TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

Anaweza Kuwa Kama Major Songolo Marine
Waziri Mkuu Alimuuliza Wewe Ni Major Wa Jeshi Akasema Hapana Ni Jina Tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo hata nakala za FIFA husomi sasa sijui mimi na ww nani anabweka, unaongea ongea tu ili mradi na ww uonekane unaongea kumbe kilaza.

Kasome kwenye website ya FIFA utaelewa zile hela za nini najua sio kosa lako bali ni Lugha ndio haipandi.
Umejikaza kabisa na kuchamba juu usinuke mavi kwamba kujua kingereza ndio una akili?
Akili yako haina utofauti na manara rangi tu zimewatofautisha
Morison jana hakukosea kusema yanga wengi mmekimbia shule
 
Kwaiyo yanga na yenyewe unaifananisha na Chelsea?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani Chelsea ndo yanga ya jangwani?
Wanashangaza mnooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa namuona Engineer Hersi anafanya mambo yake kisomi kumbe nae hamna kitu, ameiharibu sana title yake ya "Rais wa klabu".

Mtu unajua kabisa, Manara amefungiwa kujihusisha na shughuli za michezo ndani ya Tanzania, halafu eti unadai "kumualika" kwenye shughuli yako akawe MC!.

Kwani ile haikuwa shughuli ya michezo? kama walitaka kumualika wangemualika kwenye harusi, lakini sio kumpeleka pale uwanjani, lile lilikuwa kosa la makusudi linalostahili adhabu kali kwa wote wawili.
Kuwa Mc ni kushiriki soka? Yaani kuita "Abdalla njoo" unakuwa umeshiriki soka? Hizi sheria mmesomea chuo gani nyie. Hii kesi inashindwa kwenye Mahakama huru kabla ya saa 4 asubuhi. Hivi shabiki mmoja angemtukana Feitoto angeitwa na TFF? Au muuza karanga angemkanyaga mwenyekiti wa Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam, ingekuwa soccer case?
 
TFF havimbiwi bali ni uoga wake mwenyewe wa kuiogopa Yanga,lile tukio ni la Yanga na si la Hersi,kwani Yanga ni taasisi itaendelea kubaki ila Hersi ataondoka na ataiacha Yanga.

Mpaka hapo TFF wanaiogopa Yanga lile tukio ni la Yanga na si Hersi, Yanga anatakiwa kuwajibika kwa 100%.
Yes Board of Trustees ya Yanga Ndio Inapashwa iwajibike Kama Hyo Board Ipo Kisheria. Hata Yanga Yenyewe Haiwezi Kushitakiwa Kama Bodi ya Wasimamizi Wa Mali za Yanga Wapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Manara anatakiwa asome kile kitabu kinaitwa ego is the enemy.
 
Hiyo taarifa ya TFF inasema; "sekretariati ya TFF ilimuandikia barua Mhandisi Said kuhakikisha Manara anatumikia adhabu"

Kitendo cha taarifa ya TFF kumtaja Mhandisi Said, na sio Rais wa Yanga SC, hapo tayari naona TFF kuna mtego wameukwepa.

Hapa inaonekana TFF walim refer Hersi kama mdau wa mpira wa miguu, na sio kama Rais wa klabu yake, hivyo sishangai akiitwa personally kujieleza.
Sasa Kwa Nini Wamwandikie Yeye Asimamie adhabu ya Mtu Ambae Ni mtumishi Wa Taasisi Ambayo yeye ndio msimamizi badala ya Taasisi.
.
Kwamba mdau Wa mpira ndio Asimamie execution ya adhabu ya mtumishi Wa Taasisi badala ya Taasisi Yenyewe?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hawa Yanga wanajifanyaga wakuonewa sana naomba waende CAF kabisa ili rungu la kufungiwa Yanga miaka 50 litimie.
 
Sometimes huyu Takadini apuuzwe tyuuh, ukimwi plus kufake life, bas tafrani tupu. Wampuuze tyuuh.
Akichoka ataacha.
 
Nilikuwa namuona Engineer Hersi anafanya mambo yake kisomi kumbe nae hamna kitu, ameiharibu sana title yake ya "Rais wa klabu".

Mtu unajua kabisa, Manara amefungiwa kujihusisha na shughuli za michezo ndani ya Tanzania, halafu eti unadai "kumualika" kwenye shughuli yako akawe MC!.

Kwani ile haikuwa shughuli ya michezo? Kama walitaka kumualika wangemualika kwenye harusi, lakini sio kumpeleka pale uwanjani, lile lilikuwa kosa la makusudi linalostahili adhabu kali kwa wote wawili.
Mi mwenyewe nilikuwa najua lile neno Engineer limetokana na usomi kumbe ni nickname ya udalali
 
Yani siasa ndo kila kituu... Watu wanakaza ubongoo tuu
Kwani Serikali ya uingereza waliitagert Chelsea au mmiliki wake? Chelsea ilikuwa kama aset 2 ya Romani kama vile meli na ndege so ulitaka fifa aingie vip?
 
Kamati ya Maadili ya TFF imemfungulia mashitaka Rais wa klabu ya Yanga Eng. Hersi kwa kushindwa kuheshimu matakwa ya kisheria na kanuni za TFF na klabu yake ya YANGA kwa kumruhusu Bwana Haji Manara (Mc wa mtaani) kuwa sehemu ya washereheshaji wa siku ya mwananchi hapo jana tar. 6 Agosti, 2022.
Bwana Haji anashitakiwa kwa kukiuka adhabu ya kifungo cha miaka miwili aliyopewa na kamati hiyo.

Labda tuseme "mbombo ngafu" wajameni[emoji2]

SOURCE: TFF
 
Mwambie karia na kamati yake ya mchongo waifungie yanga ndo utapata majibu ya unachouliza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] .
Jana manara kaja kwenye tamasha la YANGA lakini cha ajabu kamati ya maadili wamemfungulia mashtaka engineer hersi . waambie waifungulie mashtaka timu sio MTU .
Kwanini wamemfungulia hersi sio ww? kashtakiwa kama Rais wa club cz nakala alipelekewa yeye na alitakiwa asimamie so yeye ndio anabeba wajibu wote
 
Back
Top Bottom