Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

^^
Yanatumika sana katika uchumba,,yanachuja upesi ktk ndoa.
^^
 
neno ahsante....naomba ....samahani ...na pole ni muhimu kweli kwenye ndoa.....mfano..
ahsante.....utakuta unampa mmeo/mkeo zawadi au umemfanyia jambo zuri la kumfurahisha....akitumia neno ahsante unaonyesha kuthamini kile kitu na hata unampa nguvu mmeo/mkeo kukufanyia jambo zuri tena siku nyingine...

samahani.....hapa unaonyesha umetambua kosa na unahitaji kusamehewa......na unahitaji mhusika alisamehe hilo jambo...

pole......unaonyesha kumjali mwenzako .

naomba....neno naomba linaonyesha heshima fulani..ukihitaji kitu kutoka kwa mwenza wako na ukatumia neno naomba linapendeza zaidi kuliko kusema nipe...niletee...bila ya kutanguliza neno naomba inakuwa haipendezi .
ni vizuri hayo maneno yakawa vinywani mwetu....
 
Watu hudhani neno samahaniiii laonyeshaa inferiority so inakua vigumu kulitumiaa
 
Watu hudhani neno samahaniiii laonyeshaa inferiority so inakua vigumu kulitumiaa

na ndo maana baadhi ya watu ni ngumu kwao kulitumia! Hasa baadhi ya wanaume hujiona wao kuwa hawakosei na c mtu wa kumtaka radhi mwanamke! Hawajui kwamba vitu vidogovidogo kama hivi huleta furaha na upendo ndani ya nyumba.
 
Ni maneno mazuri sana ila kuna sehem nyingine kwa mwanaume kuomba samahani kwa mkeo hata kama una makosa unaonekana umejishusha sana na wanaweza kusema umetawaliwa na mkeo
Ila kwenye ndoa maneno hayo ni mazuri sana asante na samahani
 
he he he afadhali km umeliona hilo, ukwlei
waume ni wagumu sana kuomba msamaha/kutoa pole
wagumu sana, nadhani dada yangu atabahatika kwa kuwa umegundua siri

Ni maneno mazuri sana ila kuna sehem nyingine kwa mwanaume kuomba samahani kwa mkeo hata kama una makosa unaonekana umejishusha sana na wanaweza kusema umetawaliwa na mkeo
Ila kwenye ndoa maneno hayo ni mazuri sana asante na samahani
 
he he he afadhali km umeliona hilo, ukwlei
waume ni wagumu sana kuomba msamaha/kutoa pole
wagumu sana, nadhani dada yangu atabahatika kwa kuwa umegundua siri
Msingi mzuri wa ndoa ni kwa wanandoa kuwa na amani wakati wote kutolala na vinyongo na kutonuniana maana iwapo mtanuniana hata raha ya kuwa wanandoa inakuwa haipo
Na sex haipaswi kuwa kiombea samahani yaani mnapeana unyumba kama kuombana samahani ila inatakiwa kuwa raha baina ya wanandoa
Kuombana sahamani ni jambo la msingi pale unapojigundua kuwa umefanya kosa na umeenda nje ya mstari ni muhimu sana
Na hata kwa mwanaume kama amewahi home kumpa mke wake pole nae anajihisi anapendwa na kuna mtu anamjali sio mkeo anakuambia amechoka hata pole hakuna wewe macho kwenye TV unaangalia mechi
 
shemeji yangu mimi alo muoa dada yangu huwa mkewe akimwambia naumwa kwanza anamuangalia, afu anakaa kimya baadae mkewe akimwambia tena baba fulani me naumwa, utasikia si uende hospital kwani me dokta!


Msingi mzuri wa ndoa ni kwa wanandoa kuwa na amani wakati wote kutolala na vinyongo na kutonuniana maana iwapo mtanuniana hata raha ya kuwa wanandoa inakuwa haipo
Na sex haipaswi kuwa kiombea samahani yaani mnapeana unyumba kama kuombana samahani ila inatakiwa kuwa raha baina ya wanandoa
Kuombana sahamani ni jambo la msingi pale unapojigundua kuwa umefanya kosa na umeenda nje ya mstari ni muhimu sana
Na hata kwa mwanaume kama amewahi home kumpa mke wake pole nae anajihisi anapendwa na kuna mtu anamjali sio mkeo anakuambia amechoka hata pole hakuna wewe macho kwenye TV unaangalia mechi
 
shemeji yangu mimi alo muoa dada yangu huwa mkewe akimwambia naumwa kwanza anamuangalia, afu anakaa kimya baadae mkewe akimwambia tena baba fulani me naumwa, utasikia si uende hospital kwani me dokta!

Jibu baya hata lisilokuwa na afya yaani kama ni mgonjwa unamuongezea maumivu mara mbili
Kwani si angemwambia pole na twende nikupeleke kwa Doctor akakuchunguze ni wapi unaumwa
 
Mkuu unajua nini, binafsi nakuwa nawoga ninapofikiria kuingia kwa ndoa,
kwani migogoro ya ndoa ni mingi na inadhoofika moyo na hisia za mtu
kiukweli huwa na umia kusikia taarifa mbaya juu ya wanandoa
na kadri siku zinavyozidi kwenda ndo majanga yanazidi kuongezeka
cjui wana wangu na wajuu itakuwaje ndoa zao


Jibu baya hata lisilokuwa na afya yaani kama ni mgonjwa unamuongezea maumivu mara mbili
Kwani si angemwambia pole na twende nikupeleke kwa Doctor akakuchunguze ni wapi unaumwa
 
Back
Top Bottom