Thanks to Dating Apps, leo kutongoza imekua kazi rahisi sana, madomo zege mpewe nini zaidi?

Thanks to Dating Apps, leo kutongoza imekua kazi rahisi sana, madomo zege mpewe nini zaidi?

Kuzoza uso kwa uso inapendeza zaidi asikwambie mtu.
Mkuu mimi naona I am too old for that.

Naona napoteza muda, nikihitaji sex naipata bila usumbufu mambo ya kupoteza muda natongoza wapi na wapi?
 
Daaa hii karne bado watu wanatongoza tu [emoji849][emoji849][emoji849] mtoto wa kike ukiona mwanaume unakujali unaomba hela,vocha unapewa fasta, anaalikwa sehemu za starehe kidume nagharamia hapo ujue papuchi inahitajika haraka sana full stop.
 
Ah wapi mi mpaka Nafikisha miaka 20+ nilikuwa nagonga bure shuleni mpaka nyumbani. Mpaka sasa wapo ambao nagonga bure ila nawapoza kimtindo
Nalog off
Hahaha mwambie huyo
 
Back
Top Bottom