ambao inawavua wenye nao. Acha kuokota wa AS Vita waliochoka......Kwasasa Simba haita wasaidia wanakurupuka tu Labda Mwakani. Safarihii Yanga wamewaweza Simba kwenye Battle ya fedha sehemu zote walizo gombea wachezaji na Simba,Yanga waliwazidi. Mfano Shabani Djuma, Ambundo, Aucho. Na ule mpango wa kuwapora wachezaji Yanga kupitia Tff swala la Morrison linachemka kule CAS. Kwaujumla Simba wamebanwa vilivyo na GSM.
Chikwende,Lukosa,Onyango,Wawa,Boko,Kapombe,Mzamiru,Mkude,Nyoni n.k hawa wote wazee kisoka , katika usajiri wote uliofanya toka Kanjubari aanze kuwekeza wachezaji wazuri ulipata wawili tu Luis na Chama , umewauza sijuhi itakuwaje mengine yote magarasa yanakuja na kuondoka bure Shibobo n.k Huna jipya weweSimba haijagombea mchezaji na Yanga....hapo Yanga mnajipa moyo sana ...wachezaji wamegundua ujanja kama wanatakwa na Yanga wanasema na Simba nayo inawataka Yanga wanapandisha dau wanakuja kuta ni akina Nchimbi, Sarpong, Mwamnyeto...bure kabisa. Na wengine wanakimbia kimbia but nothing done ....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Simba inachukua wachezaji ambao inawavua wenye nao. Acha kuokota wa AS Vita waliochoka......
Msijidanganye hakuna mchezaji ambaye Simba imegombania na Yanga. Angalia Simba inakosajili utanambia.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]