The Best League in the world is back...Ligi kuu Uingereza ndiyo ligi bora zaidi kwa sasa duniani.

The Best League in the world is back...Ligi kuu Uingereza ndiyo ligi bora zaidi kwa sasa duniani.

Dogo we Spain kulikuwa na ubaguzi wa kimajimbo ndo maana hata Timu ya Taifa ilikuwa haifanyi vizuri kutokana na wachezaji kutelewana, Hizo timu za EPL ni moto wa mabua, angali timu za Spain zimedominate mpira wa Ulaya kwa muda gani jiulize je timu za EPL zitalipa hilo gape?
Nyinyi ni mashabiki wa Millenium na wadandia treni kwa mbele. Spain imeanza kufanya vema miaka hii ya Millenium, before that ilikuwa ni Real Madrid tu tena miaka ya 1950s enzi za kina De Stefano na Puskas, mlikuwa hamjuwi hii? Timu yao ya taifa ilikuwa kama ya Bongo, yaani useless na Barca walikuwa vibonde miaka yote hiyo. Wameanza kutamba kuanzia miaka 10 iliyopita tu baada ya Messi kuingia hapo. Akiondoka Messi mtaona muziki wake, watarudi kule kule walikotoka.
 
Embu niambie mapungufu ya sarri in comparison kwa kocha mwengne ambaye sijamtaja ukitoa Klop, Chelsea wako kwenye semi finals ya Europa League and kwenye league wako nafasi ya nne, shida ya sarri ni nin?
han mbinu b ya ushindi baasi tu anabrbwa na uwezo bunafsi wa wachezaji wachache
 
Povu kibao nakati yote hayo unayoyamwaga hapa nawe huwa unayafanya, unaishije bila ya kunya na kujitawaza?

Endelea kujitekenya huku unacheka mwenyewe[emoji847]
Sielewi kwanini uliacha kumaliza kunya na kuj hapa kuongea utumbo....CR7 ni Mreno na wala si Muhispania. Nimesema Spain haikuwa na timu nzuri ya taifa, walikuwa wachovu mno kama Taifa Stars....hujasoma huu mstari? Katika Champions League, ni Real Madrid tu ndiyo waliokuwa wanafanya vizuri Ulaya na si Barca. Barcelona imeaanza kuja juu miaka hii ya Messi kabla ya hapo walikuwa vibonde tu Ulaya watu wanajipigia kama hawana akili. Fuatilia rekodi zao Ulaya kabla ya Messi utaona. Haya sasa, rudia kunya maana shombo yako inakera humu mtandaoni.
 
Dogo we Spain kulikuwa na ubaguzi wa kimajimbo ndo maana hata Timu ya Taifa ilikuwa haifanyi vizuri kutokana na wachezaji kutelewana, Hizo timu za EPL ni moto wa mabua, angali timu za Spain zimedominate mpira wa Ulaya kwa muda gani jiulize je timu za EPL zitalipa hilo gape?


Unakumbuka pia timu za EPL zilipigwa ban miaka 5 kutoshiriki makombe ya Ulaya au hujuwi hili? Timu za Spain zimeanza kudominate miaka ya hivi karibuni tu.
 
Naam timu nne toka Uingereza zilitinga robo fainali UEFA, na hatimaye mbili zinakwenda kucheza fainal baada ya kupindua meza kibabe (Comebacks) huku kule Europa league kuna team mbili toka Uingereza pia zilifika nusu fainali na kuna uwezekano mkubwa wa kukutana fainali baada ya kuongoza michezo yao ya Mwanzo.hii inatokea kama sijasahau baada ya miaka 11 toka timu za England zilipopambana katika kipute cha fainal, hivyo baada ya zaidi ya miaka mitano ndoo ya UEFA inaenda kutua pale Uingereza.
Kwenye ligi pia mambo ni moto mchaka mchaka wa kuukimbiza ubingwa wa EPL unaendelea pamoja na kubakiwa na mechi moja mkononi kwa kila timu bingwa ataamuliwa pale mechi zitakapomalizika rasmi!.jambo ambalo ni tofauti na league nyingine ambazo mshindi hujulikana mapema tena akisaliwa na mechi nyingi mkononi,Pep Guardiola amekiri kuwa hajawahi kukutana na ligi ngumu na yenye ushindani na upinzani mkali kama EPL ,🙌 bila kusahau kuwa ni league yenye matokeo yasiyotabirika ki urahisi kulinganisha na ligi nyingine, Wazee wa mikeka hili wanalitambua vyema 😁😁 Naam.
Kila kitu kina mwanzo na mwisho wake, lingekuwa jambo la ajabu kwa timu za Spain kutawala soka la Ulaya kwa miaka na miaka.

Hii miaka kumi iliyopita hasa msimu wa 2008-2009 mpaka 2017-2018 soka la Ulaya lilikuwa katika umiliki wa klabu za Hispania pamoja na timu yao ya taifa. Ushahidi ni kama ifuatavyo:
  1. Mataji saba (7) ya klabu bingwa ya ulaya.
  2. Mataji sita (6) ya Kombe la washindi la ulaya.
  3. Mataji mawili ya Kombe la mataifa ya ulaya.
  4. Kombe la dunia moja (1).
  5. Wachezaji bora wa dunia na ulaya wametawala wao.
Uingereza wanaanza taratibu kutawala soka la Ulaya hii ni kutokana uwekezaji mkubwa unaofanyika katika soka lao.

Klabu za Spain zinaanza kushuka taratibu, Real Madrid wanajipanga, Barcelona nao wanatengeneza timu.Huu ni muda mzuri kwa timu za kiingereza kutawala soka la Ulaya.

Tathmini: Kusema soka la Uingereza ni bora kuliko Spain ni mapema mno kwani kuna mafanikio yaliyofikiwa na klabu pamoja na timu ya taifa za Spain yavunjwe kwa hii miaka kumi inayokuja hapo tunaweza kuongea lugha moja!!!

Acha muda uongee!!!
 
Mkuu under 17 hawaelewi chochote,hao akina Gaucho na Eto'o kwao ni kama stori za manabii na mitume!
Kweli mkuu.

Nakumbuka UEFA final ya mwaka 2006 kati ya Arsenal na Barca, akina Eto'o na Gaucho walisakata kabumbu hatari na kuibeba ndoo huku akina Thiery Henry, Adebayor, Bakari Sagna na wengineo wakiachwa midomo wazi.
 
Kweli mkuu.

Nakumbuka UEFA final ya mwaka 2006 kati ya Arsenal na Barca, akina Eto'o na Gaucho walisakata kabumbu hatari na kuibeba ndoo huku akina Thiery Henry, Adebayor, Bakari Sagna na wengineo wakiachwa midomo wazi.
Ndaga fijo nkamu gwangu mwifwa, tuko pamoja!
 
Back
Top Bottom