Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

funguka mkuu ili tujue tuna shauri kitu gani.
Yan inshu Ipo hv tunapendan san tumeish kwny relationship zaid ya miaka minne ila huu mwaka kwet umekua mbay san awez pita wiki tumekolofishan half mwnzang akifany kosa ataki kukubali kwa napata na hasira had najikuta nmempiga so kit nachotk kujua ni tumechokan au ni shetani tu ndo kapita
 
Safi sana Mkuu lazima umpige kidogo ili ajue unampenda!!!.
 
MBINU ni nyingi ila inategemea na mpenz uliyenaye pia mahusiano yenu yapoje pia Aina Ya kosa ila km amechukia Sana unaweza pitia mchango namba Sita Kwa maelezo Zaid
 
Huyo amekuchoka kisa Magufuli kabana huna kitu.,mpe makavu kwani yeye sio oxygen au maji kwamba ukimkosa hautaishi.....

Au... ...
 
Hapo kwenye machozi pagumu sana kwa wanaume[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Hee hata mahari hujalipa ushaanza ngumi...
 
Siyo mmechokana kakuchoka wewe[emoji23], ndyo maana akifanya kosa hakubali kama kakosea[emoji45]
 
Kaka [emoji23] [emoji23] [emoji23] unetisha
 
mmechokana nyie kutokana na kuzoeana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…