Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raila ujanja wa mbuni tu...Martha Karua anaua sasa kuhusu matumizi makubwa ya fedha kwenye kampeni. Huwa naona akina Kenyatta wakitumia helcopita kuchana anga.
Raila amepatikana leo. Siuoni umahiri wake ambao huwa nauona kwenye kampeni
Raila wanamsukuma sana.
Nini? Unamfananisha Odinga na huyu kilaza wa Tanzania.? Nakwambia Kikwete akiwekwa hapo hataweza kusema hata maneno mawili.B nilikuuliziaga pale Chako nikaambiwa hujawahi hata kukanyaga ni kumbe unaosheaga tu JF...mweeh!
Raila aende zake huko na majibu yake 'mepesi' kama ya huyu mshikaji wake wa bongo.
Mods ndiyo nini sasa bana na nyie? Mbona hii mmeileta huku kwenye misiasa ya bongo?
Anajisukuma mwenyewe na majibu yake mepesi na spidi yake ndogo ya kujibu maswali...:becky:
Maneno mawili yapi? Ya kibagamoyo au kizungu? Usisahau ana misemo lukuki yule kwa hiyo usimdharau...Nini? Unamfananisha Odinga na huyu kilaza wa Tanzania.? Nakwambia Kikwete akiwekwa hapo hataweza kusema hata maneno mawili.
It is surely...huyu ni wa nne tangu wameanza!Just noticed the interpreter changed, must be a tiring job that one.
Raila anajua kujieleza sana kwa vitendawili na mkeka nusu but this is too formal for him.Yaani Raila ameshindwa kujipambanua kama Rais mtarajiwa. Huyu ni mtu ambaye yupo serikalini kama one of the two principals lakini hana lolote hadi Peter Kenneth anaonekana kujua mambo ya kisrikali kuliko yeye! Ila tukumbuke Raila ni Mhandisi na udhaifu wa wahandisi unakulikana linapokuja suala la kujieleza wao ni mahiri wa numbers x[SUP]2[/SUP]
Hahahaaa macho mdiliko njoo umsome Dhuks hapa sasa....Raila anajua kujieleza sana kwa vitendawili na mkeka nusu but this is too formal for him.
Raila anajua kujieleza sana kwa vitendawili na mkeka nusu but this is too formal for him.