Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Acha kumfundisha uoga wewe,hakuna Mtumishi wa Mungu Sampuli hii huyo ni Wakala wa Shetani.Epuka kuwanenea mabaya watumishi wa Mungu hata kaka wamefanya mabaya kwako-ila waombee,kumbuka ishu ya Daud na Saul