huyo mchungaji ameingilia ndoa ya mtu...utumishi wake kwa mungu uko wapi? acheni ujuha!!!!Epuka kuwanenea mabaya watumishi wa Mungu hata kaka wamefanya mabaya kwako-ila waombee,kumbuka ishu ya Daud na Saul
siwezi kukulazimisha kuamini maana ungetaka ukweli ungemuhoji the bold atoe ushahidi juu ya anayoongea... Najifunza mengi kupitia hizi story za uongo zaidi sana napata kujua kuwa hata story nyingi za wanasiasa ni uongo unaotungwa na watu wachache tu...
davidm, unasema The bold aje kukanusha, kwani naye alikuwepo kwenye safari yenu????????????haha haha tukiwa kwenye gari private ..usikuwake tukafikia kwao; mind you Gwajima tumemwacha kilombero anaendelea na Crusade...then tukatengeneza song la happy birthday daddy Gwajima ..amabo uliimbwa siku ya mwaka mpya kanisani.
nataka the bold akanushe haya maneno kwanza ndipo nije na picha kudhihirisha uongo wake..
hahahahaha Mkuu utanifanya nipaliwe na maji, namheshimu sana Mch Gwajma, namuonea huruma sana Mbasha lakini nataka nibaini ukweli sitaki kutumia hisia ktk hili suala maana ni zito sana.
Nyie ndio misukule mnaoamini zaidi katika watu.yeye ni binadamu kama wewe na anaweza kuwa na mapungufu yake so usiongee kwa uhakika hivyo kama wewe ndio yeye.kuwa muhubiri wa neno la Mungu hakumfanyi na yeye kuwa Mungu.kwa jinsi unavyoonyesha inaonekana unamwamini yeye zaidi ya unavyomwamini Mungu wako(the way unavyomtetea).umenitia hasira hadi nimetoka mafichoni coz for so long nilikuwaga napita tu kama mgeni humu jukwaani kutokana na kuwa na utoto mwingi sana humu ndani siku hizi.watu wanajadili porojo tu na mambo ya kujenga nchi na ya tija yameadimika.UMEBAKA AU HUKUBAKA?
__nahisi Alieandka Uzi Huu Si Mbasha, Ni Msanii Tu Anaejitafutia Umaarufu Ili Akamate Watu Somewhere.
__VITA VYETU SI VYA DAMU NA NYAMA.
Ungekua Ni Mbasha Kwanini Usifuate Watuhumiwa Ukawaambie? Acha Usanii
Atakuwa muumini wake. Huyu dogo inaonesha hata la saba hakumaliza, we fuailia posts zake nje ya hii mada ya the Bold, utanielewa.Ukiunganisha dots unagundua wewe ni gwajima
bro mi nafanya masters sio degre nitake radhi...pls
nahisi ni mtu mmoja ana id 70
Tambaza mwaka gani mkuu, maana sisi ni matunda ya hiyo shule ya ukweli. Hata mimi hiyo sura si ngeni kabisa.
The bold anadai kuwa baada ya mkutano kuahirishwa waimbaji walirudi Dar... ukweli ni kuwa walipohamia kwenye eneo jipya Mbasha na Flora wote walikuwepo na picha zipo online na video zipo na walirudi Dar xmas wote...na kuja tena mkutano wa kilombero ambapo tulirudi nao tarehe 30 kwenye private car... nina uhakika mbasha hawezi kuandika uongo huu unless anatumiwa kumchafua Gwajima...
barikiwa ndugu yangu kwa uliyoyanena!!!wagonjwa badala ya kufurahia neno la mungu kuwa jirani yao wenyewe wanaita makelele, hamjishtukii???? Mnasubiri wafe ndiyo mjifanye kuwarudisha misukule badala ya kwenda kuwaombea afya njema kabla hawajafa.
Hivi ile ishu ya mtikila muliimaliza vipi???
Ya amina chifupa je???
Nyie jamaa fiksi nyingi sana, halafu eti mnakimbilia kusema tusimsemee vibaya mtumishi wa mungu. Mungu yupi?? Huyu huyu muumba wa mbingu na ardhi?? Wa isaka na yakobo??? Wa ibrahim??? Au mungu wa misukule???
Anaonekana ni mtumishi wa mungu kwa watu ambao hawajapewa macho ya rohoni na kulijua neno kama ninyi. Hampo huru tena. Mmefungwa na nguvu za kishirikina za kurudisha hiyo misukule.
Ibada zenu ni za promotion zaidi kuliko kuwahakikishia waumini wenu ufalme wa mungu aliye hai. Ibada nzima mnazungumzia misukule. What i know, huwezi cheza ngoma usiyoijua i.e ni lazima mmefanywa kuwa misukule and that`s why hamna akili za kujitambua.
Mnajitahidi kumpenda mungu wenu kwa mioyo yenu yote na nguvu zenu zote lakini hamtumii akili zenu kumpenda mungu and thats why mnaangamizwa na msipobadilika na kuijua kweli na mapastor wenu fake mtazidi kuangamizwa.
Khaaaaaa, kweli nyie Gwajima kawaloga mmekuwa misukule zaidi ya ile feki anayofufua. Mtu atafune mkeo halafu uendelee kumuombea atafune vizuri? Mtumishi gani wa Mungu anauza madawa ya kulevya? Gwajima hastahili kukaa nje ya jela, sijui kamishna Nzoa anafanya nini?
Atakuwa muumini wake. Huyu dogo inaonesha hata la saba hakumaliza, we fuailia posts zake nje ya hii mada ya the Bold, utanielewa.
Labda ya open universitybro mi nafanya masters sio degre nitake radhi...pls