Thailand Idadi ya vijana wa kiume inapungua wengi wanakuwa transgender

Thailand Idadi ya vijana wa kiume inapungua wengi wanakuwa transgender

Nchini Thailand vijana wa kiume wanaojihusisha na biashara ya ngono imekuwa kubwa mno kiasi cha kuhatarisha idadi ua wanaume rijali.

Vijana hawa hufanyiwa operation ya kubadilisha sehemu za siri. ( transgender) na kuwa wanawake jina maarufu lady boys

Wateja wao wakubwa ni raia wa western countries. Wenyewe huita Thailand Disney World ya wakubwa.
Hata Malaysia kuna tatizo hilo na hivi sasa serikali inahamasisha watu kuwa na mke zaidi ya mmoja kwani hali ikiendelea hivyo kuna uwezekano mkubwa siku za mbele idadi ya wanawake ikafikia 70% na hivyo kufanya male specie kuanza kupotea.
 
halafu hii thailand dini ya pili kwa idadi kubwa ya waumini ni uislamu. ya kwanza ni buddhism 94.50% ya pili ni islam 4.29%.

tumekuwa tukiaminishwa kwamba mashoga wengi hutokea ktk mataifa ya kikristo.
bullshit
 
View attachment 1120941

Nchini Thailand vijana wa kiume wanaojihusisha na biashara ya ngono imekuwa kubwa mno kiasi cha kuhatarisha idadi ua wanaume rijali.

Vijana hawa hufanyiwa operation ya kubadilisha sehemu za siri. ( transgender) na kuwa wanawake jina maarufu lady boys

Wateja wao wakubwa ni raia wa western countries. Wenyewe huita Thailand Disney World ya wakubwa.
Kwa hyo wanakuwa na K na unapenetrate vizuri tuu au?
 
Hata Malaysia kuna tatizo hilo na hivi sasa serikali inahamasisha watu kuwa na mke zaidi ya mmoja kwani hali ikiendelea hivyo kuna uwezekano mkubwa siku za mbele idadi ya wanawake ikafikia 70% na hivyo kufanya male specie kuanza kupotea.
Watatukumbuka tu wa Africa wazee wa mitikasi.
 
Ndugu, Natural calamities hazihusiani kamwe na hayo ma transgender.

Rafiki wewe jidanganye tu kuwa ni natural
vingine sio natural rafiki
Kwani miji ya Sodoma na Gomora
unadhani kuwa ni wenyeji waliwasha moto kwa kibiriti?
Ni Mungu ndiye aliamua kuwapa alichowapa kutokana na matendo yao yalivyokuwa mabaya
Yalikuwa ni chukizo mbele Yake
akawaangamiza kwa moto.
unajua moto ulivyoanza kuwaka?
Kasome hicho kisa!
 
wanawake wanakuwa wanaume, na wanaume wanatamani kuwa wakinamama.
sijui mwisho wake ni nini.
Ni kuto jitambua.
Nikukimbia Majukumu ya
Asili.
Ni kukosa taarifa sahihi za maisha.
Ni kuwa mbali na Habari Njema
Ni kukosa uongozi Bora katika ngazi ya familia.
Ni kushindwa kujielewa binafsi.
Ni kukosa kutafakari Uwepo wako na kwanini upo.
Zaidi ni Mashambulizi ya Kiroho ambayo najua wewe unafahamu kwa kina zaidi kuwa panapokosekana mwanga giza hivamia kwa nguvu.
Ni kuto kujua pa kukimbilia na kukosa kiongozi Sahihi ea Kiroho.
Ni kukosa Elimu chanya ya maisha.
Ni Giza.
 
View attachment 1120941

Nchini Thailand vijana wa kiume wanaojihusisha na biashara ya ngono imekuwa kubwa mno kiasi cha kuhatarisha idadi ua wanaume rijali.

Vijana hawa hufanyiwa operation ya kubadilisha sehemu za siri. ( transgender) na kuwa wanawake jina maarufu lady boys

Wateja wao wakubwa ni raia wa western countries. Wenyewe huita Thailand Disney World ya wakubwa.
Huku linakaribia kufika pia
 
Back
Top Bottom