The bold: Waraka


Umeangalia sarufi zako kabla ya kupost? Naona ulikuwa na haraka iliyopitiliza ndo maana hukuwa hata na muda wa kuedit kabla ya kupost! BTW The bold kaandika vitu critical mno vinahitaji utulivu, muda, hekima, ukweli, uwazi na hofu ya Mungu kuvijibu
 

mkuu nimeandika kwa hofu ya mungu na yale yanayotoka moyoni the bold numemjua kabla ya hiishida sipendi apotee hata kidogo sipendi roho yake ipotee naitaji kumwona akiwa mawinguni tukimtukuza mungu wa mbunguni na wala juu akuna jf kilamtu anandika anavyotaka


hata weeee pia naitaji safariyako umalize salama tuzidi kuwaweka maombini wamalize matatizo yao salama

mungu akubariki narudia tena hii nineno frm baibo

don't touch ma annointing

sijawahi ona waliowasema vibaya watumishi wa mungu wakaishia pazuri

mungu akutakase awarehemu wote

amin
 

kwikwikwikwiiiiii............ hata kibwetere alikua mtumishi wa Mungu
 

karibu chkn wings for dinner
 

Attachments

  • 1403901044258.jpg
    34.9 KB · Views: 142
Wanaume Aina Ya Mbasha ni Janga Kwa Taifa ..


Jamaa anakuazima Mke, nawe unamuachia Moro unarudi dar... Unajua kuwa Jamaa anagonga, Bado unakenua tu Meno..

Ningekuwa na Mamlaka ningeamuru utandikwe Bakora tano kwa kuaibisha Wanaume..

Pumbaf zako.
 

duu
ni shidaaaa
 

Asante kaka ila sina chembe ya heshima kwa watumishi washenzi na wasio na hofu na Mungu!! Gwajima ni mmoja wao akifuatiwa na anthony lusekelo na wengine wote wanaofanana nao
Mimi nalifahamu neno hivyo huwa sibabaishwi na mambo yao
 
Aisee nmekumbwa na hasira na uchungu nahisi kama ndo mimi vile,hii ndo faida ya kuwachia sadaka viongozi wa dini wahuni na wanamazingaombwe
 

Mi mwanzano nilikuwa namlaumu Frola lakini kadri hadith zinavyoendelea nimemuona huyu jamaa ni mpuuzi. Na hao wasichana katembea nao kweli sababu mbona hakani swala la ubakaji ye analia ma Gwaji kumchulia mke, huyu alikuwa anampendea Flor pesa si mapenzi yaani Ye mke wake hata akitembea nje si tatizo mradi analeta pesa.
 
Hapa ndio naanza kumuelewa yule jamaa aliyepiga risasi na kuua watu wawili na yeye akajiua....RIP Munisi.....Mbasha amuuka bana...
 
Nyinyi ndio wanaume suruali,mnapangashiwa nyumba na kununuliwa Noah,kisha mnaleta upuuzi hapa wa kumtetea huyo shetani mzinzi mkuu Gwajima.
 


Haya Ndio Matatizo Ya Kulelewa na Mwanamke..

Mwanaume Hujui Kulipa Kodi, Hujui Kulipa Umeme, Hujui Kulipa Ada ya Mtoto n.k

Hapo bado unajiita Mwanaume, Lazima usaidiwe.
 

yah teh teh. mkuu. you have made my day
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…