TFF yaunda Kamati inayoongozwa na Paul Makonda ya kusaidia Taifa Stars ishinde kufuzu AFCON! Je, kazi yake ni nini hasa?

Kamati imeundwa ili kuwapaisha watu fulani. Katika watu wote kiongozi awe Bashite? Huu utani mbaya sana.
 
Kwa akili Hizi Za Tff mpira hautakaa Usonge mbele, acha tufungwe tu maana waganda wamejiandaa kwenda, eti kamati ya ushindi, hivi walishatafakari na kujiuliza kwamba ili Taifa Stars Ishinde inahitaji Kamati?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ligi kuu timu ina viporo nane si vichekesho wazalendo tunateseka sana na Taifa letu hili
Hovyo kabisa
 
TFF wanajaribu kufanya kitu ili Timu ifuzu, Kuliko kukaa bila kujaribu ni bora wamejaribu haijalishi kwenye kamati ameteuliwa nani kinachotakiwa ni kuonyesha Uthubutu. Kamati haichezi ila ina hamasisha na kujaribu kufanyakitu nje ya uwanja. Tanzani haijaanza kuunda kamati leo, zilisha kuwepo kabla mwisho wasiku wachezaji na benchi la ufundi ndio wapambanaji sisi ni kutoa hamasa. Tatizio tulilonalo kila mmoja kujifanya mjuaji tunaingiza na siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora wangemteua Ismail Aden Rage yule ndio anazijua fitna za soka kulikoni hiki kikundi cha wanasiasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…