The bold: Waraka

The bold: Waraka

mi nahisi the bold ndo mbasha by the way kaka wanawake sisi UTUONAVYO SIVYO UTUFIKIRIAVYO NA UTUFIKIRIAVYO SIVYO UTUONAVYO we are more than we are.Mwanamke akikuchukia ujue ht ufanyeje ndo imekula kwako.My advice futa vumbi futa machozi lia na mungu wako tu hapo hakuna ndoa tena ninyi s wa kwanza kutengana ktk hii dunia.ULIPOAMBIWA KUA UYAONE SIO MAGHOROFA KAKAAA......HUO NDO UKUBWA FUNGA MKAJA KM ULIBAKA KWELI AU SI KWELI HEBU LIA NA MUNGU AKUPIGANIE KTK UNACHOKIAMINI.
Kisaikolojia, Imma hawezi kuandika hivyo kwa sasa, huyu ni mtu analiyekaribu na Imma, na aliyesimuliwa na imma. Mi huwa ikifika hapo, nasema ule mstari wa biblia unayosema..Mtu akimwacha mkewe, isipokuwa kwa uzinzi...huwa sitaki kusikia tafsiri yoyote zaidi ya kilichoandikwa.
 
kwa hiyo hapa bold ndio Emma dah umeandika kwa uchungu sana hasa hapo ulipoongelea kuhusu watoto kila lenye kheri kupigania haya.

ila kwa yaliyotokea bado unataka kurudiana na Flora
 
Inamaana The Bold ndo Emmanuel Mbasha....???

Pole sana mkuu....Inatosha!!! Watanzania tumeshamjua huyo nyoka Gwajima....Inatosha...
 
Nimependa aliposema mchungaji mazingaombwe.... na pesa chafu za sembe...kama hayo ni kweli, basi hakuna mtumishi wa Mungu hapo.

Na sio wote mkuu wanaoita bwana bwana wataurithi ufalme wa Mungu tamaa mbaya na Mungu atawaumbua tu
 
UMEBAKA AU HUKUBAKA?
__nahisi Alieandka Uzi Huu Si Mbasha, Ni Msanii Tu Anaejitafutia Umaarufu Ili Akamate Watu Somewhere.
__VITA VYETU SI VYA DAMU NA NYAMA.
Ungekua Ni Mbasha Kwanini Usifuate Watuhumiwa Ukawaambie? Acha Usanii

Tumeshamjua nyoka Gwajima......
 
Back
Top Bottom