Huna hoja, upo kama hao wajinga wenzako, Tff haiwezi tegemea yanga kuendesha shughuli zakeHivi kwa akili yako TFF inaendeshwa na mpato ya mechi za Kimataifa? Hivi unasikilizaga mchanganuo wa mapato wa mechi za kimataifa? Na hizi za ndani ?
Ukishapata jibu najua ndio utakaa kimya.
Hata morison jana kawachana pia kwamba hawajielewiKwani luc eymael alikosea kusema yanga wengi ni uneducated,manyani mambwa
Injinia mzima anafanya vitu kiswahili swahili
kwahiyo serikali ya SA iliingilia katiHao CAF walikuwa wapi kwa litimu lililowasha Moto uwanjani huko south Africa?
RightHuna hoja, upo kama hao wajinga wenzako, Tff haiwezi tegemea yanga kuendesha shughuli zake
Hivi umeisoma Ile barua ya TFFHuwezi mshtaki Hersi lile tukiwa limefanywa na Yanga na si Hersi ,Yanga ndiyo inatakiwa kuwajibika na si Hersi.
Mi mashabiki wa Yanga lakini dharau ya jana siiafiki kabisaNimeshangaa
Kasoma Chuo Gani Ama Wenye Akili Yanga Ni Wale Aliosema Hadji Manara
Iv hili neno engineer n kweli au n jina wanampa tuu,maana namuona kama n mweupe kichwanNimeshangaa
Kasoma Chuo Gani Ama Wenye Akili Yanga Ni Wale Aliosema Hadji Manara
Hawajui chochote wamekimbia shuleHata morison jana kawachana pia kwamba hawajielewi
Nimeisoma ila sijaona sehemu inayo iwajibisha Yanga zaidi ya mtu mmoja mmoja, lile tukio ni la Yanga na Yanga ndiye anaye takiwa kuwajibika,kinyume chake TFF wanaigopa Yanga.Hivi umeisoma Ile barua ya TFF
Wanafungiwa tu na hakuna watakalofanya, mnaendeshwa na kelele za manara na siyo misingi ya soka, kwanza mtu anasema na kwa kutumia nguvu kubwa nimekuja hapa Kama MC na siyo mtu wa soka, si unaona keshajistukia anavunja sheria.Mwambie karia na kamati yake ya mchongo waifungie yanga ndo utapata majibu ya unachouliza ππππ .
Jana manara kaja kwenye tamasha la YANGA lakini cha ajabu kamati ya maadili wamemfungulia mashtaka engineer hersi . waambie waifungulie mashtaka timu sio MTU .
Huko kinye FC wenye akili ni wawili tu.Vyema kabisa, Engineer anakuaje mhuni?
Think twice. Yanga inaongozwa na watu. TFF walimpa barua ya kusimamia adhabu hii. WAKO SAHIHIHilo litoe akilini mwako na halitokuja kutokea kwenye soka la bongo, manake hao TFF target yao kubwa ni mapato ya Simba na Yanga.
Huoni kwanza mpaka hapo wanaigopa Yanga, hili tukio ni la club na si la Hersi,Yanga ndio inatakiwa kuwajibika kwa 100%.
Haha!hata kama ni utani ila ujumbe umewafikia..kwa hili la manara ndo imeonesha mle hakuna mtu ila kichwan wamewekewa tonge la donaHawajui chochote wamekimbia shule
We una uhakika gani kama sio muhuni??Vyema kabisa, Engineer anakuaje mhuni?
Ss yangs ni km tassisi, rais wa yanga ndo muwakilishi wa yanga. Ndo mana tff wamemshitaki huyo hersiNimeisoma ila sijaona sehemu inayo iwajibisha Yanga zaidi ya mtu mmoja mmoja, lile tukio ni la Yanga na Yanga ndiye anaye takiwa kuwajibika,kinyume chake TFF wanaigopa Yanga.