Thanks to Dating Apps, leo kutongoza imekua kazi rahisi sana, madomo zege mpewe nini zaidi?

Hahahaha, umepewa bure unatoa bure,Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa toka lini malaya anatongozwa? Kule ni hela yako tu, haina tofauti na mademu wa bar au wale wanaojipanga barabarani!
 
Sasa toka lini malaya anatongozwa? Kule ni hela yako tu, haina tofauti na mademu wa bar au wale wanaojipanga barabarani!
Wapi uliwahi kuona mwanamke anapatikana bila hela? Hakuna mwanamke anaetoa uchi wake bure, hakuna Duniani.
 
🙁🙁Kama ni hivyo unaita unayetaka kama unachagua nyanya sokoni, bora niendelee na kampeni labda mwaka huu nitachukua kiti.
 
 
Hivi wale mamaza huwa wanaingia wenyewe au nan anawaingiza na wanatafuta nini? mmoja anaonekana kabisa ni >60 yy anadai wa 40s.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…