Thamani ya Ukuu wa Wilaya yazidi kushuka. Wasaliti, waliokataliwa majimboni na wananchi ndio wanaoteuliwa

Thamani ya Ukuu wa Wilaya yazidi kushuka. Wasaliti, waliokataliwa majimboni na wananchi ndio wanaoteuliwa

kama ni hivyo Sabaya alipatikanaje ? nina mafaili ya wateule zaidi ya 20 , hawa walioteuliwa leo , kwani mimi nina uwezo gani kushinda mamlaka ?
Mamlaka ya uteuzi inaongozwa na binadam tu na kwa idadi kubwa ya wateuliwa inawezekana kabisa yakawepo makosa miongoni mwa majina yaliyotangazwa,na hasa tukizingatia pia zoez hilo linapitia mikononi mwa wengi walio kwenye nafas ya ushauri kwa rais. So huenda ktk nia ya kutaka watu wao wapewe nafas,huweza kufikisha taarifa za kilaghai mbele ya mkuu wa teuzi.
Binafs ningekufrahia ikiwa ungetafuta namna sahh ya kumsaidia mh.Rais ajue hizo taarifa za hao unadhan hawastahil kabisa kubeba bendera ya nchi yetu. Nataka niamini Mama anasikiliza ukimfikia. Vinginevyo itakuwa ngumu kuktofautisha na "wavimba macho" tu wasiovumilia wenzao wanapofanikiwa maishani!!!
 
Tusubiri wakurugenzi Sasa, kikubwa namwombea mama wakurugenzi ageukie watumishi wa umma Kama taratibu zinavyotaka.Kuteua makada kwenye ukurugenzi Ni kuvuruga utumishi wa umma
Nawaonea huruma sana. Umwombee mama? Sikilizeni: mama anakwenda kuchuja haraka sana na mtamchoka haraka mno. Kinachomfanya sasa hivi aonekane kama anafanya vizuri ni hali ya utawala uliopita ilivyokuwa mbaya. Inakuwa ni kama mtu alikuwa amefungwa kwa mnyororo kwenye chumba chenye joto sana na akatolewa nje kwenye upepo bila mnyororo kufunguliwa. Bila shaka atajiona afuweni sana. Lakini akishazoea hiyo hali atajiona kuwa kumbe bado amefungwa na mateso kuanza upya.
 
Nawaonea huruma sana. Umwombee mama? Sikilizeni: mama anakwenda kuchuja haraka sana na mtamchoka haraka mno. Kinachomfanya sasa hivi aonekane kama anafanya vizuri ni hali ya utawala uliopita ilivyokuwa mbaya. Inakuwa ni kama mtu alikuwa amefungwa kwa mnyororo kwenye chumba chenye joto sana na akatolewa nje kwenye upepo bila mnyororo kufunguliwa. Bila shaka atajiona afuweni sana. Lakini akishazoea hiyo hali atajiona kuwa kumbe bado amefungwa na mateso kuanza upya.
kuna ukweli sana
 
Nawaonea huruma sana. Umwombee mama? Sikilizeni: mama anakwenda kuchuja haraka sana na mtamchoka haraka mno. Kinachomfanya sasa hivi aonekane kama anafanya vizuri ni hali ya utawala uliopita ilivyokuwa mbaya. Inakuwa ni kama mtu alikuwa amefungwa kwa mnyororo kwenye chumba chenye joto sana na akatolewa nje kwenye upepo bila mnyororo kufunguliwa. Bila shaka atajiona afuweni sana. Lakini akishazoea hiyo hali atajiona kuwa kumbe bado amefungwa na mateso kuanza upya.
In short hatuna Raisi, Chadema wanachelewesha amsha amsha , nchi sa hv ipo balanced....!!! Wananchi wengi hawana imani na huyu mama ukiachilia mbali waliobanwa pumbu na jiwe
 
Ukiacha kulipwa Mshahara mzuri na marupurupu mengine , likiwemo V 8 labda na Mamlaka ya kiofisi , ukweli ni kwamba wengi wanaoteuliwa kwenye cheo hiki kwa sasa hawaakisi ukubwa wa cheo chenyewe .

Wateuliwa wengi ni wale waliosaliti walikotoka baada ya kuahidiwa vyeo hata kama tabia zao ni za "Kisela" ukiwemo ulevi na ukosefu wa adabu na maadili , jambo ambalo linawafanya wananchi kupigwa na bumbuwazi huku wakishindwa kuendelea kukiheshimu cheo hicho , kiukweli sisi tulio mtaani ndio tunaojua nani ni nani , sasa unapoteua mtu kuwa DC kwa vile tu aliwahi kuvaa fulana ya chama hata kama uadilifu wake ni sifuri inaletea ukakasi mno

Ukiacha Protocal ya kuheshimu Mamlaka ya Uteuzi , ukweli ni kwamba Wakuu wengi wa wilaya wanaoteuliwa hawaheshimiwi na wananchi kutokana na vituko vyao kabla ya teuzi , wengi tumeishi nao na tunawafahamu kuliko hata anayewateua na wala hatudanganyiki

NAKULILIA TANZANIA
Masanja mkandamizaji vp kapelekwa wap yy?
 
Kwa yaliyofanyika leo ni mwiba miongoni mwetu
 
Nawaonea huruma sana. Umwombee mama? Sikilizeni: mama anakwenda kuchuja haraka sana na mtamchoka haraka mno. Kinachomfanya sasa hivi aonekane kama anafanya vizuri ni hali ya utawala uliopita ilivyokuwa mbaya. Inakuwa ni kama mtu alikuwa amefungwa kwa mnyororo kwenye chumba chenye joto sana na akatolewa nje kwenye upepo bila mnyororo kufunguliwa. Bila shaka atajiona afuweni sana. Lakini akishazoea hiyo hali atajiona kuwa kumbe bado amefungwa na mateso kuanza upya.
Upo sahihi kwa sehemu flani
 
Nawaonea huruma sana. Umwombee mama? Sikilizeni: mama anakwenda kuchuja haraka sana na mtamchoka haraka mno. Kinachomfanya sasa hivi aonekane kama anafanya vizuri ni hali ya utawala uliopita ilivyokuwa mbaya. Inakuwa ni kama mtu alikuwa amefungwa kwa mnyororo kwenye chumba chenye joto sana na akatolewa nje kwenye upepo bila mnyororo kufunguliwa. Bila shaka atajiona afuweni sana. Lakini akishazoea hiyo hali atajiona kuwa kumbe bado amefungwa na mateso kuanza upya.
expand...
Hasira za nini wivu tu tuliwaonya kuwa Magufuli = Samia hamkusikia hivi kuna mlevi kama Mbowe? Aliondoka tu Magufuli hakuondoka na mfumo wa CCM
 
Back
Top Bottom