Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

habari ya hapa kuna kitu kimoja napenda nikuambie
Wanasema bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi na pia kila ndege huruka na bawa lake na hakuna ndege anayetumia bawa la mwenzake kuruka
Ndoa ni ya kwako wewe na sio ya yule wala yule na ni wewe utakayeifanya ndoa yako idumu au kufa na ni wewe utakayefanya ndoa yako iwe na amani na furaha au iwe ni kama taleban kila siku ngumi na vita
Muombe Mungu akupe mwenza wa maisha yako ambaye atakidhi ile haja ya moyo wako ambaye mtaelewana na kukubaliana na ambaye anakujua na unamjua wapi ana hasira wapi huwa anakasirika wapi huwa ananuna wapi huwa anafurahi na umtendee the same kama wewe atakavyokutendea the same
Yule ambaye mtakaa muongee muelewane na sio kupandihiana sauti na yule ambaye atayachukua mapungufu yako na kuyafanyia kazi the same to you
hiyo ndio ndoa japo ni wachache ila wapo ambao wanafurahia ndoa zao kila siku iamkapo kwa Mungu na wanafurahi kuwa pamoja na wenzi wao kila siku
 
habari ya hapa kuna kitu kimoja napenda nikuambie
Wanasema bahati ya mwenzio usiilalie mlango wangu na pia kila ndege huruka na bala lake na hakuna ndege anayetumia bawa la mwenzake kuruka
Ndoa ni ya kwako wewe na sio ya yule wala yule na ni wewe utakayeifanya ndoa yako idumu au kufa na ni wewe utakayefanya ndoa yako iwe na amani na furaha au iwe ni kama taleban kila siku ngumi na vita
Muombe Mungu akupe mwenza wa maisha yako ambaye atakidhi ile haja ya moyo wako ambaye mtaelewana na kukubaliana na ambaye anakujua na unamjua wapi ana hasira wapi huwa anakasirika wapi huwa ananuna wapi huwa anafurahi na umtendee the same kama wewe atakavyokutendea the same
Yule ambaye mtakaa muongee muelewane na sio kupandihiana sauti na yule ambaye atayachukua mapungufu yako na kuyafanyia kazi the same to you
hiyo ndio ndoa japo ni wachache ila wapo ambao wanafurahia ndoa zao kila siku iamkapo kwa Mungu na wanafurahi kuwa pamoja na wenzi wao kila siku


Mkuu umetisha sana, nimependa maneno yako na yameniingia
nilikuwa na macho lkn sikupata kuona vyema
nilikuwa na masikio, lkn sikupata kusikia
mambo haya hayana mwenyewe bana tuzidi kujuzana
 
Mkuu umetisha sana, nimependa maneno yako na yameniingia
nilikuwa na macho lkn sikupata kuona vyema
nilikuwa na masikio, lkn sikupata kusikia
mambo haya hayana mwenyewe bana tuzidi kujuzana

Tupo hapa kupeana moyo na kushauriana na sio kuangushana
Ndo maana tukawa jamii moja na tutazidi kupeana ushauri kwa kadri itakavyowezekana
Sijawaona HorsePower na grafani11 kwenye uzi huu
 
Last edited by a moderator:
On the other hand wako ambao hulipokea neno samahaniiii kama kigezo cha kutesana unaomba samahanii lakini mtu hataki kukusamehee

kweli mkuu,mtu kama huyu anaboa sana tena akigundua kuwa unampenda hupumui huli bila yeye ndo kabisaaa kosea uone loh! Utaimba wimbo wa taifa !
 
shemeji yangu mimi alo muoa dada yangu huwa mkewe akimwambia naumwa kwanza anamuangalia, afu anakaa kimya baadae mkewe akimwambia tena baba fulani me naumwa, utasikia si uende hospital kwani me dokta!

dah! Aisee nampa pole huyo dadako ! Kuna vidume wengine ni wagumu kweli hawana lugha ya kubembeleza hata kidogo! Asa mwanamke kama huyo atakapopata wa kumwambia pole switie huko nje,ndani hapakaliki tena loh!
 
Generaly tusemee kusema samahanii inakua na thamani iwapo unayemuombaaa hiyo samahanii anakuthaminii
 
dah! Aisee nampa pole huyo dadako ! Kuna vidume wengine ni wagumu kweli hawana lugha ya kubembeleza hata kidogo! Asa mwanamke kama huyo atakapopata wa kumwambia pole switie huko nje,ndani hapakaliki tena loh!


Akimpata wakumpa pole na kuna kumuonesha uthamani wake walahi shemeji yangu atakuwa hana chake
 
Tupo hapa kupeana moyo na kushauriana na sio kuangushana
Ndo maana tukawa jamii moja na tutazidi kupeana ushauri kwa kadri itakavyowezekana
Sijawaona HorsePower na grafani11 kwenye uzi huu
Kaka samahani ni majukumu tu yalinibana, kidogo sasa ndiyo nimeweza kuchungulia jamvini.

Ni kweli kabisa yote aliyosema mtoa mada mkuu kisugujira yasipokuwepo kwenye mahusiano unaweza kuona kama ni kitu kidogo sana lakini kina matokeo makubwa sana, yawe aidha chanya au hasi.

Ndoa zetu nyingi za siku hizi hasa wanaume tunadhani kuomba samahani ni kujishusha hadhi.
 
dah! Aisee nampa pole huyo dadako ! Kuna vidume wengine ni wagumu kweli hawana lugha ya kubembeleza hata kidogo! Asa mwanamke kama huyo atakapopata wa kumwambia pole switie huko nje,ndani hapakaliki tena loh!
Ndiyo maana mimi wangu kuna wakati mwingine najigeuza Kanumba, naekti mpaka sura inaonesha masikitiko japo wakati mwingine moyoni inaweza kuwa sio halisi. Basi Mamsapu anafurahije na kunivutia dimbani kunipa zawadi.
 
Ndiyo maana mimi wangu kuna wakati mwingine najigeuza Kanumba, naekti mpaka sura inaonesha masikitiko japo wakati mwingine moyoni inaweza kuwa sio halisi. Basi Mamsapu anafurahije na kunivutia dimbani kunipa zawadi.


Sometime nafikiri kuna mtu huwa anaiba passwedi yako kwa muda na kuirudisha
hapo muhimu sana mkuu grafani11 unajifanya Kanumba kabisa na masikitiko full kumbe moyoni una yako
 
Last edited by a moderator:
Sometime nafikiri kuna mtu huwa anaiba passwedi yako kwa muda na kuirudisha
hapo muhimu sana mkuu grafani11 unajifanya Kanumba kabisa na masikitiko full kumbe moyoni una yako
Mkuu mapenzi ni sanaa ukiyajulia mbona utang'aa, lakini kinyume na hapo itakula kwako. Hahahahahaaaa hapo kidogo na mimi nimeflow kasoro beat.
 
Mkuu mapenzi ni sanaa ukiyajulia mbona utang'aa, lakini kinyume na hapo itakula kwako. Hahahahahaaaa hapo kidogo na mimi nimeflow kasoro beat.

Nimekuona hapo mkuu umetoa ya moyoni kabisa
Ila hiyo sio njia nzuri ya kuombana samahani yaani inakuwa kama conditional excuse yaani amekusamehe ila lazima akuvute dimbani mkamalizane kisawa sawa na kuombana radhi za mwisho mwisho
 
Ndiyo maana mimi wangu kuna wakati mwingine najigeuza Kanumba, naekti mpaka sura inaonesha masikitiko japo wakati mwingine moyoni inaweza kuwa sio halisi. Basi Mamsapu anafurahije na kunivutia dimbani kunipa zawadi.

haahaahaa! Umeona eeh? Yan ili mradi furaha ndani ya nyumba loh! Siyo limtu unajiambia 'leo nimechoka yan' ukisubiri kupewa pole, utaskia pembeni 'na wewe umezidi kwani umelazimishwa?' hata pole hamna! Yani full ukauzu aagh! Inaondoa hamu kabisaaa! Hata ya kumchemshia maji ya erik loh!
 
Yap! True but kuna watu ni wagumu kuomba msamaha hata wanapokosea even kumsamehe mwenzie utachuniwa wiki nzima had jasho likutoke ndo utasamehewa! Ila kuomba omba msamaha kila wakati napo ni udhaifu mwingine!


Kama unaniona vile.
 
Nimekuona hapo mkuu umetoa ya moyoni kabisa
Ila hiyo sio njia nzuri ya kuombana samahani yaani inakuwa kama conditional excuse yaani amekusamehe ila lazima akuvute dimbani mkamalizane kisawa sawa na kuombana radhi za mwisho mwisho
Hapana mkuu, hiyo inakuwa ni uamuzi wake binafsi baada ya kupata furaha na wala sio shinikizo kutoka upande wangu, wakati mwingine unakuta hata hamu sina na mashine yenyewe haijapandisha mafuta lakini mwenyewe anaijulia mpaka pampu inavuta mafuta juu gari inaondoka. Hapo inabidi nimtawanye tu.
 
Back
Top Bottom