Hapana mkuu, hiyo inakuwa ni uamuzi wake binafsi baada ya kupata furaha na wala sio shinikizo kutoka upande wangu, wakati mwingine unakuta hata hamu sina na mashine yenyewe haijapandisha mafuta lakini mwenyewe anaijulia mpaka pampu inavuta mafuta juu gari inaondoka. Hapo inabidi nimtawanye tu.
Mkuu grafani11 hebu mwambie aliyekuibia passwedi airudishe bana haya maneno makali sana aise
Hizo nazijua mkuu na unakuwa kama hutaki vile ila kwa kuwa wife anataka hapo mwanaume lazima ajipinde aise na siku kama hiyo ndo unaonyesha kwa nini uliitwa mnwanaume
Last edited by a moderator: