Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,962
Tunaomba msamaha 'expressly' pale ambapo inabidi tu. Mengine tunamalizana tu 'impliedly'.
ni kutokana na mwanzo wao yani chanzo kikuu ni Adamu hivyo wote wamekuwa mkumbo huo
nadhani na huo mfumo dume waliokuwa nao wanataka wao wanyenyekewe, walambwe miguu
na kutiiwa wao tu hata kama wakikosea wao hudhani sie mijike ndo tumekosea
yote hiyo ni kujitutumua kuwa wao ini wababe sana hawana haja ya kuomba msamaha
kwani wakiomba msamaha wanaona wanashushwa chini mm huwaga wananikera sana