The Bold Interview: Maisha, Intelijensia na mengi usiyoyajua

Status
Not open for further replies.
Nataka kujua zaidi kuhusu hiyo 6th sense

 
3. Mkuu hili swali la kwa nini mimi nadhani jibu zuri wanalo wao. Mimi jukumu langu lilikuwa ni kutoa maoni yangu tu... Nimefanya hivyo
 
Just ndio au hapana naona Maelezo mengi anyway inatosha lkn
 
2. Ukakasi unakujaje Mkuu?? Mtumishi yeyote wa serikali anatumikia Taifa... Chuoni nilipewa mchongo flani tu hivi... Hakuna la kuogofya...

Naamka saa 3/4 kwa sababu nachelewa sana kulala 7/8... Naandika
Ha ha ha haaaa, Umejibu vyema kabisa.
 
Mkuu The bold unahisi kuna tofauti gani kati ya intelligence ya Tanzania uki compare na za nchi zingine kama USA n.k?
Unahisi nini kinafeli kati shughuli nzima za ki intelijensia za Nchini mwetu?
Kipi kifanyike walau waweze kufikia level ya hao walioendelea mfano FBI n.k
Shukran.
 

Mmmhh my sista from another mother... Haya maswali kuntu hahaha


1. Nimeeleza kuwa nilipata mchongo kwa serikali kipindi niko chuo Mzumbe... Kuna jamaa flani, Lecturer ndio aliniconnect kwenye hiyo mishe anaitwa Leonard (not his real name, trying to conceal his identity)... Over time dizaini ndio akawa kama 'Mentor' wangu... Nilijifunza a lot of thing from him... Yani nahisi alisaidia kushape my mind and the way I think na personality...

Now ilikuja kipindi akawa anaumwa... Alipata tatizo la kidneys... Alizidiwa sana sana to the point akwa anashindwa kutimiza majukumu yake... So I had to help him kutimiza majukumu yake fulani fulani ya kikazi...

Kuna siku alipata nafuu kabisa tukahisi anapona sasa...

Kulikuwa na trip flani hivi kwenda mwanza alikuwa anatakiwa aende... So nikasema sio kesi ngoja niende kwa niaba yake... But jamaa akawa ananisisitiza kuwa potezea bhana... Pumzika... Live a little, kazi ipo tu... But I was overzealous, too ambitious... Wanted to impress Tue bosses... So I made that trip... But nilipokuwa naondoka akaniambia "..khabib usichelewe mwanangu... There is something real important I need to share with you.!"

Nikiwa mwanza huku nyuma jamaa akazidiwa sana ikabidi mpaka achukuliwe na ambulance kutoka Mzumbe chuo mpaka Muhimbili...

Akiwa muhimbili familia yale wakanipigia... Wanasema "rudi fasta mzee anataka kuongea na wewe!"

Kesho yake nikafunga safari kutoka mwanza to dar... Nikiwa njiani mzee akafariki...

Mpaka leo nikikumbuka hili suala linanipa tabu sana... Alikuwa anataka kuniambia nini??? Kwenye pumzi yake ya mwisho alikuwa na secret ambayo alihisi ni mimi anapaswa kunieleza what was it???

That's my biggest regret kwenye maisha... I should'nt have made that trip to mwanza... I shouldnt have been overzealous namna ile...

Will never get a chance kujua hicho kitu!! Mbaya sana kuishi na feeling ya namna hiyo...
 
Football.! Real Madrid die hard...

Bongo sina timu, siasa nyingi!! Mpira unachezwa kwenye vijiwe vya kahawa... Kwa hiyo hata kichuya sijui anachezea timu gani
Real madrid die hard too![emoji4][emoji173]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…