The Bold (jasiri nimfikiriae ktk akili yangu)

The Bold (jasiri nimfikiriae ktk akili yangu)

Kuna makala nasikia zikiruka kila juma pili asubuhi redio flani zinatoka humu naisi ndo uyo jamaa maana ni vile vile kama ninavyoxisoma umu.

Nimewahi kusikia hili suala pia juu juu... Melkizedeki (kule kwenye familia) aliwahi kunidokeza hili suala inbox kuwa amesikia kwenye kipindi fulani hivi cha East Africa Radio wanasimulia simulizi yangu kwa kuisoma...


Mkuu naomba unipe taarifa zaidi (radio gani na muda gani hasa wanafanya hivyo) ili niweze kuwachukulia hatua hawa wahuni..
 
Sina cha kuongea ila naheshimu mawazo yako. Kama alivyosema kipenz changu Niffah kuwa upo sahihi kwa 90%. Nashukuru sana kwa hayo maono yako positive kuhusu mimi ila siku nyingine uwe unakuja pm, tunayamaliza pm usije hapa si unaona sasa japo hata mimi nina feelings kwako ila inakuwa ngumu kufunguka Niffah anaona. Njoo pm tujadili namna ya kuonana. (Hii ni akaunti yangu nyingine, usijari sana)
 
Sina cha kuongea ila naheshimu mawazo yako. Kama alivyosema kipenz changu Niffah kuwa upo sahihi kwa 90%. Nashukuru sana kwa hayo maono yako positive kuhusu mimi ila siku nyingine uwe unakuja pm, tunayamaliza pm usije hapa si unaona sasa japo hata mimi nina feelings kwako ila inakuwa ngumu kufunguka Niffah anaona. Njoo pm tujadili namna ya kuonana. (Hii ni akaunti yangu nyingine, usijari sana)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu nimecheka sana.
Kila la kheri kwenye 'mission' yako.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu nimecheka sana.
Kila la kheri kwenye 'mission' yako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nishakuwa theboldrapa
 
Nimewahi kusikia hili suala pia juu juu... Melkizedeki (kule kwenye familia) aliwahi kunidokeza hili suala inbox kuwa amesikia kwenye kipindi fulani hivi cha East Africa Radio wanasimulia simulizi yangu kwa kuisoma...


Mkuu naomba unipe taarifa zaidi (radio gani na muda gani hasa wanafanya hivyo) ili niweze kuwachukulia hatua hawa wahuni..
Kama ni kweli shemela dai fain kubwa hapo.

Kuna watu wanapenda mteremko kwenye migongo ya watu
 
Nimewahi kusikia hili suala pia juu juu... Melkizedeki (kule kwenye familia) aliwahi kunidokeza hili suala inbox kuwa amesikia kwenye kipindi fulani hivi cha East Africa Radio wanasimulia simulizi yangu kwa kuisoma...


Mkuu naomba unipe taarifa zaidi (radio gani na muda gani hasa wanafanya hivyo) ili niweze kuwachukulia hatua hawa wahuni..
Pole sana mkuu kama sio wewe mm nilishajirisha kuwa sasa nasikiliza sauti ya mkal wangu wa jf.

Nimeifuatilia ya kukamatwa kwa osama huku nikaisikia kule kama ilivyo.

Nikweli ni East Africa Redio mm ni mwandishi wa media flani meng zaid nipm ukiwa na swali.

Nawasilisha mkuu wangu.
 
Pole sana mkuu kama sio wewe mm nilishajirisha kuwa sasa nasikiliza sauti ya mkal wangu wa jf.

Nimeifuatilia ya kukamatwa kwa osama huku nikaisikia kule kama ilivyo.

Nikweli ni East Africa Redio mm ni mwandishi wa media flani meng zaid nipm ukiwa na swali.

Nawasilisha mkuu wangu.
Shukrani mkuu..

Nitakutafuta PM tuongee zaidi
 
Sijawahi penda mtu nisiyemjua wala kumwona.sjui hata unaanzaje.kwamfano mtu anamuibukia demu pm ya jf kwa kuvutiwa na jina na avatar yake eti,mnawezaje wenzangu.au mie sina moyo elekezi
 
Sijawahi penda mtu nisiyemjua wala kumwona.sjui hata unaanzaje.kwamfano mtu anamuibukia demu pm ya jf kwa kuvutiwa na jina na avatar yake eti,mnawezaje wenzangu.au mie sina moyo elekezi
Fanya tu upate huo moyo elekezi aise unapitwa
 
Fanya tu upate huo moyo elekezi aise unapitwa
Mie muoga wa kuuziwa mbuzi kwenye gunia,alafu utomaso nao unahusika,ni ngumu kupeleka hisia zangu kwenye imagination,nkihitaji mademu wa mitandaoni ni bora niende tinder.
 
Back
Top Bottom