wagonjwa badala ya kufurahia neno la mungu kuwa jirani yao wenyewe wanaita makelele, hamjishtukii???? Mnasubiri wafe ndiyo mjifanye kuwarudisha misukule badala ya kwenda kuwaombea afya njema kabla hawajafa.
Hivi ile ishu ya mtikila muliimaliza vipi???
Ya amina chifupa je???
Nyie jamaa fiksi nyingi sana, halafu eti mnakimbilia kusema tusimsemee vibaya mtumishi wa mungu. Mungu yupi?? Huyu huyu muumba wa mbingu na ardhi?? Wa isaka na yakobo??? Wa ibrahim??? Au mungu wa misukule???
Anaonekana ni mtumishi wa mungu kwa watu ambao hawajapewa macho ya rohoni na kulijua neno kama ninyi. Hampo huru tena. Mmefungwa na nguvu za kishirikina za kurudisha hiyo misukule.
Ibada zenu ni za promotion zaidi kuliko kuwahakikishia waumini wenu ufalme wa mungu aliye hai. Ibada nzima mnazungumzia misukule. What i know, huwezi cheza ngoma usiyoijua i.e ni lazima mmefanywa kuwa misukule and that`s why hamna akili za kujitambua.
Mnajitahidi kumpenda mungu wenu kwa mioyo yenu yote na nguvu zenu zote lakini hamtumii akili zenu kumpenda mungu and thats why mnaangamizwa na msipobadilika na kuijua kweli na mapastor wenu fake mtazidi kuangamizwa.