Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

Yaani kidume niombe msamaha....hiyo inakwenda na kinyume na uanaume.....kwa kweli itakuwa ngumu....ni mwendo wa kimya na yeye akikaa kimya natafuta mwingine....wapo wengi mpaka zingine tunauziwa.....
 
Awe mpole niongee lugha zote nimalize!

Inategemea na kosa alilofanya pia,kama ni dogo mie nimeamua tu kulikuza basi awe tu mpole ila kama ni kubwa basi aombe radhi kwa namna yoyote inayofaa.

Samahani kila Mara akosapo zinanikera,zinapoteza maana na zinamshushia hadhi yake kwangu.
Bestiiiiiiii!!!!!!
 
Kwangu nakosewa halafu linageuziwa kwangu na mtu analia kabisa nishamjulia na mwamboea nisamehee maana mizigo yote ya makosa ni yangu.
 
Me aninunulie zawadi na akishaileta anikumbatie






images
images
images


Ladies, kwako mume/mpenzi wako anapokukosea una-prefer aombe samahani ya aina gani?

Ipi unadhani ni ya dhati?

Anyamaze kimya ila ajaribu kuku-WIN kwa kukununulia zawadi na kukufanyia vitu vizuri ambavyo alikuwa hafanyi mwanzo mf. Kukutoa out, kukusaidia vikazi vidogo vidogo nyumbani, kujali hisia zako na mahitaji yako binafsi, kuwahi kurudi nyumbani, kukushirikisha mambo yake n.k

Au kukuambia SAMAHANI, NILIKUKOSEA, HAITOTOKEA TENA halafu basi?

Wakaka/wababa huwa mnamaanisha nini pale mnapogoma kusema samahani na badala yake kuanza kumwaga mazawadi na pesa kwa wenzi wenu?
 
hahahahaaaaa,,,, mwanaume kugoma kuomba msamaha ni asili......iko kwenye damu hiyo.... aombe msamaha utambe.....!!!!
 
Mi nasema kumradhi... sisemi samahani
 
Awe mpole niongee lugha zote nimalize!

Inategemea na kosa alilofanya pia,kama ni dogo mie nimeamua tu kulikuza basi awe tu mpole ila kama ni kubwa basi aombe radhi kwa namna yoyote inayofaa.

Samahani kila Mara akosapo zinanikera,zinapoteza maana na zinamshushia hadhi yake kwangu.

Mtu akisoma hapa na akawa na macho kweli, basi atajua tofauti kati ya mwanafunzi na mwalimu, au kati ya mvulana mnene na mwanamume mzima!!

Hongera sana Ennie!
 
Last edited by a moderator:
Mtu akisoma hapa na akawa na macho kweli, basi atajua tofauti kati ya mwanafunzi na mwalimu, au kati ya mvulana mnene na mwanamume mzima!!

Hongera sana Ennie!
Heshima yako Babu DC.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nikigundua nimekosa ninachofanya ni kuamka asubuhi sana na kujiandalia vitu vyangu mwenyewe bila kumuamsha majeruhi wangu naenda zangu job kimyakimya nikiwa nimeacha hela zaidi kuliko kawaida kwenye dressing
table,siku hiyo ntapiga sana simu kujua mambo yanaendaje hapo home au kazini kwake kama atakua kazini,ile nikitoka tu kazini moja kwa moja uchumi supermarket au mlimani city kuna vitu ambavyo ananipmbaga nimchikulie lakini najifanyaga nipo busy ila kwa siku hiyo namchukulia in excess,baada ya hapo moja kwa moja home tena nikiwa sober cpitii maeneo yetu yale!!!kama kuna mechi ya arsenal siku hiyo naangalizia yumbani sio jackeys tena.....basi hapo utamwona tu anacheka na kusema "we unajifanya mjanja sana,ukirudia teenaa...."..wanawake bwana!!!

Nimeipenda hii....
 
Back
Top Bottom