Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Sawa Kwa Hyo Leo Tra ikikupandishia Kodi Kubwa anashitakiwa Ni Kamishina Wa Tra?Watu mnachangia huu uzi mnatakiwa kuelewa ukiwa kiongozi wa taasisi maana yake wewe ndo upo responsible kwa makosa ya taasis yako.
Ndo mana taasis ikiboronga.. anayeliwa kichwa ni CEO
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app