The bold: Waraka

Flola alikubali kuolewa na Mbasha akiwa hana kitu kwanini leo afanye hivyi kuna vitu ambavyo mumewe katenda sasa amefikia kusema mwisho/amechoka.Na imefikia hapo sababu Mbasha ni king'ang'anizi hataki kumuacha Flola sababu ya umarioo wake.
Mwanaume anayejielewa hawezi kulazimisha kuishi na mwanamke ambaye ni mzinzi, na kama alijua mchungaji anadhini na mkewe kwanini aliendelea kusali hapo? Mbasha anatafuta tu huruma kama ni unzinzi wote ni wanzinzi sema mwanamke kawa smart kamzidi ujanja.
Maana ktk mahojiano yote na waandishi sijasikia Mbasha akikana tuhuma za kutembea na hao mabinti/kubaka.

Maisha Mbasha aliyakosea mwenyewe kijana mzima badala ya kufanya kazi unakaa kuruka ruka jukwaani na mkeo. ndio matokeo yake hayo mwanamke anakuchoka anaona umekuwa mzigo anakulisha, kukuvisha na unalala kwa jasho lake.,akipata mwanaume wa kumtunza tu anakushiti. Hela ya mwanaume ina raha yake jamani

siamini kama Mbasha alibaka lakini naamini alikuwa na uhusiano na hao wasichana sasa mrs amechoka na vitendo vyake kaamua kumkomesha.
 


Yeye mwenyewe anasema huu mchezo ni wa mda mrefu halafu wwe unasema tofauti tukuamini wewe au mhusika mkuu.
 
Ila Frola ni mkatili sanaaa
Kuna kitu nyuma ya huu ukatili,hawezi kua katili hivi hivi,huwezi jua Imma kamtenda mara ngapi tena kwa ktembea na mdogo wake,bora yeye anatembea na Gwajima ambae hana uhusiano wowowte wa ki DNA na Imma.
 

Hapo ni lazima Mungu asimame vinginevyo shetani atapata nafasi zaidi
 
Kuna kitu nyuma ya huu ukatili,hawezi kua katili hivi hivi,huwezi jua Imma kamtenda mara ngapi tena kwa ktembea na mdogo wake,bora yeye anatembea na Gwajima ambae hana uhusiano wowowte wa ki DNA na Imma.

Pamoja na hayoo ni mmewe amezaa nae hautakiwi kulipiza kisasii na basi kama umechoka muachane tu kwa amani sio kivitaa, na huwez shindana na mwanaume, kwa hili frola ni mkosajiii hakuwah kumtembelea kule jela hata tu kutuma ndugu zake kama ye hatakii bado hujaona frola ana matatizoo, mwanaume ni mwanaume tu
 

geniveros, ulichoandika hapa ndo sahihi: hata wakirudiana hawataweza kuaminiana tena. Na hawa watu wa "SYSTEM" watammaliza huyu Jamaa - ama kwa kumfunga miaka 30jela, au atapotea kiana "kwa maombi".. Jambo jema kwa yeye ajue tu kwamba mke wake yuko under dures kumfanyia hicho anachofanya : ni ama ahakikishe mumewe anapotea au apotee yeye. Keshakula pesa za "SYSTEM" asitegemee huruma yoyote ile. Tena The bold ameandika na maswala ya kuuza sembe , anategemea nini? Yuko wapi Amina (Mbunge kijana) na Mumewe? huwezi kuwagusa hawa mafiosi halafu utegemee huruma, ni lazima wakumalize. Mimi ningekuwa yeye, ningekusanya kilichochangu na kutokomea kusikojulikana, hata nikawe kibarua nchi jirani. Hao lazima wamfunge, au wamwondoe duniani, ni swala la muda tu!!
Huyo mama ameshaonja hela, huyo mama ameshaonja heshima, huyo mama ameshaingia jikoni kwa "mchungaji"...sasa hii maana yake ni kuwa ameshaona "siri" na ni hiyo "siri" na wala si kumchukia mume wake, kinachomfanya asiwe na huruma kiasi hicho. Ngoma nzito hapa ni kuwa " je atoe siri au amtelekeze mume wake?" jibu hapa ni rahisi...atamtelekeza mume wake!
 
kweli watu tuna roho tofauti, hii ingekuwa kwa upande wangu lazima ninge geuka kubwa boko haram
 

Umemaliza kila kitu hapo kwenye bold zavi
 
Last edited by a moderator:

Mkuu Pasco, huwa naipenda sana hii "this is bonafide genuine!"
 
Last edited by a moderator:
Nimefurahi kweli ulipomuita Gwajima MBWA..., hahahahahah...! pole bhana unajua yule mke wako nae tatizo anakua kama wale mbwa walio kwenye joto bhana..., aaaghhh..., pole bwana..
 

Ningekuwa The bold ningekuwa macho sana na watu wanaojitolea kutoa msaada kama huu wa Pasco.
Ni Pasco huyu huyu alisema mkanda wa Lwakatare ni "Bonafide Genuine" na sasa hii habari ya The bold anaiona "Bonafide Genuine! Kwa kuwa huyu The Bold ameamua kupambana na huu unafiki wa hawa "maprophet", ajiandae kupata watu wengi "wa kumsaidia" lakini nyuma ya pazia wanammaliza. The Bold asifikiri anapambana na huyu "mchngaji" peke , la hasha, kuna "wachungaji" wengi amewaanika kwenye hii habari. Wapo Ngurumo , wapo Mzee wa Upako, wapo Ephata, wapo na yule mbunge wa viti maalumu aka Mama wa mlima wa moto....ni wengi mno. Kwa hiyo The bold , pambana hii vita bila kutegemea mteremko, umegusa watu hatari sana , tena sana. Yaani umegusa System. Mbaya zaidi, kuna hao waumini wao ambao wako tayari kufa wakiwatete, bila kujali kashfa yoyote ile. Kumbuka hata wewe The bold, ulikuwa unajua uchafu wa "mchungaji wako, lakini kwa kuwa na wewe ni mchafu mwenziwe, na wote mlikuwa mnafaidi kwa namna mke wako alivyokuwa anapiga cash za ajabu ajabu, ukaamua kunyamaza ili uendelee kufaidi. Sasa timing imekuwa mbaya, mama kakuwahi kabla ya mipango yako, ndo manataka kutona roho sasa. ANd unfortunately, The bold uko on a losing side!!! So jitahadhari na misaada ya kina Pasco weye!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu The Bold inafaa sasa uelewe utendaji kazi Bwn Mungu!!
Mungu anakutaka wewe Imma umtumikie!!
Wewe binafsi Mungu anakutaka, wacha jazba na hasira,
Angalia masaibu yako kwa jicho la kiroho, umefunuliwa haya ili ujue unaishi na watu wa aina gani!!
Mtumishi achana na vita ya kimwili rudi kiroho, unyanyasike uteswe ili Bwn Yesu akupe direction ya maisha yako!!
Mrudie Bwn wacha mihemuko na lugha za vitisho ili Bwn akupiganie jinsi ajuvyo yeye!!
Mpe Bwn nafasi akupiganie, shuka kwake kiroho kwa maombi akupe Amani ya moyo utulie!!
Ubarikiwe!!
 
My dear,yes mwanaume ni mwanaume tu,kumbuka mwanamke nae ni mwanamke,Nadhani ni ngumu sana kwenda kumtembelea mtu alietembea na mdogo wake.Ingekuwa katembea na mtu baki labda angeenda,Mimi pia mwanzoni nilikwa namlaumu sana Flora,lakini kwa sasa nimejaribu kufikiria,na baada ya kuona video ya Mbasha anavyoomba msamaha,nimejua kuwa Flora alichoka,labda anahitaji muda.Any way Mungu awasaidie warudiane.
 
Kwa hiyo ukimchoka mwanaume, unaamua kumfunga kabisa?
 
tatizo kubwa hapa ni watoto, watapata picha gani? Hii ni fedheha sana kubwa kwa familia na kanisa kwa ujumla wake, Emma piga moyo konde uanze maisha mapya, flora achana nae, hata akirudi hakutakua na maelewano kama zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…