Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
For sure,... Safari ya urais wa nji hii ilipata hitilafu kubwa sana pale...wakati wenzie wanashusha nondo na sera yeye yuko busy na nilikamata sahabu, makyambasi, nimejenga vituo vya polisi nk.... I wonder kwanini JK na timu yake walikataa hii kitu 2010...may be alisoma alama za nyakati....Midahalo ni mizuri sana inasaidia kuwajua vizuri wagombea....
Unadhani wakikuyu na wakalenjin watapiga kura kwa kufuata maelekezo ya serikali ya binamu Barry?
Nadhani kwa dharau hiyo hiyo ndo maana suala la Migingo halijashughulikiwa, maana Watendaji wenyewe ndo hao wenye kudharau kama hivyo.
Huyu Raila wakati mwingine mi simchuki serious sababu ya mambo yake hayo hayo!
Na kujifanya kwako mchezaji namba 9 sijui kafunga goli ngapi hadi sasa.
Nyani Ngabu, Martha is something else. I tell you I am proud of her.
Those who thinks women are weak, I urge them to listen to Martha.
She made my night.
Queen Esther
Hahahahaaaa!! so you pretend that you are not feeling jealous?...Haya mkoya!!He is just a gentleman. Its kind to mention a name when talking to a lady. I loved him for that too, you know.
I think it's important for someone who is vying for the presidency to refrain from comments that could be construed as hostile.
For sure,... Safari ya urais wa nji hii ilipata hitilafu kubwa sana pale...wakati wenzie wanashusha nondo na sera yeye yuko busy na nilikamata sahabu, makyambasi, nimejenga vituo vya polisi nk.... I wonder kwanini JK na timu yake walikataa hii kitu 2010...may be alisoma alama za nyakati....Midahalo ni mizuri sana inasaidia kuwajua vizuri wagombea....
A bit taken aback that Al Jazeera is covering debate live.
Uamsho anaboa kishenzi. He is just veering off from the questions.
1995 Mkapa aliwagaragaza akina Mrema, Cheyo, na Lipumba.