The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

Biblia imekuwa translated kwa lugha mbali kulingana na mahitaji ya watu ya kuwa na lugha tofauti tofauti, kwa hiyo Yesu alitumia lugha ya kwao ya kipindi hicho ila sio kigiriki , nazani ni Jewish language, itakuwa aramaic and Hebrew.
Sasa hiyo injili iliyoandikwa kwa lugha ya aramaic au hebrew iko wapi??

Na kwanini tupewe tafsiri kwanini tusingefundishwa na kitabu hiko original na kwanini hata maneno ya hiyo injili hatuoneshwi ??

Wewe unajua hiyo injili ya yesu iko wapi?? maana hiyo ndiyo yenye ukweli wa kila kitu

Watu wamekuja ghafla wakasema hii ndiyo injili ya yesu je wametupa vigezo au ushahidi wa wanachokisema

kwamba ni kweli ni tafsiri ya injili ya yesu au ni tafsiri waliyoiweka wao kwa interests zao??

Wala hata kutuonesha hiyo injili na jinsi ilivyotafsiriwa mkuu??

Endelea kunielewesha mkuu kuhusu hayo
 
Kitu cha ajabu nilichokigundua kwako wewe ni kwamba badala ya kuisoma hiyo Biblia na kuitafakari matokeo yake umekimbilia kusoma maandiko ama vitabu vinavyoenda kinyume na maandiko yakiyomo katika Biblia yani kiufupi umekubali kuyumbishwa na wanaotoa mitazamo yao kuhusu Biblia lakini napenda kukuambia kitu kimoja ndugu kuwa..wokovu ni kitu cha kukiishi ama sijui nisemeje hapa kwa Kiswahili naomba nitumie lugha yankiingereza pengne unaweza kupata maana itakayoeleweka kwako: Salvation is something experienced.. ni vigumu sana mtu aliyeko nje ya hii experience kumuelewesha mtu ambaye hajawahi kuwa experienced na hiki kitu..Mungu anazungumza na watu ndani ya mioyo yao na anaozungumza nao wanamwelewa kabisa lakini kwa ambao hajazungumza nao ni vigumu sana kumuelewa maana wengi wao wanatumia maono yao na elimu zao kumuelezea Mungu lakini kiuhalisia ni vitu 2 tofauti kabisa..watu wa rohoni wanayajua ya ulimwengu wa roho na wa mwili pia lakini wote wa ulimwengu wa mwili hawajui hata chembe ya kwenye ulimwengu wa roho maana matokeo yote ya ulimwengu wa mwili kabla kutokea huanzia ulimwengu wa roho..haya mambo ni ya ujuzi mkubwa sana upitao wote wenye akili na ma genius wa ulimwengu huu. Nakushauri jikite sana kusoma Biblia na ikiwa ni mapenzi ya Mungu basi utapata kujua iliyo kweli na utakuwa na uhakika kwa mambo ambayo hayaonekani katika ulimwengu wa macho na nyama Bali katika roho.
 
Uzi mzuri sana hasa Waafrika wasome kwa makini. Kumbuka wamisionari walituachia bible wakaondoka na utajiri wetu wa Africa. Funga macho kwa kusali sana na wao wanyonye sana. Theologians mnisamehe bure!!

Ndugu siku ukijua Siri iliyomo katika Biblia hakika utakuja hapa kutoa ushuhuda na kufuta hiki ulichokiandika hapa na zaidi utamtukuza huyu ambaye unaona kama hayupo lakini yupo na anakutazama kwa kila kitu.Kumjua Mungu na kumuishi ni zaidi ya walichochukua wamissionary..yawezekana waliingiwa tamaa na kumuacha Mungu na kukimbilia Mali lakini nafikiri dhumuni walilokuja nalo mwanzo kabisa wa safari yao ni kuieneza habari njema ya ufalme wa Mungu lakini kama binadamu waliingiwa na tamaa na kuigeukia Mali ingawa tayari ujumbe wa neno la Mungu ulikuwa umeishafikishwa tayari
 
Duh kweli hii Kali, yaani Biblia huiamini lakini huyo mpagani like Shigongo unamwamini. Kweli wapumbavu hawataisha Karne hii na hii yote inaletwa na shibe plus kuvimbiwa
 
When the missionary came in Africa we had the Diamonds in our hands ,,and they had the bibble,, they asked us to close up our eyes ,,,when we opened them.we had the bibble and our diamond on their hand ,,,

It shows how stupid you was..you did not even know the value of the diamond in your hands until the white man told you to close your eyes!!
 
Sasa hiyo injili iliyoandikwa kwa lugha ya aramaic au hebrew iko wapi??

Na kwanini tupewe tafsiri kwanini tusingefundishwa na kitabu hiko original na kwanini hata maneno ya hiyo injili hatuoneshwi ??

Wewe unajua hiyo injili ya yesu iko wapi?? maana hiyo ndiyo yenye ukweli wa kila kitu

Watu wamekuja ghafla wakasema hii ndiyo injili ya yesu je wametupa vigezo au ushahidi wa wanachokisema

kwamba ni kweli ni tafsiri ya injili ya yesu au ni tafsiri waliyoiweka wao kwa interests zao??

Wala hata kutuonesha hiyo injili na jinsi ilivyotafsiriwa mkuu??

Endelea kunielewesha mkuu kuhusu hayo
Mimi sio mtaalam sana, ila ukisoma bible utaona Jewish ni watu wa kusoma sana maandiko ya biblia, na vile ilikuwa kwa lugha yao kama kungekuwa na uchakauchakauaji wao wangekuwa wa kwanza kuona, kusingekuwa na consistent, pia isingekuwa na ushahidi wa kihistoria.

Ukisoma historia ya mohamed utaona Jewish walikataa mafundisho yake kwa vile yalikuwa hayaendani na mafundisho yaliyopo bible.

Sasa ili ujue ukweli wa bible ni lazima kwanza uisome ili ujue kilichomo ndani.
 
Kwani hao si ndiyo waliomsulubu yesu sasa kuna uhakika gani kwamba wao pia sio waharibifu hao wanalaana ya mungu

Kwa sababu hiyo bado hao unaosema waisrael kwani wote ni wakristo wengi wao ni wayahudi

Sasa kama wao wayahudi watawezaje kuisoma injili na kuifata kama ilivyoandikwa na yesu??

Kwa sababu hiyo pia wanaweza ku fabricate hiyo injili kwa kua hawakua watu wanaomfuata na kumuamini yesu
Jewish wanatumia agano la kale, while christian wanatumia both la kale na jipya.

Yesu yeye hakuandika kitabu chochote isipokuwa wanafunzi wake au mitume.

Pamoja na kumkataa Yesu na kumsurubisha haina maana kuwa kwamba hakuwepo na hayo mafundisho yake hayakuwepo ,sana sana, inathibisha maandiko au tuseme unabii unatimilika kuwa nabii hakubaliki nyumbani kwake, sasa ukiona nabi hakubaliki nyumbani kwake.
 
Jewish wanatumia agano la kale, while christian wanatumia both la kale na jipya.

Yesu yeye hakuandika kitabu chochote isipokuwa wanafunzi wake au mitume.

Pamoja na kumkataa Yesu na kumsurubisha haina maana kuwa kwamba hakuwepo na hayo mafundisho yake hayakuwepo ,sana sana, inathibisha maandiko au tuseme unabii unatimilika kuwa nabii hakubaliki nyumbani kwake, sasa ukiona nabi hakubaliki nyumbani kwake.
Ahaaah kumbe nimekuelewa injili ilikuja baada ya yesu okey
 
Habari za wakati huu wakuu,
Kwanza kabla yayote labda nitamke tu rasmi kwamba mimi ni muumini wa dini ya kikristu na dhima ya uzi huu sio ku-criticize our faith (for those Christians) Bali ningependa tuweze kushare mawazo kusudi kung'amua hasa kweli ni ipi. Baada ya kusoma nyuzi kadhaa za mkuu Likud na na comments za mkuu Kiranga, nilijaribu kutafuta vitabu kadhaa niweze japo basi kupata mwanga kidogo kuhusu ni ipi ni kweli. Kitabu cha The bible fraud (hivi vyote vimeandikwa na Tony Bushby) sikufanikiwa kukipata ila hiki cha secret in the bible nimefanikiwa kukipata na ndio niko mbioni kumalizia. Aisee,
Ukisoma hiki kitabu kuna shocking facts (truth) ambazo kiukweli zimenishtua hadi sasa moyo wangu hauna amani. Imagine what you have been made to believe turns out to be fake. Kwenye biblia kuna siri nyingi sana na according to bwana bushby, mtu aliyeitwa Francis Bacon ambae ni moja ya magenius waliowahi kutokea duniani, ambae pia ni among the earliest initiates (masonry) ndie aliyepewa jukumu LA kuandika biblia ya kwanza na king jes ambapo humo aliencode siri nyingi sana ambazo inabidi uwe enlightened kuweza kuzifahamu. Pia anasema Jesup christ had a twin brother na hakuuliwa kwa crucifixion bali he was stoned to death baada ya kukamatwa na hatia ya kuiba the ancient secrets from Egypt na ndipo alipoanza kuperform MIUJIZA. hizi ni baadhi ya screenshots za baadhi ya pages Kwenye kitabu hiko...
View attachment 775699
View attachment 775704
View attachment 775706
Naomba tuweze kujadili swala hili kwa marefu na mapana wakuu lengo ni kugain knowledge wala sio kukashifiana kiimani. Mods pls Naomba msiuunganishe huu uzi na nyuzi zingine na kwa atakae hitaji hiki kitabu nitampatia.

Labda nianze kwa kukushukuru kuleta hoja yenye vielelezo vya kihistoria inayojaribu kuaminisha kuwa habari za Biblia ni hadithi za Wazungu zilizo na makosa mengi na kwamba sio za kuaminika! (HABARI ZA UONGO).
Ukweli ni Upi sasa?
Ukweli ni kwamba iwapo IMANI haikujaribiwa haiwezi kuwa thabiti na imara.
Kuna imani nyingi sana ambazo hazijawahi jaribiwa na bado zipo na watu wanazidi kuziamini imani hizo.(IMANI ZA UPOFU - Ukiihoji tu unaacha kuiamini siku hiyohiyo).

Naomba Nieleze Kidogo kuhusu Ukristo na Kitabu chake kikuu rejea ambacho ni BIBLIA.
Ni Dini pekee ambayo Kitabu chake cha Maarifa na Imani ni kimoja tu.
Dini zingine kwa mfano Dini ya Wayahudi ina kitabu zaidi ya kimoja - TORAH na TALMUD. Huezi kushiba maarifa ya imani hiyo bila kusoma kitabu cha ziada.
Hivo hivyo Uislam - Quran na HADITH.

Ukristo umepigwa vita na Watu wengi sana katika historia;Watawala(mfano NERO),Imani zilizokinyume chake,Kuchomwa kwa nakala za biblia,Kubanikwa kwa wote waliojiita Wakristo (Wafia dini ulimweguni kote - Hawa waliuwawa kwa kukiri kuwa wao ni wafuasi wa Yesu Kristo - Kanisa la kwanza) Kukatazwa kuabudu na mambo kadha wa kadha yanayofanana na hayo. Lakini mpaka leo bado ukristo ni imani pekee ambayo mafundisho yake yasipopotoshwa yanaleta Uzima na Amani sana.
Nafurahi kwa sababu Ukristo Umesemwa vibaya sana! Umetukanwa mno! Umebezwa sana! Umedharauliwa sana!
Naomba niwataje baaadhi ya waandishi maarufu sana ambao iwapo maandishi yangekuwa na nguvu yangesha uuwa Ukristo Duniani.
1. Bertrand Russel
2.Richard Dawkins
3.George Bernard Shaw
4.Karl Marx
5.C.S Lewis
6.Lee Strobel
7.Malcom Muggeridge
LIST NI NDEFU!....
Lakini cha ajabu sasa baadhi ya hawa waandishi walibadili gia angani na kuukubali Ukristo kwa Mikono Miwili.

HOJA NINI BASI JUU YA UKRISTO.
Hoja ni Ndogo sana "Kubwa sanaaaa' - YESU.
Shida ni Huyu Bwana Mkubwa - YESU.
Iwapo wangeweza Kumdiscredit YESU basi Imani ya Wakristo ingekuwa ni Bureeeeeeeeeeee.

Wanatumia Makosa madogo madogo sanaa ya Watafsiri wa Biblia - (Trivial errors and innocuous one) toka Lugha moja hadi nyingine = Kiebrania (Hebrew) - Kiyunani (Greek Septuagint) - Kilatini (Latini Vulgate) mpaka kwenye versions za kiingereza Kama vile NIV,KJV,SV na nk.

Pseudo Historical Narratives.
Ooh sijui Hadithi za Wamisri wa kale - Kabala na uongo mwingine.
Na hoja zingine nyingi ambazo kisomi "zinamashiko ya Kishule" Welevu wa kidunia sio wa kiimani( Research is only refuted by another research).
Iwapo wewe ni Mkristo wau Mwislam swali ni moja tu! Je Imani yangu inafanya unachokiamini?
- kama hamniamini Mimi basi aminini kwa kazi ninazofanya -Yesu Kristo
Faith is all about experience and revelations.
Kwa sababu binadamu wamekuwa na masikio ya kuwasha sana! hawataki kuamini Biblia basi aminini kwa kusoma Habari toka kwa Wasioamini Kristo ambao walikutana na Experience ya ajabu wakakubali.
 

Attachments

Labda nianze kwa kukushukuru kuleta hoja yenye vielelezo vya kihistoria inayojaribu kuaminisha kuwa habari za Biblia ni hadithi za Wazungu zilizo na makosa mengi na kwamba sio za kuaminika! (HABARI ZA UONGO).
Ukweli ni Upi sasa?
Ukweli ni kwamba iwapo IMANI haikujaribiwa haiwezi kuwa thabiti na imara.
Kuna imani nyingi sana ambazo hazijawahi jaribiwa na bado zipo na watu wanazidi kuziamini imani hizo.(IMANI ZA UPOFU - Ukiihoji tu unaacha kuiamini siku hiyohiyo).

Naomba Nieleze Kidogo kuhusu Ukristo na Kitabu chake kikuu rejea ambacho ni BIBLIA.
Ni Dini pekee ambayo Kitabu chake cha Maarifa na Imani ni kimoja tu.
Dini zingine kwa mfano Dini ya Wayahudi ina kitabu zaidi ya kimoja - TORAH na TALMUD. Huezi kushiba maarifa ya imani hiyo bila kusoma kitabu cha ziada.
Hivo hivyo Uislam - Quran na HADITH.

Ukristo umepigwa vita na Watu wengi sana katika historia;Watawala(mfano NERO),Imani zilizokinyume chake,Kuchomwa kwa nakala za biblia,Kubanikwa kwa wote waliojiita Wakristo (Wafia dini ulimweguni kote - Hawa waliuwawa kwa kukiri kuwa wao ni wafuasi wa Yesu Kristo - Kanisa la kwanza) Kukatazwa kuabudu na mambo kadha wa kadha yanayofanana na hayo. Lakini mpaka leo bado ukristo ni imani pekee ambayo mafundisho yake yasipopotoshwa yanaleta Uzima na Amani sana.
Nafurahi kwa sababu Ukristo Umesemwa vibaya sana! Umetukanwa mno! Umebezwa sana! Umedharauliwa sana!
Naomba niwataje baaadhi ya waandishi maarufu sana ambao iwapo maandishi yangekuwa na nguvu yangesha uuwa Ukristo Duniani.
1. Bertrand Russel
2.Richard Dawkins
3.George Bernard Shaw
4.Karl Marx
5.C.S Lewis
6.Lee Strobel
7.Malcom Muggeridge
LIST NI NDEFU!....
Lakini cha ajabu sasa baadhi ya hawa waandishi walibadili gia angani na kuukubali Ukristo kwa Mikono Miwili.

HOJA NINI BASI JUU YA UKRISTO.
Hoja ni Ndogo sana "Kubwa sanaaaa' - YESU.
Shida ni Huyu Bwana Mkubwa - YESU.
Iwapo wangeweza Kumdiscredit YESU basi Imani ya Wakristo ingekuwa ni Bureeeeeeeeeeee.

Wanatumia Makosa madogo madogo sanaa ya Watafsiri wa Biblia - (Trivial errors and innocuous one) toka Lugha moja hadi nyingine = Kiebrania (Hebrew) - Kiyunani (Greek Septuagint) - Kilatini (Latini Vulgate) mpaka kwenye versions za kiingereza Kama vile NIV,KJV,SV na nk.

Pseudo Historical Narratives.
Ooh sijui Hadithi za Wamisri wa kale - Kabala na uongo mwingine.
Na hoja zingine nyingi ambazo kisomi "zinamashiko ya Kishule" Welevu wa kidunia sio wa kiimani( Research is only refuted by another research).
Iwapo wewe ni Mkristo wau Mwislam swali ni moja tu! Je Imani yangu inafanya unachokiamini?
- kama hamniamini Mimi basi aminini kwa kazi ninazofanya -Yesu Kristo
Faith is all about experience and revelations.
Kwa sababu binadamu wamekuwa na masikio ya kuwasha sana! hawataki kuamini Biblia basi aminini kwa kusoma Habari toka kwa Wasioamini Kristo ambao walikutana na Experience ya ajabu wakakubali.
mkuu nyongeza kidogo.
sio version za kiingereza zote zilitokana na latin Vulgate.
erasmus alitafsiri moja kwa moja kutoka kwenye orgin Hebrew na Greek.
asante kwa maelezo mazuri mkuu. unaweza kutia maelezo ya ziada kama maelezo yangu yanagap.
asante kwa rejea, ngoja tuipitie tupate madini
 
Mkuu mimi ni mwislam lakini Rabai Isa aka Iso aka Jesus aka Yesu,hakuuliwa kwa kupigwa mawe hiii sikubaliano nayo,Kwa imani ya kiislam Yesu kweli alisulibiwa msalabani lakini hakufa,ukisoma biblia kuna sehemu nyingi zinazoeleza kuwa Yesu hakufa msalabanni..

Kweli biblia inamappungufu mengi,lakini hii ya Yesu kupigwa mawe mpaka kufa mpya,nitarudi na aya za biblia kuthibitishia kuwa yesu hakufa msalabani
We muislam wa wapi unasema Yesu alisulubiwa?,..na Quran imekataa hilo..!.Quran imesema "hawakumuua wala hawakumsulubu bali walifananishiwa na katika hilo bado wapo kwenye mashaka makubwa" surat Nisaa
 
Kwa uelewa wangu mimi kuhusu bible sio Neno la Mungu ila kuna maneno ya Mungu ndani ya bible..Kwanza Yesu alikuja na kitabu kinaitwa Injil ni katika vitabu vinne vitakatifu vingine ni torat,zaburi na Quran...! ..ukiitazama hii bible ambayo imetafsiriwa kutoka kwemye kigirik imepitia mikono mingi kwanza ilichukua miaka 300 had kupata kitabu kilichoitwa bible neno bible lenyewe ni tafsiri ya neno bublus neno la kigiriki linamaanisha kitabu Yesu hajawahi kulitamka neno hilo kwanza neno biblie halipo ndani ya biblia yenyewe vipo vitu vingi vilikuja kuwekwa au kuongezwa barada ya yesu kuondoka,vitu kama majina ya mitume ikiwemo hili jina Jesus sio jina lake lilianza kutumika kwenye bible ya kilatin jina lake alikuwa anaitwa Iso au Yoshua,..hata neno wakristo lilitokana na wahayahud kuwaita wafuasi wa Yesu kuwa ni wakristo ila Yesu mwenyewe hajawahikufundisha kitu kinaitwa ukristo wala kukitamka hata kwenye bible iliyopo leo

Kuna vitabu vingi viliondolewa kwenye mchakato wa kupata bible ya kutumia yapo maneno yamekuwa yakiendelea kutolewa tangu kipindi hicho,neno Mungu baba,na mwana na roho mtakatifu na neno mwanae wa kumzaa kwenye rerviser standand version na king james version maneno hayo yameondolewa na wanazuon wa kikristo wanasema maneno hayo ni fabrication...ila zipo binle huku tunatumia had leo zina maneno hayo na zingine hamna ila makanisa yana preach trinity...bible ina makando kando mengi sana...ukisoma with free mind ukawa na ujasiri wa kuhoji mambo utauona ukweli tatizo waafrica tunaamin kwanza kwa kurith pili bila kuhoji kuwa niliowarithi walijua wanachokiamin ama vip..!
 
Kama wakitisto wote wangekuwa wanajua ukwel wa mambo yalivyo ...tusingekuwa na mkiriato hata mmoja hapa ....wachache sana wenye kujua na hawasemi kwa maslah yao .....
 
Huu uzi nia yake ni njema ila kwa navyojua wafia dini wa humu kufikia page ya 3 uzi utakua umechafuka..... Wapo ibadani ngoja watoke usikimbie tu 😀😀
Ni kweli ila sasa hapo kwa jinsi alovyoandika ataleta tatizo maana inabiɗi aweke source na aeleze huƴo tom kaandika karne ya ngapi na katoa katika kitabu gani alichoamini kuwa ndo sahihi nasi tulinganishe hvyo vitabu alivyosoma tom na kuviamini na bible ili tujadili pasipo ishabiki... Asante
 
Una uhakika gani kama hicho kitabu The Secret in the Bible kimejaa facts kama unavyodai na sio fraud? Maandishi ya Biblia yamekusanywa kupitia manuscripts za kale sana na hadi leo kuna nyingine zipo sasa nashangaa umeamini maandishi ya Tony Bushby wa juzi tu lkn huamini hizo manuscripts za karne na karne!

Nasikitika sana unapodai hicho kitabu cha Secrets in the Bible kimejaa facts, mimi siamini hizo facts ambazo sio scientific approved wakati Biblia manuscripts zake za karne na karne bado zipo.

Hata hivyo kuamini ni hiyari , sio lazima, kama umnaona Biblia ni myths na hicho kitabu cha Secrets in the Bible ndio facts ni hiyari yako.

Vv
 
Mwenye akili na atafakari.



BREAKING NEWS INTERNATIONAL
Pope Francis cancels The Bible and proposes to create a new book
abril 2, 2018 Sr. Lobo 3 comentarios bible, pope Francis

Pope Francis has surprised the world today by announcing that The Bible is totally outdated and needs a radical change, so The Bible is officially canceled and it’s announced a meeting between the highest personalities of the church where it will be decided the book that will replace it, its name and its content. Some names are already being considered and the one that has more strength is “Biblia 2000”.

“We can not keep trying to talk our public in a totally new world with a book that has thousands years. We are losing followers and we have to go a step further in the search for the modernization of the church. to rewrite the word of God, even if it is only the Old Testament, in which there are certain passages that it is better not to repeat. ”

The news has fallen like a bomb among the most conservative, who consider this
[4/5, 23:56]


Pope Francis cancels The Bible and proposes to create a new book Pope Francis cancels the Bible and proposes to create a new book
[
Ninyi ndio mnaoamini kila klichoandikwa kwenye mitandao, vitabu au kutangazwa redioni. Uongo huu sihitaji kusubiri kauli ya Vatican kuukanusha.

Vv
 
Mkuu mimi ni mwislam lakini Rabai Isa aka Iso aka Jesus aka Yesu,hakuuliwa kwa kupigwa mawe hiii sikubaliano nayo,Kwa imani ya kiislam Yesu kweli alisulibiwa msalabani lakini hakufa,ukisoma biblia kuna sehemu nyingi zinazoeleza kuwa Yesu hakufa msalabanni..

Kweli biblia inamappungufu mengi,lakini hii ya Yesu kupigwa mawe mpaka kufa mpya,nitarudi na aya za biblia kuthibitishia kuwa yesu hakufa msalabani
Vitabu vinavyopinga kweli ni vingi , hata hicho ulichodai unakiamini kinakinzana na kweli.

Vv
 
Back
Top Bottom