nG'aMBu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,055
- 3,120
Tuheshimiane mkuu, ukilaza wa Hersi usituhukumu engineers wengine wa DITInjinia wa DIT hawezi kuwa injinia huyo ni fundi mchundo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuheshimiane mkuu, ukilaza wa Hersi usituhukumu engineers wengine wa DITInjinia wa DIT hawezi kuwa injinia huyo ni fundi mchundo
#MANARA MUST GOYanga kuna kitu wanatafuta
Basi auliwe si ndio mnavyotaka?Hata hiyo bado haitoshi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahTuheshimiane mkuu, ukilaza wa Hersi usituhukumu engineers wengine wa DIT
Makolo ni wapumbavu na wanafiki . huo udhalilishaji wa manara umeanza toka amehamia yanga? Wakati yuko simba alitukana Mara ngapi? Je mliwahi kumkanya au kupiga kelele kama Leo hii?Mkuu nilichojaribu kukiangalia siyo nguvu ya Haji Manara bali tuungane kuukataa upumbavu wake kwa sababu anaidhalilisha sekta ya michezo
Una kingine zaidi tuweke kwenye jezi zenu?Nyie wadada rudini insta huku jf sio sehemu yenu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapa hata mie wamenishangaza mno watani zangu.Wawafungie maisha kabisa.Kwanza wameniudhi kumuweka Bumbuli pembeni,wakati wa shida Bumbuli tulikuwa nae sasa kwenye raha wanamuweka pembeni.
Mabadiliko huja na maumivu mama . soka la bongo huwezi kuwa na watu laini laini kama hao akina bumbuli na ukategemea upate mafanikio kiurahisi . wakati mwingine unahitaji watu wa kujitoa akiri ndo mambo yanasonga. Nugaz na Bumbuli tumekuwa nao toka lini ? Na walitufikisha wapi?. Huyu aliyekuja msimu mmoja tu tumeona na mafanikio yake. Kwa mpira huu na hii TFF ya Karia. Huwezi kuwa na watu kama mshindo msola, Nugaz, Bumbuli ukategemea kutoboa never ever.Wawafungie maisha kabisa.Kwanza wameniudhi kumuweka Bumbuli pembeni,wakati wa shida Bumbuli tulikuwa nae sasa kwenye raha wanamuweka pembeni.
Manara kaleta lipi jipya ?Pale Yanga ilitakiwa Pesa tu.Mabadiliko huja na maumivu mama . soka la bongo huwezi kuwa na watu laini laini kama hao akina bumbuli na ukategemea upate mafanikio kiurahisi . wakati mwingine unahitaji watu wa kujitoa akiri ndo mambo yanasonga. Nugaz na Bumbuli tumekuwa nao toka lini ? Na walitufikisha wapi?. Huyu aliyekuja msimu mmoja tu tumeona na mafanikio yake. Kwa mpira huu na hii TFF ya Karia. Huwezi kuwa na watu kama mshindo msola, Nugaz, Bumbuli ukategemea kutoboa never ever.
Na ukoloni wote ni mbumbumbuSi unajua kule wenye akili wawili tu
hao wengine hata wasome vipi
Dada kampikie mumeo utapewa taraka ya bure,. Yaani na uzuzu wako unafikiri mpira wa bongo ni pesa tu ndo inaleta mafanikio?😂😂😂 kuna timu inapesa kama Azam? . unaweza kuona mahovyohovyo ya manara ukaishia kumwona ni mwehu . lakini kwa taalifa yako ndo msemaji aliyechukua makombe mengi kuliko hao unaowaona wako vizuri. Wakati yuko simba manara anatangulia mkoani wiki moja kabla ya mechi . Nafikiri uliona mafanikio ya simba ya manara. Kaja yanga mwendo ni uleule hukuyaona mafanikio ya timu msimu uliopita.?Manara kaleta lipi jipya ?Pale Yanga ilitakiwa Pesa tu.
Yes ni kweli Manara alikuwa mpumbavu tangu yuko simba lakini kuna watu makini pale Unyamani hawakupenda Upopoma wake.Makolo ni wapumbavu na wanafiki . huo udhalilishaji wa manara umeanza toka amehamia yanga? Wakati yuko simba alitukana Mara ngapi? Je mliwahi kumkanya au kupiga kelele kama Leo hii?
Ukweli ni kuwa haya mahovyohovyo ya manara na ukeraji wake ndo vinachangia mafanikio ya timu kwa namna moja ama nyingine . Tuliona wakati akiwa simba jinsi alivyokuwa anawakejeli upande wa pili na mafanikio na kweli simba ilifika mbali kimafanikio. Amehamia yanga kaendeleza style ileile na wote mmeona mafanikio ya timu. Nawahakikishia Leo manara akisema arudi simba makolo yote yatashangilia.
Yes inawezekana ilikuwa haihitajiki lakini inategemea dhamira ya mtumiaji wa hiyo kauli.Mimi nilijuwa mwenye nguvu akitaka kumtia adabu asie na nguvu huwa hahitaji kolabo.
Mfano US alienda kumkamata Rais wa nchi ya Nicaraque bila kolabo, aliwahi kuishambulia ikulu ya Gadaffi kwa lengo la kumuua bila kolabo.
Otherwise ile sentensi ya mwisho ilikuwa haihitajiki pale.
Mkuu tuwe wakweli pale hamna timu ya kufika walau makumdi ya CAF champions.Dada kampikie mumeo utapewa taraka ya bure,. Yaani na uzuzu wako unafikiri mpira wa bongo ni pesa tu ndo inaleta mafanikio?😂😂😂 kuna timu inapesa kama Azam? . unaweza kuona mahovyohovyo ya manara ukaishia kumwona ni mwehu . lakini kwa taalifa yako ndo msemaji aliyechukua makombe mengi kuliko hao unaowaona wako vizuri. Wakati yuko simba manara anatangulia mkoani wiki moja kabla ya mechi . Nafikiri uliona mafanikio ya simba ya manara. Kaja yanga mwendo ni uleule hukuyaona mafanikio ya timu msimu uliopita.?
Wewe mbumbumbu watu wanaongelea kesi ya yanga na tff wewe unarukia kuwa timu haifiki kokote CAF champions.Mkuu tuwe wakweli pale hamna timu ya kufika walau makumdi ya CAF champions.
Aziz key hawesz kucheza peke yake...Na huyo Joyce na yeye bado saana.
Hamna muunganiko, holding midfield wasiwasi...Matobo mengi mno.
Aisee kazi ni kubwa !!