Thabit Zaka za Kazi: Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango na nawadharau hata Mashabiki wao Wanaomumini

Thabit Zaka za Kazi: Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango na nawadharau hata Mashabiki wao Wanaomumini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Nadhani Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango. Anasema Mchezaji wao Dube huwa akitaka Kufunga Goli anapunguziwa mwanga wa Taa na Wafanyakazi wa Uwanja wa Azam Complex ila mbona hatujasikia lawama za Makipa wa Timu pinzani wakilalamika kuwa na Wao Dube akitaka tu Kuwafunga nao huwa hawaoni vizuri?" amesema Thabit Zaka za Kazi Msemaji wa Azam FC.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One usiku huu.

Zaka za Kazi unadhani aliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) aliposema (ipo YouTube) kuwa wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe alikosea?
 
"Nadhani Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango. Anasema Mchezaji wao Dube huwa akitaka Kufunga Goli anapunguziwa mwanga wa Taa na Wafanyakazi wa Uwanja wa Azam Complex ila mbona hatujasikia lawama za Makipa wa Timu pinzani wakilalamika kuwa na Wao Dube akitaka tu Kuwafunga nao huwa hawaoni vizuri?" amesema Thabit Zaka za Kazi Msemaji wa Azam FC.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One usiku huu.

Zaka za Kazi unadhani aliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) aliposema (ipo YouTube) kuwa wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe alikosea?
Kazi ipo!
oscaroscarjr-20241111-0001.jpg


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa kauliza s
"Nadhani Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango. Anasema Mchezaji wao Dube huwa akitaka Kufunga Goli anapunguziwa mwanga wa Taa na Wafanyakazi wa Uwanja wa Azam Complex ila mbona hatujasikia lawama za Makipa wa Timu pinzani wakilalamika kuwa na Wao Dube akitaka tu Kuwafunga nao huwa hawaoni vizuri?" amesema Thabit Zaka za Kazi Msemaji wa Azam FC.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One usiku huu.

Zaka za Kazi unadhani aliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) aliposema (ipo YouTube) kuwa wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe alikosea?
wali zuri sanaaaaa.
 
Back
Top Bottom