Thabit Zaka za Kazi: Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango na nawadharau hata Mashabiki wao Wanaomumini

Thabit Zaka za Kazi: Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango na nawadharau hata Mashabiki wao Wanaomumini

Ushawahi kusikia ktk mpira refa akasimamisha watu wakaswali?

Hawez kusimamisha mchezo kwa kuwa kila mchezaj anadin yake. Kama we unahitaj kuswal unaweza kuomba kutolewa uwanjan ukaenda zako nje ukafanya hizo ibada.

Hata hivyo mpira mara nying unachukua saa moja na nusu tu hivo kama unaona kuna swala itakuta ukiwa uwanjan unaweza swal kabla hujaingia kwenye pitch, na hata kama kuna swala imekupita ukiwa kwenye mchezo unaweza ilipa ukimaliza mchezo.
 
"Nadhani Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango. Anasema Mchezaji wao Dube huwa akitaka Kufunga Goli anapunguziwa mwanga wa Taa na Wafanyakazi wa Uwanja wa Azam Complex ila mbona hatujasikia lawama za Makipa wa Timu pinzani wakilalamika kuwa na Wao Dube akitaka tu Kuwafunga nao huwa hawaoni vizuri?" amesema Thabit Zaka za Kazi Msemaji wa Azam FC.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One usiku huu.

Zaka za Kazi unadhani aliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) aliposema (ipo YouTube) kuwa wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe alikosea?
Wapangiwe mechi saa 8 mchana
 
"mbona hatujasikia lawama za Makipa wa Timu pinzani wakilalamika kuwa na Wao Dube akitaka tu Kuwafunga nao huwa hawaoni vizuri?"
Hahaha. Umenifurahisha sana na hili swali. Taa gani inamulika mchezaji mmoja tu? Na mechi za mchana nani anapunguza mwanga wa jua?

Wasemavyo huko kwenye makanisa, "Neno la MUNGU ni taa ya uzima"

Huenda neno "Taa" lina maana na wahusika wanaelewana.

Taa ya Dube inapunguzwa mwanga haoni goli.
 
Hawez kusimamisha mchezo kwa kuwa kila mchezaj anadin yake. Kama we unahitaj kuswal unaweza kuomba kutolewa uwanjan ukaenda zako nje ukafanya hizo ibada.

Hata hivyo mpira mara nying unachukua saa moja na nusu tu hivo kama unaona kuna swala itakuta ukiwa uwanjan unaweza swal kabla hujaingia kwenye pitch, na hata kama kuna swala imekupita ukiwa kwenye mchezo unaweza ilipa ukimaliza mchezo.
Mpira kwa muislam ni HARAM
 
"Nadhani Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango. Anasema Mchezaji wao Dube huwa akitaka Kufunga Goli anapunguziwa mwanga wa Taa na Wafanyakazi wa Uwanja wa Azam Complex ila mbona hatujasikia lawama za Makipa wa Timu pinzani wakilalamika kuwa na Wao Dube akitaka tu Kuwafunga nao huwa hawaoni vizuri?" amesema Thabit Zaka za Kazi Msemaji wa Azam FC.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One usiku huu.

Zaka za Kazi unadhani aliyekuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) aliposema (ipo YouTube) kuwa wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe alikosea?
yeye ndiye mjinga wa kiwango cha euro kujibu ujinga wa ally kamwe...sio kila shabiki wa yanga anabeba kila anachosema ally kamwe na kwa levo zake zaka alitakiwa kuwa hivyo na si kujibu jibu ujinga kisa kuna mshabiki wamemuamini ally
 
Hahahaha, Dube apelekwe CCBRT akachunguzwe Macho...!

Halafu iandaliwe 'thupu' na Kisomo kifanyike..au tambiko Kbs. Huenda karogwa Yule dube.

Halafu WanaUtopolo wapitishiwe bakuli La Mchango Matibabu ya Macho ya Dube.
 
Lete aya ya Quran, hadith au hata kauli ya mwanazuoni inayosema mpira ni haram.
Hakuna hadithi sahihi inayomtaja moja kwa moja Mtume Muhammad (SAW) kuharamisha mchezo wa mpira wa miguu au mchezo wowote maalum kwa jina. Hata hivyo, kuna hadithi zinazotoa mwongozo kuhusu maadili na mipaka ambayo waumini wanapaswa kuzingatia katika kushiriki michezo au shughuli za burudani, ikiwemo kuepuka matumizi mabaya ya muda, kuchanganyika kwa njia isiyofaa, na kuhakikisha kuwa michezo haiwaondolei majukumu ya kidini.

Kwa mfano, Mtume Muhammad (SAW) alisema:

"Miongoni mwa uzuri wa Uislamu wa mtu ni kuacha yale yasiyomhusu."
(Sunan al-Tirmidhi)



Pia kuna hadithi inayosisitiza umuhimu wa kutumia muda kwa mambo yenye faida:

"Hakika, kila mmoja wenu ni mchungaji, na kila mmoja ataulizwa juu ya wachunga wake."
(Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim)



Kwa hiyo, wanazuoni wanasisitiza kuwa ikiwa mchezo unachezwa kwa kuzingatia maadili ya Kiislamu, kama vile kutovuruga ibada, kutovaa mavazi yasiyofaa, na kutofanya mambo yanayokiuka mipaka ya Kiislamu, basi hauna madhara. Lakini iwapo unapelekea upotevu wa muda wa ibada au kuvunja maadili, wanazuoni wengi wanashauri kuepukana nao.

MPIRA UNAVAA BUKTA, RAMADHANI UNAECHEZWA, KUNA KAMARI NDANI YALE. WANAWAKE WANAHUDHURIA
 
Huyu kijana kabla hajawa msemaji kidogo zilikuwemo.......but ameshaingia ktk lile kundi la utopwinyo
 
Hakuna hadithi sahihi inayomtaja moja kwa moja Mtume Muhammad (SAW) kuharamisha mchezo wa mpira wa miguu au mchezo wowote maalum kwa jina. Hata hivyo, kuna hadithi zinazotoa mwongozo kuhusu maadili na mipaka ambayo waumini wanapaswa kuzingatia katika kushiriki michezo au shughuli za burudani, ikiwemo kuepuka matumizi mabaya ya muda, kuchanganyika kwa njia isiyofaa, na kuhakikisha kuwa michezo haiwaondolei majukumu ya kidini.

Kwa mfano, Mtume Muhammad (SAW) alisema:


(Sunan al-Tirmidhi)



Pia kuna hadithi inayosisitiza umuhimu wa kutumia muda kwa mambo yenye faida:


(Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim)



Kwa hiyo, wanazuoni wanasisitiza kuwa ikiwa mchezo unachezwa kwa kuzingatia maadili ya Kiislamu, kama vile kutovuruga ibada, kutovaa mavazi yasiyofaa, na kutofanya mambo yanayokiuka mipaka ya Kiislamu, basi hauna madhara. Lakini iwapo unapelekea upotevu wa muda wa ibada au kuvunja maadili, wanazuoni wengi wanashauri kuepukana nao.

MPIRA UNAVAA BUKTA, RAMADHANI UNAECHEZWA, KUNA KAMARI NDANI YALE. WANAWAKE WANAHUDHURIA
Andiko la Quran ndilo hitimisho wanazuoni wanatoa mawazo yao tu ambayo hayana madhara yoyote usipoyazingatia (si dhambi)
Mfano ile alama ya nyota pale msikitini ulishawauliza wanazuoni wakakupa jibu linaloeleweka? Je, kuswali wakati umevua viatu unaona ni sahihi na kuswali na viatu ni dhambi ila andiko huna unafuata wanazuoni tu.

Ukiweka andiko la Quran kwamba mpira ni dhambi nitakuelewa kwa kiwango kikubwa kwamba unaelewa unachokizungumza
 
Hakuna hadithi sahihi inayomtaja moja kwa moja Mtume Muhammad (SAW) kuharamisha mchezo wa mpira wa miguu au mchezo wowote maalum kwa jina. Hata hivyo, kuna hadithi zinazotoa mwongozo kuhusu maadili na mipaka ambayo waumini wanapaswa kuzingatia katika kushiriki michezo au shughuli za burudani, ikiwemo kuepuka

Hizo hadith umeleta bila sanad japokuwa ni maaruf.

Halali haiwi haramu kwa kuwa mtu amechupa mipaka kuiendea hiyo halali. Mhusika atapata madhambi kwa kule kuchupa kwake mipaka lakin halal itabak kama ilivo.
 
Narudia tena Makolo,vipigo mfululizo vikianza muda c mrefu,msije mkaanza tena na story za Hatumtaki Mangungu.
 
Back
Top Bottom