Soma barua vizuri hersi hakuitwa personal ameitw kama kiongozi/mwajiri wa manara / raisi wa club ya yangaTff wanaogopa nini kuiita timu ya Yanga hadi wamuute engineer Hersi personal wakati ile event ilikuwa ya Yanga?
Sielewi hata umeandika wadudu gani hapo juu.Kuwa Mc ni kushiriki soka? Yaani kuita "Abdalla njoo" unakuwa umeshiriki soka? Hizi sheria mmesomea chuo gani nyie. Hii kesi inashindwa kwenye Mahakama huru kabla ya saa 4 asubuhi. Hivi shabiki mmoja angemtukana Feitoto angeitwa na TFF? Au muuza karanga angemkanyaga mwenyekiti wa Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam, ingekuwa soccer case?
Dada mpira usikupelekee ukaingilia mambo ya ulemavu wa mtu. Kuna maisha baada ya mpira . ulemavu wa mtu ajuaye ni Mungu . kumbuka hujafa hujaumbika .Sometimes huyu Takadini apuuzwe tyuuh, ukimwi plus kufake life, bas tafrani tupu. Wampuuze tyuuh.
Akichoka ataacha.
Mkuu ni kiburi tuHivi huyo hesi naye alishindwa vipi kujiridhisha kwanza kama analotaka kulifanya halikiuki adhabu inayotumikiwa?.
Au ni kiburi tu na kuamini kwenye jeuri ya pesa?...Kamati ya maadili simamieni weledi mtu asiwababishe na pesa zake.
Sasa hapo Tff wakitoa adhabu nani ataitumikia Hersi au Yanga ?ππππSoma barua vizuri hersi hakuitwa personal ameitw kama kiongozi/mwajiri wa manara / raisi wa club ya yanga
Wote inaweza ikawahusuSasa hapo Tff wakitoa adhabu nani ataitumikia Hersi au Yanga ?ππππ
Hersi kulingana na hiyo barua iliyoandikwa kwake ametumika kama mdau wa mpira, lakini ndani yake ndie mwenye hicho cheo cha Urais.Sasa Kwa Nini Wamwandikie Yeye Asimamie adhabu ya Mtu Ambae Ni mtumishi Wa Taasisi Ambayo yeye ndio msimamizi badala ya Taasisi.
.
Kwamba mdau Wa mpira ndio Asimamie execution ya adhabu ya mtumishi Wa Taasisi badala ya Taasisi Yenyewe?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mi nadhani akiitwa mahakamani Hersi ndio atataja hao wengineWamekosea Kwa Hersi Kushitakiwa personally badala ya Kuishitaki Taasisi Ya Yanga Ambayo Hyo Taasisi ina Bodi ya Wadhamini.
.
Hawa Tff Kama Akili Hawana
.
Hersi ametambuliwa kama Rais Wa Yanga so Maamuzi Yoyote anayoyafanya Hersi anakuwa under capacity ya Rais Wa Yanga na Sio Yeye Personally.
.
Maana yake Ni kwamba ilitakiwa ishitakiwe Board of Trustees ya Yanga na Sio Hersi Kwa Majina Yake.
.
Hersi Hajafanya Makosa Bali Taasisi inayoitwa Yanga ndio imefanya Makosa.
.
Hyo Secretariat ya Tff itabidi ithibitishe bila kuacha shaka Kwamba Ni lini Hersi amemuita Haji aje uwanjani Kuwa MC Wa Yanga Whether Kwa Barua au Kwa maneno.
.
Kuna wakati Lazima Uwe na akili ya Kufikri Vyema.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kipindi cha huko nyuma yanga wamewahi kuitwa kamati ya maadili au hawakuwahi? Kama waliwahi kuitwa je alikwenda Mshindo msola?ππππKwanini wamemfungulia hersi sio ww? kashtakiwa kama Rais wa club cz nakala alipelekewa yeye na alitakiwa asimamie so yeye ndio anabeba wajibu wote
Kweli kabisa mkuuNdugu yang acha tuishi kwwnye uhalisia
Watu wenyew akili timamu hawawez kuishi na manara sehem mmoja
Yanga bana,Kuwa Mc ni kushiriki soka? Yaani kuita "Abdalla njoo" unakuwa umeshiriki soka? Hizi sheria mmesomea chuo gani nyie. Hii kesi inashindwa kwenye Mahakama huru kabla ya saa 4 asubuhi. Hivi shabiki mmoja angemtukana Feitoto angeitwa na TFF? Au muuza karanga angemkanyaga mwenyekiti wa Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam, ingekuwa soccer case?
Unayo kopi ya hiyo barua tusome tumalize mjadala hapaKipindi cha huko nyuma yanga wamewahi kuitwa kamati ya maadili au hawakuwahi? Kama waliwahi kuitwa je alikwenda Mshindo msola?ππππ
[emoji23][emoji23]We jamaa unanifurahishaga sana.Sasa TFF ni ya kushindana na CCM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kesi kinana anapiga simu moja tuuu