Thabit Zaka za Kazi: Ujinga wa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe umevuka Kiwango na nawadharau hata Mashabiki wao Wanaomumini

Ukiwa unatomb.a utakumbuka kuswali
Wewe ndo umehitimu madrasa Juzi Bado sumu zipo kichwani
Mchezo wa mpira wa miguu una dhambi gani
 
Ukiwa unatomb.a utakumbuka kuswali
Wewe ndo umehitimu madrasa Juzi Bado sumu zipo kichwani
Mchezo wa mpira wa miguu una dhambi gani
Acha matusi. Ktk uislam ukimfanyia mkeo kitendo hicho ni sunna lkn haichi unatakiwa kuswali
 
Management ya Azam Complex wamshitaki huyu roporopo Ally Kamwe TFF na bodi ya ligi afungiwe kama alivyofungiwa Haji Manara. Uropokaji wake umezidi sana.
Kipigo cha mara nne mfululizo kinakupagawisha
 
Kipigo cha mara nne mfululizo kinakupagawisha
Nazungumzia utoto anaofanya Ally Kamwe au na wewe ni mtoto unaungana naye,wakati mwingine tuweke ushabiki pembeni mtu akikosea aambiwe ukweli siyo kushabikia tu hata jambo la kipumbavu kama msukule. Wenye akili hata huko Yanga wametia neno kuwa anaidhalilisha brand ya Yanga.
 
Sisi Wanachama wa Yanga tunamkubali
Wewe kolo unaumiza nini
 
Warina asali wamewafanya kitu mbaya hadi leo wote mumekuwa kama nyumbu tu,na bado mtafungwa sana hadi akili ziwakae sawa,kuhama uwanja siyo dawa kipigo kiko pale pale.
Kolo unalazimisha furaha
Nimekupiga mara nne mfululizo
Goli 5 nyingi Bado mmechanganyikiwa
 
Mpira ni haramu kwa muislam, kwa mkiristo au dini nyengine kwake sio haramu
 
Na timu ilivyo mbovu hata hapo KMC watahama wataenda kucheza kwenye viwanja vya shule ya msingi
 
Ukiwa unatomb.a utakumbuka kuswali
Wewe ndo umehitimu madrasa Juzi Bado sumu zipo kichwani
Mchezo wa mpira wa miguu una dhambi gani
Huyo jamaa kweli malaria imempada kichwani, yaani kwake Kila kitu ni haramu.
Ipo siku atasema kuishi ni haramu kisha atakunywa sumu ili afe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…