TFF yaunda Kamati inayoongozwa na Paul Makonda ya kusaidia Taifa Stars ishinde kufuzu AFCON! Je, kazi yake ni nini hasa?

Amna kitu apo tulishaharibu wenyewe kufuzu N majaliwa tu
 
Washafeli mpaka hapo,kuna jamaa hajawahi fanikiwa jambo humo
 
Kila Taifa huwahimiza wananchi wake kuwa Wazalendo! Hii ni silaha muhimu sana kwa ustawi na maendeleo ya nchi yoyote!

Hata hivyo uzalendo wa wananchi kwa Mataifa yao haushuki kama mana! Uzalendo ni tunda la haki, usawa, upendo na umoja!

Katika jamii iliyojaa chuki, uonevu, fitna, uzandiki na unafiki usitarajie kuwe na Uzalendo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…