Thanks to Dating Apps, leo kutongoza imekua kazi rahisi sana, madomo zege mpewe nini zaidi?

Thanks to Dating Apps, leo kutongoza imekua kazi rahisi sana, madomo zege mpewe nini zaidi?

Zipo,nyingi tu sema naona uvivu kuandika nyingi
Huduma ya kupima HIV ni bure kwa baadhi ya hospital
Huduma ya chanjo za watoto kwa baadhi ya hospital ni bure
Kuna sehemu wanaonesha mpira bure kabisa huku mtaani kwetu


Wewe kama unapata wanawake wanaokuuzia uchi hilo ni tatizo lako...sisi huku tulipewa uchi bure na tunautoa bure
Hahahaha, umepewa bure unatoa bure,Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa toka lini malaya anatongozwa? Kule ni hela yako tu, haina tofauti na mademu wa bar au wale wanaojipanga barabarani!
 
Sasa toka lini malaya anatongozwa? Kule ni hela yako tu, haina tofauti na mademu wa bar au wale wanaojipanga barabarani!
Wapi uliwahi kuona mwanamke anapatikana bila hela? Hakuna mwanamke anaetoa uchi wake bure, hakuna Duniani.
 
🙁🙁Kama ni hivyo unaita unayetaka kama unachagua nyanya sokoni, bora niendelee na kampeni labda mwaka huu nitachukua kiti.
 
Zipo,nyingi tu sema naona uvivu kuandika nyingi
Huduma ya kupima HIV ni bure kwa baadhi ya hospital
Huduma ya chanjo za watoto kwa baadhi ya hospital ni bure
Kuna sehemu wanaonesha mpira bure kabisa huku mtaani kwetu


Wewe kama unapata wanawake wanaokuuzia uchi hilo ni tatizo lako...sisi huku tulipewa uchi bure na tunautoa bure
LIVE IT LOVE IT
 
Hivi wale mamaza huwa wanaingia wenyewe au nan anawaingiza na wanatafuta nini? mmoja anaonekana kabisa ni >60 yy anadai wa 40s.
 
Back
Top Bottom