Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio sababu kuu wanaume wa leo awajakaa kwenye nafasi zao kama wokozi wa ndoa zao
ilianzia kwa adam angalia alipokosea mungu akamulza maswali na majibu yake hii ni baada ya kula tunda
mungu !.....adamu umekula tunda
adam!.,,,,....,.,mungu ni yule mwanamke ulienpa amendanganya
mungu!!!........adamu uko wapi
adamu!!!........niko uchi
hapa mungu alitaka kujjua posn alipo matokeo anajibu alivyo
ukiona hapo juu soln ilikuwa ni kusema
mungu nisamehe nimekosa!!!adam kumtaja mwanamke kwenye kosa alilofanya ndio l
nyumba imearbka!!!huyu mwanamke ban
nyumba chafu!!!mwanjmke huyu shda tupu
raha anayo nani???
Jtano njema
usithubutu kumwomba mwanamke msamaha, utajuta maana atakukalia hapo utosini
Ngwandu mkuu
c kiburi tu ni uovu akuna tofauti na kuzini wasome 1wak 22
nyumba kucmama n cici wenyewe niwapemdfano hapa kati nilibarikiwa safari za nch tano nikienda nakaa narud dar nageuka,,mama didy safari ya tatu akaninunia kabsa niliporudi hata tunda la uzma nkanymwa wiki moja nkanyanyuka tena niliporud nkakaa wikh tatu kila akiomba nayeye nagoma bdae nkakachini kumweleza kama tunbarikiwa na kuweza kumaliza hata yale mabanda ya sungura huon faraja
kama nimekokusea samahan na yeye akaomba samahani leo tunagwanduana kama mungu alivyotuamuru tusinyimanE
unaweza kuwa mgumu wa msamaha kumbe ni jini mahaba linakukula uciku alitaki mkae sawa na familia
Akikukalia utosini zamia Uvinza tu, atakuheshimu sanausithubutu kumwomba mwanamke msamaha, utajuta maana atakukalia hapo utosini
Nakumbuka usia wa babu yangu.
"Mjukuu wangu daima kumbuka, ukitaka kuishi vyema na mwanamke daima kuwa mtu usietabirika"
Mara nyingi nikikosea navuta pumzi kidogo kisha baadae namuomba msamaha wa ubavu wangu pamoja na mahaba kibao.
Ila mara nyingine naharibu hali ya hewa halafu nakuwa nunda hadi anashangaa.
Basi mwenyewe utasikia anasema, "mume wangu ni mpole ila we usiombe ukute siku bange zake zipo kichwani"
Somo ni kuwa;
Ili kujenga mahusiano mema na wandani wetu wanaume tunatakiwa kuwatendea wema na kuwasiliana nao kwa upole ili kujenga mapenzi baina yetu, ila hatutakiwi kufikia mahali ikawa ni fomula.
Wanawake hupenda pia kuziona haiba na tabia fulani za kiume kwa waume zao zilizo katika mila na desturi za jamii zao. Mfano utukutu na ubabe fulani hivi ambao haujapitiliza.
Ukiwa laini sana hawajisikii raha, na ukiwa mbabe sana unawapotezea amani.
Amani kwenu
Acha kuomba msamaha tu mi hua nalia kabisa na naugua asipo nisamehe acha mambo ya kudanganyana eti siombi msamaha mimi nani anajua home kwake wanaishi vp tena hao ndo hua wanafua mpaka pichu za wake zaoMi hua naombaga msamaha hata nikikosewa
usithubutu kumwomba mwanamke msamaha, utajuta maana atakukalia hapo utosini
Will you be my neiba?
Mwanmme ukitabirika sana unakosa ladha.
Nakumbuka usia wa babu yangu.
"Mjukuu wangu daima kumbuka, ukitaka kuishi vyema na mwanamke daima kuwa mtu usietabirika"
Mara nyingi nikikosea navuta pumzi kidogo kisha baadae namuomba msamaha wa ubavu wangu pamoja na mahaba kibao.
Ila mara nyingine naharibu hali ya hewa halafu nakuwa nunda hadi anashangaa.
Basi mwenyewe utasikia anasema, "mume wangu ni mpole ila we usiombe ukute siku bange zake zipo kichwani"
Somo ni kuwa;
Ili kujenga mahusiano mema na wandani wetu wanaume tunatakiwa kuwatendea wema na kuwasiliana nao kwa upole ili kujenga mapenzi baina yetu, ila hatutakiwi kufikia mahali ikawa ni fomula.
Wanawake hupenda pia kuziona haiba na tabia fulani za kiume kwa waume zao zilizo katika mila na desturi za jamii zao. Mfano utukutu na ubabe fulani hivi ambao haujapitiliza.
Ukiwa laini sana hawajisikii raha, na ukiwa mbabe sana unawapotezea amani.
Amani kwenu
Mi hua naombaga msamaha hata nikikosewa
Hii ndio sababu kuu wanaume wa leo awajakaa kwenye nafasi zao kama wokozi wa ndoa zao
ilianzia kwa adam angalia alipokosea mungu akamulza maswali na majibu yake hii ni baada ya kula tunda
Mungu, Adamu umekula tunda
Adam, Mungu ni yule mwanamke ulienipa amendanganya
Mungu, Adamu uko wapi?
Adamu, niko uchi
Hapa Mungu alitaka kujua sehemu alipo matokeo anajibu alivyo.
Ukiona hapo juu soln ilikuwa ni kusema, Mungu nisamehe nimekosa!!!
Adam kumtaja mwanamke kwenye kosa alilofanya ndio l
Nyumba imeharibka!huyu mwanamke bana.
Nyumba chafu!mwanamke huyu shida tupu.
Raha anayo nani?
Jtano njema
usithubutu kumwomba mwanamke msamaha, utajuta maana atakukalia hapo utosini