The Bold Interview: Maisha, Intelijensia na mengi usiyoyajua

Status
Not open for further replies.
Ulikiwa PCB1 OR PCB2??

Kule PCB1 Unamjua Amney?? Yule binti wa Kiarabu??

Memory unamjua??

Evelyn unamjua?

Ester? Josephine? Au nikutajie darasa zima?

Ticha Mjuni wa Physics??

Unawajua hao??

Somehow mkuu HB umeniimpress kwa kuwataja hao watu lakini kwa hilo jina ulilotuambia hapana mayb ulikua unatumia jina jingine
 
Mkuu nakumegea tu Kuna mtu anaitwa Mange Kimambi Nifah alishawahi kuleta thread kumuhusu na alimjibu kwa I D yake halisi kwaiyo jiandae kuchambwa wewe ,mkeo na koo zenu kwa ujumla ukishakuwa verified sijui umejiandaa kisaikolojia na hilo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] watakan kata.
 
The bold
Kipi ni sahihi kwako kati ya serikali kumiliki fedha nyingi kisha wananchi hawana kitu, au wananchi kuwa na fedha nyingi alafu serikali haina kitu? Why?
(Ningependa ujibu hili swali kitaalamu hasahasa katika kubalance hali ya maisha)
swali jepesi.
unyoya wa kifaraanga cha kuku...ni mzito zaidi...!!..
 
Hizi interview zahitaji moyo na muda kujibu. Maswali mengine ni ngumu kumesaaa
 
Brother, Congrats for the interview but bahati mbaya sana hujamuuliza maswali yeyote kuhusu intellijensia.
ndio interview ilipokosa maana ya muhusika maana... amepata jina ktk misingi ya makala zake kali zenye kusisimua kuhusu intell...
 
we jamaa kuhusu kibiti..
mbona umejibu kibabe..??..
 
Pamoja mkuu...

Ingawa nahisi kuna maswali watu walikuwa na kiu nayo haujayauliza...

Tusubiri wadau labda watauliza...
yaani maswali yake kwako...ilikuwa baina ya chai na mkate tuu..embu nijibu hili...
1*kwanini makala,uchambuzi na hadithi zako unazama sana kwenye taaluma ya KIINTELLIJENSIA..lengo lako hasa nini..??. kutuonyesha kwamba intell unaijua sana,unaipenda au umejikuta tu intelligence ndio muongozo wa maisha yako..
2*wewe ni muumini wa imani ipi ktk ulimwengu wa kiimani..??.
3*kabila gani..??..

nianze na hayo kwanza....
 
hongera sana mkuu The bold ....umesema unapenda kuangalia cinema hebu tuambie kati ya wakali hawa wawili wa hollywood rambo vs anord yupi unamkubali zaidi na kwa sababu zipi hasa
Una umri gani dogoo mpaka uulize eti kati ya Rambo na Anord yupi mkali ama anayekubalika zaidi

Wewe ni msukuma eeh...!

Shie.
 
NAOMBA NAMBA YA KUJIUNGA NA LILE GROUP LAKO LA WHTSAPP....
we jamaa... kuna kitu unacho...kila ninapokusoma naona kuna kitu zaidi unacho kwa ajili maslahi fulani ya jamii...lakini hukimalizi...
embu fanya hivyo...kwanza...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…